Iran yazindua mtambo wake wa ulinzi wa anga mfano wa Iron dome na Patriot. Saudia wazidi kununua kachara kutoka Marekani na kukaribisha wanenguaji

Iran yazindua mtambo wake wa ulinzi wa anga mfano wa Iron dome na Patriot. Saudia wazidi kununua kachara kutoka Marekani na kukaribisha wanenguaji

Umekaa umejipinda na maelezo mengi na kujichekesha, haliyakua netanyahu hakujui, hakutambueni na upagani wenu, wala yesu hawamtambui, ila mpo tu kujaza server humu😁
Kajamaa kanaandika kishabiki kuliko uhalisia,hapo kanajiona kama vile kanaishi Pentagon.
 
Naona Uko busy kutetea mabwana zako wa kiarabu.
Mishipa inakutoka.
Pole sana
Naona upo busy kunifuatilia kwenye kila uzi,endelea kunifuatilia tu ila acha kunishobokea,mimi sichezei tope,umesikia wewe punga?

Iran ni Waarabu? unarukia tu uzi wala huelewi uzi unawaongelea kina nani,wewe muhimu ujilengeshe tu kwangu na uchoko wako.
 
Muivamie kwasababu Iran inainyima Israel kupumua kwa kujinafasi
Israel hii ambayo ikijisikia inavamia Gaza, ikijisikia inashambulia Hezbollah, ikijisikia inashambulia Syria.
Israel ndio inanyima Iran usingizi kwa kuua wanajeshi wake na kuua wataalamu wake wa nyuklia. Kama Iran mwanaume ndio alitakiwa avamie Israel, sababu anazo.
 
Wewe jamaa unafaa kabisa kua commedian tu,umeandika kishabiki mpaka umepoteza uhalisia au thamani ya maelezo yako,

Unaongelea Scud za Saddam Hussein,hujui kua Scud za Saddam zilikua zinatua Tel Aviv na Patriot za US zilishingwa kuzuwia?
Alafu Saddam Hussein akashinda kwa kishindo. Na Israel ikasambaratishwa kwa hizo Scuds mpaka leo ni magofu.
Huyo US alienda kuvamia Iraq peke yake? unajua kua ni mataifa mangapi yaliungana dhidi ya Iraq? hata huyo Zionist wenu anasaidiwa na US na mataifa ya ulaya ila mpaka sasa kamasi zinamtoka bila kua na Flu,hakuna alicho achieve so far,Hamas bado wapo na mateka bado wanashikiliwa,
Kama ambavyo mataifa ya Kiarabu yaliungana kupigana ana Israel yakapigwa.

Hamas wapo, ndio maana Israel bado inaendelea kufagia Gaza sasa hivi imebaki ushahidi kwamba kulikuwepo na mji
1000265446.jpg

Makombora mangapi ya Hamas yametua Israel kwenye majengo? makombora mangapi ya Hizbullah yametua huko Israel? haya mahaba yenu hua yanawafanya mnatembea na vichwa vitupu?
Makombora ya Hamas sijui ni mangapi, makombora ya Hezbollah sijui yameua wangapi ninachojua kutokana na taarifa ya Hezbollah wenyewe mpaka sasa Israel imeua wapiganaji wake 206 na hapo bado hawana official war.

Kwahiyo anayepigwa ni nani sasa hivi mkuu, Israel ndio inapigwa na watu wake wamekuwa wakimbizi si ndio. Huku Gaza wakila tende na ngamia.
 
Alafu Saddam Hussein akashinda kwa kishindo. Na Israel ikasambaratishwa kwa hizo Scuds mpaka leo ni magofu.

Kama ambavyo mataifa ya Kiarabu yaliungana kupigana ana Israel yakapigwa.

Hamas wapo, ndio maana Israel bado inaendelea kufagia Gaza sasa hivi imebaki ushahidi kwamba kulikuwepo na mjiView attachment 2907960

Makombora ya Hamas sijui ni mangapi, makombora ya Hezbollah sijui yameua wangapi ninachojua kutokana na taarifa ya Hezbollah wenyewe mpaka sasa Israel imeua wapiganaji wake 206 na hapo bado hawana official war.

Kwahiyo anayepigwa ni nani sasa hivi mkuu, Israel ndio inapigwa na watu wake wamekuwa wakimbizi si ndio. Huku Gaza wakila tende na ngamia.
Kumbe hua una upumbavu wa hali ya juu kiasi hiki!

Mwanzo ulisema Scud hazikufanya kitu,nakwambia Scud zilitua Tel Aviv na Patriot za US zikashidwa kuzizuwia,umekuja na ngonjera zingine kabisa!

Sikiliza wewe yahudi mweusi wa Ifakara,huyo Israel leo miezi 4 anahangaika na kikundi kidogo tu kama Hamas,pamoja na kusaidiwa na US na mataifa ya Europe ila hakuna lengo alilolitimiza kwa mujibu wa malengo aliyojiwekea,

Bado tu unaendeleza ule ujinga wa kuaminishwa kua mataifa ya kiarabu yaliungana kisha Zionists wakashinda! Sasa mbona leo miezi 4 wanahangaika na Hamas,

Huna point ya maana kwenye huu uzi zaidi ya kuhangaika tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,ni bora ukae kimya ili usiendelee kuonekana kua ni mpumbavu na hujui kitu,endelea kuwaaminisha wasiojua kitu huku ukijiona kama vile unaishi Pentagon.
 
Nimekwambia muulize mamako atakwambia kama mimi ni dogo au sio dogo,
Sasa hivi ndio umejua kua hua kuna mafundisho sahihi sio? ulifikiri kuja na lugha zako za hovyo kwangu ningekuacha sio?
Dogo ni kama umepanic sana. Umepata chakula leo? Mi naona kama ni tatizo la malezi linakusumbua. Nimemuuliza Mama ameniambia wewe umeolewa mapema. Ila ni dogo sana. Umeolewa ukiwa na miaka 9 anasema. So amenipa majibu mujarabu. Naona umesisitiza sana nikaona niulize. Ndo akasema huyu ali break ice akiwa mdogo sana Aisha breaker. Mimi huku sasa ndo umenileta home. Nilitaka usigne mkataba tuanze kazi dogo.
 
Dogo ni kama umepanic sana. Umepata chakula leo? Mi naona kama ni tatizo la malezi linakusumbua. Nimemuuliza Mama ameniambia wewe umeolewa mapema. Ila ni dogo sana. Umeolewa ukiwa na miaka 9 anasema. So amenipa majibu mujarabu. Naona umesisitiza sana nikaona niulize. Ndo akasema huyu ali break ice akiwa mdogo sana Aisha breaker. Mimi huku sasa ndo umenileta home. Nilitaka usigne mkataba tuanze kazi dogo.
Mamako anajua kua wewe huna akili timamu,si unaona mpaka ukajiita kua wewe ni chizi, unaweza kumwambia babako siri zake,

Endelea tu kukaa hapo juu ya sofa na remote bila kujua nani anahudumia hapo.
 
Hizo batteries chache ziliwahi fanya nini mbona Israel inapita anga la Syria kama uchochoro. Ina maana batteries chache hazilindi hata mji mkuu, Damascus?

Kama haziwezi linda airbase muhimu iliyopo mji mkuu zinalinda kitu gani au ziwa mojawapo uko vijijini.

Uturuki iligomewa na Marekani kuuziwa Patriot ndipo wakaamua kwenda kununua S-400. Hiyo ni second option, ni fungu la kukosa.
Bisha nikuletee kauli za Erdogan na Waziri wake wa UlinziView attachment 2907703Ni kama ambavyo Turkey walifikiria option nyingine baada ya kunyimwa F-35. Na ambavyo walikuwa wafikirie options nyingine kama Marekani isingekubali kuwauzia F-16 mwaka jana.

Then kelele za kusema Iran ina mifumo sawa na S-400 au S-300 zikome. Ni dharau kulinganisha mifumo ya Iran dhidi ya ya Urusi.

India ilinunua S-400 kutoka Urusi muda uleule inasaini na Israel kununua Barak AD. Ni mifumo tofauti kidogo hivyo sio ajabu kununuliwa kwa pamoja.

Kwa China ni case tofauti, China ilinunua S-300 ikafanya reverse engineering ikatoa HQ-9 series zinafanana mno. Ikaagiza S-400 sababu haina long range, sasa kwa case ya Iran mnasema Iran ina mifumo bora kuzidi ya Urusi sijui inalingana, hapohapo Iran inanunua mifumo ya category ileile Urusi?

Na bora kwa China kuna some cases copycats zake zinazidi uwezo original za Urusi. Kama HQ-17 inaizidi Tor-1 sababu ni two decades apart, ila ni copy.

Kwahiyo Iran ana mifumo ya anga inazidi ya Urusi, kwamba Urusi kuna siku ataenda Iran anunue hii mifumo mipya inayozidi ya kwake? Maana huu ndio ubishi wangu.

Marekani ana pact na Europeans, tena kama hao Israel huwa anatoa funds yeye na wataalamu wake baadhi kuunda hiyo mifumo. Then baadae anaweza nunua sababu amefanya investment. Tofauti na Iran na Urusi.


Mleba❌ Muleba✅
tsh❌ Tsh/TSH.✅
wakwambie huiunganishe❌
kuponda ,hivi❌ (mkato huwekwa baada ya neno, sio kabla ya neno)
waafirika❌ Waafrika✅

Lugha unayoshinda nayo kila siku huijui, sembuse mambo ya teknolojia.

Kwahiyo Iran ina AD systems nzuri kuliko Russia? Jibu
Mkuu katika hoja za mleta mada mbona hakuna sehemu alipo sema kuwa Iran anaizidi Urusi kwa ubora wa ID? Au mm kuna sehemu nilipo sema kuwa Id za Iran ni bora kuliko za Urusi,mbona unapenda kuzua mambo ya uongo ili kutetea hoja zako?
Mm ninacho kupinga ni we kusema eti id za Iran hazina ubora na ndio maana anaagiza za Urusi ,na ndio maana nikakutolea mfano wa nchi zinazo sifika kutengeneza id lakini bado wanatumia Id kutoka nchi nyingine sasa kwa nn iwe ajabu kwa Iran?
Kuhusu Uturuki kunyimwa patriot na Marekani ,hizo Patriot si ndo zinailinda anga ya Saudia ?
Mbona anga ya Saudia ilikuwa imesha kuwa uchochoro dhidi ya makombora ya wahuthi mpaka wakasalimu amri na kurazimika kuongea na wahuthi ili wasitishe mashambulizi?

Kuhusu Urusi kwenda Iran kununua Id inawezekana ,kwani kabla ya vita ya Ukraine kuna ambaye alikuwa anawaza akiwemo ww ya kuwa siku moja Urusi angeenda Iran kununua kamikaze drone ambazo zinemsaidia pakubwa kupunguza gharama za vita nchini Ukraine mpaka sasa?
Urusi ni taifa kongwe kiteknolojia kuizidi Iran lakini sasa hivi Iran ndo inaipatia na kuiuzia Urusi teknolojia ya hali ya juu kwa ajili ya mitambo yake ya uchimbaji wa gesi baada ya kushindwa kuinunua Ujerumani kwa sababu ya vikwazo vya nchi za Magharibi.
Hapa duniani binadamu tunaishi kwa kutegemeana unaweza kuwa na uwezo mkubwa kumzidi mwenzako lakini haimaanishi kuwa huwezi kumtegemea.
 
Mamako anajua kua wewe huna akili timamu,si unaona mpaka ukajiita kua wewe ni chizi, unaweza kumwambia babako siri zake,

Endelea tu kukaa hapo juu ya sofa na remote bila kujua nani anahudumia hapo.
Anayenihudumia mimi ndo anayekuhudumia na wewe. Amenambia wewe ni kama ulianza kubakwa mapema sana miaka 9?imekuathiri kisaikolojia mzee alikuoa ukiwa mdogo sana... 🤣
 
Anayenihudumia mimi ndo anayekuhudumia na wewe. Amenambia wewe ni kama ulianza kubakwa mapema sana miaka 9?imekuathiri kisaikolojia mzee alikuoa ukiwa mdogo sana... 🤣
Umeanza kutoa siri zako za kubakwa sio? Wewe endelea kula ugali wa shikamoo hapo kwa bimkubwa bila kujua nani anahudumia,

Naona umeanza na kujichekesha chekesha,au ndio ulikua unathibitisha kua ulibakwa sio.
 
Back
Top Bottom