Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel

Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel

Mkuu taratibu mwenzako ostadh huyo huko Mkuranga mwembe kiguta ndie wanamtegemea kupata taarifa
Hii sio hoja, waonyeshe ili watu waone na kusadiki maneno yao mbona Sinawar alivyo ingia kwenye Mashimo kule Gaza tulionyeshwa? Ndani ya Israel wanasiasa wamechukia walitaka Iran ipigwe visima vya mafuta na zile nyuklia, sasa kuwa makini propaganda ni nyingi sana ili wale walionuna wapozwe
 
Hawa Israel ni nyoko sana ktk mashambulizi ya angani. Juzi Waziri wa ulinzi wa Israel kabla ya mashambulizi alisema tutakapo ishambulia Irani Dunia itajua uwezo wetu na wote wanao cheza na usalama wa Israel. Leo jamaa wametumia ndege za kivita ambazo ni za kisasa sana zenye uwezo wa kushambulia anga la nchi nyingine na kujihami zishishambuliwe. Cha kufurahisha zaidi Israel inasema imepiga miundombinu ya usalama wa anga la Irani na pia kushambulia maeneo ya kijeshi ya Irani. Pia wakasema baada ya kushambulia kwa ndege zao zote zimerudi nyumbani salama. Yaani mfumo wa ulinzi wa Irani umeshindwa kudungua hta ndege moja tuu ya Israel. Na pia wamesema kwa uharibifu walio fanya ktk mfumo wa ulinzi wa anga wa Irani sasa wanaweza kucheza na anga ya Irani wapendavyo kupiga popote.
Mabomu yote yamemezwa yakiwa angani wanasemaje wameshambulia mfumo wa ulinzi🤣!!! Hao wanajikosha tu
 
Wao wenyewe wayahudi wanajiita Taifa teule na sisi wakristo tunawaita hivyo

Sisi wakristo ni wafuasi wa Myahudi Yesu Kristo myahudi mwenzao

Dini ya kiyahudi tofauti na waislamu huwa hawatafuti waumini kuwasilimisha .Kuwa dini ya kiyahudi lazima uwe umezaliwa myahudi.Hivyo wakristo na wayahudi tunaheshimiana mno pamoja na tofauti zetu za kidini.Tofauti na wapumbavu wa kiislamu ambao ukiwa tofauti na dini yake kwake ni kesi

Wayahudi sio wajinga kama waislamu kupigania dini.Myahudi hata siku moja hapiganii dini wala wakristo hatupiganii dini huo ujinga wa kupigania dini wanao waislamu tu.Ndio maana hata Palestina hakutulii mijitu kutwa kupigania dini
Wayahudi gani unao sema wewe ? Wayahudi wameua watu wengi kwasababu ya Imani yao, hawatakiwi kushirikiana na watu wenye kuamini Mungu mwengine tofauti na wao, ebu rudi kasome tena vitabu vyako
 
Kweli kabisa mchezo huu hautaki hasira au mihemuko ya vurumisha makombora bila mkakati.

Israel ineonesha utulivu kwa kulenga maeneo nyeti kupeleka ujumbe kuwa kila pigo watakalofanya Israel siyo la kuvurumisha makombora ovyo, bali kupiga maeneo nyeti kwa uhakika...

Sasa majibu mengine ya Israel yatalenga wapi, nani na kwa shabaha ya kufikia lengo lipi ki military science bila kuongozwa na hasira kali, bali mipango na uhakikisho wa kukamilisha pigo sahihi la kumuumiza adui likionesha, pigo lingine litalofauta litafikia malengo ya kumlegeza adui zaidi.
Huwa nasemaga Tanzania ni nchi ambayo mungu yu karibu nayo sana, same to Israel nayo i karibu sana na mungu -
IMG_20241027_073729_486.jpg
 
Hapa Iran imeficha taarifa nyingi!
Hata Israel ilipopigwa na Iran op iliyopita ilificha taarifa nyingi juu ya uharibifu uliofanyika!
Nadhani hapa Iran haitarudia tena!
Maana viwanda muhimu vya kutengeneza Silaha vimeharibiwa!
 
Kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.

Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.

Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"

Mpaka sasa:

Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa

Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.

Habari kamili hii hapa:

Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes​


"The US says this should be the end

Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes​


14m ago
(17:20 GMT)

Iran raises death toll from Israel’s attack to 4​


Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
Ueelewe kuwa kijeshi kwa sasa Iran iko Uchi maana haina radar za kudhibiti mashambulio ya Israel tena baada ya mfumo wake wa ulinzi wa anga kubomolewa. Maana yake wakati wowote Israel akitaka kushambulia anaweza kufanya hivyo bila kizuizi. Pili inakadiriwa itachukua miaka miwili kurepair kiwanda chake cha kuchanganyia mafuta mazito ya kutengenezea makombora hivyo uzalishaji wa makombora utasimama kwa muda huo.

Israel ameishasema anayo bado bank ya targets za kushambulia Iran nyingi tu hivyo Iran akithubutu kujibu tu atapigwa kipigo kikaki zaidi.
Ukitafsiri kauli ya Iran anaogopa kuaibika zaidi hasa kwa vibaraka wake ambao walikuwa wanamwona ndiye kiboko ya Israel, anachofanya ni kujipooza kuwa madhara ni kidogo aliyoyapata ili iwe sababu ya kutojibu ili asiaibike zaidi.

MUNGU WA ISRAEL ATUKUZWE MILELE
 
Kinyaa unatia wewe kijana, nimeandika WAONYESHE hiko kiwanda wanachosema wamekilipua kitachukua miaka 2 kurudi tena kufanya kazi, hii ni vita propaganda ni nyingi sana, ni mbumbumbu pekee anaweza kuamini jambo kibubusa
Unapiga namba ngapi kupata kichekesho hiki
 
Kinyaa unatia wewe kijana, nimeandika WAONYESHE hiko kiwanda wanachosema wamekilipua kitachukua miaka 2 kurudi tena kufanya kazi, hii ni vita propaganda ni nyingi sana, ni mbumbumbu pekee anaweza kuamini jambo kibubusa
Kwani unalazimishwa kuamini we mswahilina wa mwembeyanga?
 
Propaganda sikuizi hazifanyi kazi tuli shuhudia vitu viki shushwa kwa speed ya radi Israel ,ila hadi leo bado tuna zitafuta ndege 100 na mabomu angani ila hatuyaoni na mnavyo jua israel anavyo penda sifa hadi leo asichapishe kitu ukitoa video na picha za beiruti mnazo jaribu kuleta😅😅😅
 
Kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.

Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.

Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"

Mpaka sasa:

Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa

Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.

Habari kamili hii hapa:

Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes​


"The US says this should be the end

Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes​


14m ago
(17:20 GMT)

Iran raises death toll from Israel’s attack to 4​


Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
hawa jamaa si walisema ole wake israeli atupe kombora kwao
 
Ueelewe kuwa kijeshi kwa sasa Iran iko Uchi maana haina radar za kudhibiti mashambulio ya Israel tena baada ya mfumo wake wa ulinzi wa anga kubomolewa. Maana yake wakati wowote Israel akitaka kushambulia anaweza kufanya hivyo bila kizuizi. Pili inakadiriwa itachukua miaka miwili kurepair kiwanda chake cha kuchanganyia mafuta mazito ya kutengenezea makombora hivyo uzalishaji wa makombora utasimama kwa muda huo.

Israel ameishasema anayo bado bank ya targets za kushambulia Iran nyingi tu hivyo Iran akithubutu kujibu tu atapigwa kipigo kikaki zaidi.
Ukitafsiri kauli ya Iran anaogopa kuaibika zaidi hasa kwa vibaraka wake ambao walikuwa wanamwona ndiye kiboko ya Israel, anachofanya ni kujipooza kuwa madhara ni kidogo aliyoyapata ili iwe sababu ya kutojibu ili asiaibike zaidi.

MUNGU WA ISRAEL ATUKUZWE MILELE
Yaan shambulio la kaeneo km 700square useme wamalize radar za Iran na wakati huo missiles kibao almost zote zimetunguliwa? Unalijua eneo la Iran wewe? Hata mkipeleka ndege ni 500 hamuwezi kucover eneo lote la Iran
 
wa tz tuko nyuma ya mama ambaye anamsapoti yahayaa mia kwa miaa!
View attachment 3136088
Hawa wangese wa wapi tena jamani?.. wamembeba mtumwa wa iblis.. wajue tunataka mwili wa JoshuaMollel tuuzike.. waliambiwa damu ya mtanzania haiendi kirahisi tizama na yeye hakazikwa bado hadi vita iishe kadedi kama alivyoamrisha kuua Mtanzania mwenzetu.. hawa jamaa ningekutana nao ningewamwagia michanga pumbavu zao laanatul
 
Back
Top Bottom