Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Umeniambia nimuulize mama wewe ni dogo au siyo ndo kajibu ni dogo ila uliolewa ukiwa na miaka 9 na ..... So kiumri ni mdogo ila kimatendo m... Alikukuza maana mpaka ukawa umeolewa ila unachezea midoli...Umeanza kutoa siri zako za kubakwa sio? Wewe endelea kula ugali wa shikamoo hapo kwa bimkubwa bila kujua nani anahudumia,
Naona umeanza na kujichekesha chekesha,au ndio ulikua unathibitisha kua ulibakwa sio.
Wewe punguani huna issue,kaa pembeni,acha baba zako tujadili vitu vya kidunia.Umeniambia nimuulize mama wewe ni dogo au siyo ndo kajibu ni dogo ila uliolewa ukiwa na miaka 9 na ..... So kiumri ni mdogo ila kimatendo m... Alikukuza maana mpaka ukawa umeolewa ila unachezea midoli...
Wewe unaweza kuzalisha nini? umbew? injini ya Pikipiki ni techinolojia kubwa pia, nyue hata wembe hamjawahi kuwa na hii techinolojia. Acha ujingausikute ina injini ya boxer kutoka kwenye pikipiki. ndo zile waliwapa urusi ikirushwa kabla ijafika inapiga mlio kama exozi imepasuliwa
Wakati Iraq inavamiwa ilikuwa ina nini ?Iran ivamiwe ina nini? Kwanini mnalazimisha ivamiwe, ili muendeleze lawama au sio. Fanya basi Iran ivamie Marekani
πππ Hili shambulizi ni zaidi ya AtomicEndelea tu kukaa hapo juu ya sofa na remote bila kujua nani anahudumia hapo.
ππ Inatosha sasa muacheWewe endelea kula ugali wa shikamoo hapo kwa bimkubwa bila kujua nani anahudumia,
Sasa baba kweli anaolewa akiwa na miaka 9? Huyu ni baba au dada? Aisha? Mbona unakuwa mkali tena. Au kutembea na wababa nawe unajiona umekuwa baba? Umeniambia nimuulize mama. Majibu ya mama huyatakiWewe punguani huna issue,kaa pembeni,acha baba zako tujadili vitu vya kidunia.
Tulia hivyo hivyo magaidi yashughulikiwe. Huwezi kuvamia taifa huru na kuuwa watu Zaidi ya 1400 halafu utegemee amani.Sawa myahudi mweusi, waambie wakukatie na tiketi ukaishinao.
ndio maana annunaki wanataka kurudi ili waje waiokoe dunia.Dah;! Binadamu... Kakaribishwa tu ili apite njia hapa Duniani...!
Anasababisha balaa.
Naona wewe na kashata ya nazi The ice breaker mko busy kutetea mabasha zenu wa kiarabu.Asie muislamu kwa maana wapagani hawawezi shindana na waislamu na huu ndio ukweli, kiranga mpaka anaignore waislamu kwa kushindwa π, so hoja hujibiwa kwa hoja, sasa hawa wenzetu kwanza hawajui wanachokitetea wala kukiamini wamebaki na sanamu la ukutani eti ndio mungu wao wanaemuabudu, innaa lillaahi wainnaa ilaihi raaji'un
Papa anasemaje poti? Mpaka sasa wangapi wamefikia waliobarikiwa ushoga ndani ya Roma+westerns +Afrika kwa ujumla????
unaishi wapi wewe zaidi ya kwa baba yakoWewe unaweza kuzalisha nini? umbew? injini ya Pikipiki ni techinolojia kubwa pia, nyue hata wembe hamjawahi kuwa na hii techinolojia. Acha ujinga