Iran yawageuka HAMAS, wapambane na hali yao maana walilianzisha bila kuiomba ushauri kwanza

Iran yawageuka HAMAS, wapambane na hali yao maana walilianzisha bila kuiomba ushauri kwanza

Thubutu!!!!
Gaza Ni kaeneo kadogo Sana 40km by 10 km by 13 km, kaeneo haka kamezingirwa na Israel pande zote lakini imeichukua IDF zaidi ya mwezi na nusu kufika Al Shifa hosp.
Kumbuka Hamas hawana jeshi, hawana umeme, hawana maji, hawana msaada toka Marekani, hawana vifaru, hawana ndege lkn wamelidindishia jeshi la nchi na washirika wake marekani kwa mwezi na nusu.
Je ingekua Iran? Israel ingechakazwa na hiyo iron dome ingefanywa Kama neti ya kuvulia papa.
IDF walikua wanaweza kuikamata Gaza kwa dakika tu km wangetaka maana wangepiga mabomu tu kaneneo kenyewe kadogo sema walikua hawataki kuua raia wema.Km wangeamua panuje dakika kadhaa tu ngome ingekua kokoto tu.
 
Maayatollah network imerudi, tukiweka ushabiki pembeni mataifa ya kiarabu yenye akili yanajua kabisa huwezi kumshinda Israel kwenye uwanja wa vita na hata kwa kuangalia vita walizopigana miaka yote Israel alishinda kwa kishindo na mataifa ya kiarabu yalipokonywa ardhi


Kikubwa sheikh ponda afanye mpango wa maandamo maana tumechoka kunyanyaswa na waisrael [emoji16][emoji16]
Mm nashangaa km kweli wanasema albadili inafanya kazi wapige dua tu islaeri iwake moto yaan waislam wote waisomee albadili israeli.
 
Thubutu!!!!
Gaza Ni kaeneo kadogo Sana 40km by 10 km by 13 km, kaeneo haka kamezingirwa na Israel pande zote lakini imeichukua IDF zaidi ya mwezi na nusu kufika Al Shifa hosp.
Kumbuka Hamas hawana jeshi, hawana umeme, hawana maji, hawana msaada toka Marekani, hawana vifaru, hawana ndege lkn wamelidindishia jeshi la nchi na washirika wake marekani kwa mwezi na nusu.
Je ingekua Iran? Israel ingechakazwa na hiyo iron dome ingefanywa Kama neti ya kuvulia papa.
Vita hawakurupuki kama unavyofikiri!
Kuna vitu kadhaa huwa vinafanyika ambavyo mtu wa kawaida unaweza kusema wanapoteza muda oh wanaogopa. Kumbuka unapopigana na adui mmoja unayemfahamu ndio mwanzo wa kuwajua wale usiokuwa unawafahamu.
Na ukitaka ujue mengi we minya vizuri adui yako atakwambia mengi usiyoyajua.
Usikimbilie kuua kuna mengi utayakosa.
Israel wana mminya HAMAS mdogo mdogo ili alopoke yote. Kisha akimmaliza atakuwa anawajua waliobaki.
 
Kiaongozi wa Iran Ayatollah awasuta wanaoshangaa kwanini Iran imeishindwa kufanya chochote kwenye huu ugomvi, asema jinsi vile vile haikuombwa ushauri kabla kulianzisha basi wapambane tu huko na kwamba Iran haitoingilia....hii ni habari mbaya sana kwa majihad ya humu JF maana wamekua wanasubiri sana wokovu kutoka kwa Iran.
Nafikiri Iran imeshauriwa vizuri maana ilisubiriwa sana ifanye ujinga wowote, ingesambaratishwa kinoma yaani.
===========================

Supreme leader informed Haniyeh decision due to failure to notify Tehran before Oct. 7 onslaught, instructed him to ‘silence’ those urging Iranian involvement, according to Reuters​

Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei reportedly told Hamas chief Ismail Haniyeh earlier this month that, since Tehran was not given prior notice of the devastating terror onslaught of October 7, it would not join the war against Israel.

In a report Wednesday citing “three senior officials,” Reuters said Khamenei had told Haniyeh that, while Iran would offer political support to Hamas, it would not “intervene directly” in the fight.

The Iranian leader also reportedly asked Haniyeh to “silence those voices” in Hamas calling for Iran and its proxy terror group Hezbollah to directly join the war against Israel “in full force.”
Mkuu unafikiri watu wanaoongozwa Moja kwa Moja na Shetani watafanya maamuzi ya busara??!! Na hichi ndiyo kinachowakuta Hamas na Mujahideen wote Duniani. Quran yao yenyewe ktk Sahih Al-Bukhari 4950 Shangazi wa Mtume Mohammad alipomwita Allah ni Shetani, kwanini Allah HAKUKANUSHA DAI HILO la Shangazi wa Mtume!!??
Screenshot_20231116-174917.png
 
Iran acheni hizi, sio nyie mlituambia kuwa siku jeshi la Israel litakapoingia Gaza ndio itakuwa kiama chao? Kiko wapi sasa 🤣 🤣 🤣
 
Kiaongozi wa Iran Ayatollah awasuta wanaoshangaa kwanini Iran imeishindwa kufanya chochote kwenye huu ugomvi, asema jinsi vile vile haikuombwa ushauri kabla kulianzisha basi wapambane tu huko na kwamba Iran haitoingilia....hii ni habari mbaya sana kwa majihad ya humu JF maana wamekua wanasubiri sana wokovu kutoka kwa Iran.
Nafikiri Iran imeshauriwa vizuri maana ilisubiriwa sana ifanye ujinga wowote, ingesambaratishwa kinoma yaani.
===========================

Supreme leader informed Haniyeh decision due to failure to notify Tehran before Oct. 7 onslaught, instructed him to ‘silence’ those urging Iranian involvement, according to Reuters​

Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei reportedly told Hamas chief Ismail Haniyeh earlier this month that, since Tehran was not given prior notice of the devastating terror onslaught of October 7, it would not join the war against Israel.

In a report Wednesday citing “three senior officials,” Reuters said Khamenei had told Haniyeh that, while Iran would offer political support to Hamas, it would not “intervene directly” in the fight.

The Iranian leader also reportedly asked Haniyeh to “silence those voices” in Hamas calling for Iran and its proxy terror group Hezbollah to directly join the war against Israel “in full force.”
Ngoja tusubiri tuone Alwaz atatomboka nini kuhusu hili.
 
Back
Top Bottom