Iran yazindua mtambo wake wa ulinzi wa anga mfano wa Iron dome na Patriot. Saudia wazidi kununua kachara kutoka Marekani na kukaribisha wanenguaji

Iran yazindua mtambo wake wa ulinzi wa anga mfano wa Iron dome na Patriot. Saudia wazidi kununua kachara kutoka Marekani na kukaribisha wanenguaji

Mbwembwe zote kwisha nimesoma specifications zake aiseee hawa waajemi ni hatarii.
Kwa akili hizi ndogo za waarabu. Hapo Middle East mtakuwa mnachinjana na mwisho wa siku hakuna maendeleo.
Ukitaka kujua waarabu na waajemi wanaakili ndogo angalia Libya. Wanawaza kuuana na kupiga vita muda wote.
Hamas wamepata nini mpaka sasa hivi? Ni ujinga mkubwa sana waliofanya. Gaza imekuwa magofu, Houthi nao wanapelekewa moto.
 
Syria kuna mifumo ya Urusi imeshindwa, sembuse mifumo ya Iran ambao huwa wanakopi mifumo ya Urusi na leoleo wakiambiwa watoe hela wapewe S-400 bora walale njaa waupate huo mfumo.

Mifumo ya Iran haiwezi fanya kitu mbele ya silaha za Israel, waulize Armenia waliokuwa na air defense systems za Urusi kilichowakuta pale Azerbaijan walipotumia silaha za Israel na Uturuki. Sasa imagine Iran inazidiwa na Urusi kwenye ulinzi wa anga.
Haijashindwa bali Syria ina betri chache sana ambayo inatumika kulinda maeneo nyeti tu.
Kwa sasa Syria haina uchumi wala fedha za kununua wala kuendesha mifumo ya Ulinzi ya kulinda nchi nzima maana uchumi wake umeharibiwa na vita.

Basi tuseme kuwa mifumo ya Marekani ni hamna kitu na ndio maana Uturuki mwanachama muhimu wa Nato alinunua mfumo wa Urusi kuilinda anga yake hali yaku kuwa alikuwa na mifumo mingine kutoka Marekani na nchi nyingine za Magharibi ambayo alikuwa akiitumia siku zote.
Iran mpaka sasa yuko kwenye mazungumzo ya kununua mfumo wa S-400, na Iran kununua S_400 na sioni tatizo lolote maana ni kawaida nchi kuwa na mifumo ya Ulinzi ya aina tofauti tofauti ili kulinda anga zao, na kumbuka Iran ina eneo kubwa sana hivyo linahitaji mifumo mingi.

Mbona hujaishangaa India ambayo ina rundo la ID kutoka Urusi, Marekani na Israel?
Mbona China anatengeneza mifumo ya Ulinzi lakini bado ana nunua nyingine kutoka Urusi?

Mbona Marekani mtengenezaji mkuu na yeye ana nunua mifumo mingine kutoka Israel na Ujerumani?
Watu wana kaa miaka wanaumiza akili na kufanya kitu kinacho onekana alafu ww mla makande kutoka Mleba ambaye hata ikifunguliwa saa ya tsh 500 alafu wakwambie huiunganishe huwezi unakuja kubwabwaja na kuponda ,hivi waafirika tuna matatizo gani?

Kuna mfumo Iran waliuzindua mwaka 2018 una itwa Kordarn kama sikosei watu mkauponda, lakini mpaka sasa huo mfumo umesha angusha drone mbili za Marekani ambazo ni ghari Mara mbili ya F-35 ,mlizo kuwa mnatuambia eti hazionekani kwenye rada.
Kipindi Iran ana zindua drone za kamikaze watu mlikuwa mna ponda mara mnasema ni matoy na midoli lakini leo hii tungeshudia zikileta maafa nchi Ukraine.
 
Haijashindwa bali Syria ina betri chache sana ambayo inatumika kulinda maeneo nyeti tu.
Kwa sasa Syria haina uchumi wala fedha za kununua wala kuendesha mifumo ya Ulinzi ya kulinda nchi nzima maana uchumi wake umeharibiwa na vita.

Basi tuseme kuwa mifumo ya Marekani ni hamna kitu na ndio maana Uturuki mwanachama muhimu wa Nato alinunua mfumo wa Urusi kuilinda anga yake hali yaku kuwa alikuwa na mifumo mingine kutoka Marekani na nchi nyingine za Magharibi ambayo alikuwa akiitumia siku zote.
Iran mpaka sasa yuko kwenye mazungumzo ya kununua mfumo wa S-400, na Iran kununua S_400 na sioni tatizo lolote maana ni kawaida nchi kuwa na mifumo ya Ulinzi ya aina tofauti tofauti ili kulinda anga zao, na kumbuka Iran ina eneo kubwa sana hivyo linahitaji mifumo mingi.

Mbona hujaishangaa India ambayo ina rundo la ID kutoka Urusi, Marekani na Israel?
Mbona China anatengeneza mifumo ya Ulinzi lakini bado ana nunua nyingine kutoka Urusi?

Mbona Marekani mtengenezaji mkuu na yeye ana nunua mifumo mingine kutoka Israel na Ujerumani?
Watu wana kaa miaka wanaumiza akili na kufanya kitu kinacho onekana alafu ww mla makande kutoka Mleba ambaye hata ikifunguliwa saa ya tsh 500 alafu wakwambie huiunganishe huwezi unakuja kubwabwaja na kuponda ,hivi waafirika tuna matatizo gani?

Kuna mfumo Iran waliuzindua mwaka 2018 una itwa Kordarn kama sikosei watu mkauponda, lakini mpaka sasa huo mfumo umesha angusha drone mbili za Marekani ambazo ni ghari Mara mbili ya F-35 ,mlizo kuwa mnatuambia eti hazionekani kwenye rada.
Kipindi Iran ana zindua drone za kamikaze watu mlikuwa mna ponda mara mnasema ni matoy na midoli lakini leo hii tungeshudia zikileta maafa nchi Ukraine.
Hahahahahaha wabongo sie ujuaji mwingi mnoo wee wasamehe buree tuu,
Huyoo jamaa anataarifa za majeshi yoote ya hapa ulimwenguni, idadi ya wanajeshi na zana wanazotumia, huyoo aliwahi sema anapajua mpaka mahali Putin anapolala, ajabu jamaa yupo Tanzania huku na ukute hata Gobole kulitumia hawezi,
 
Syria kuna mifumo ya Urusi imeshindwa, sembuse mifumo ya Iran ambao huwa wanakopi mifumo ya Urusi na leoleo wakiambiwa watoe hela wapewe S-400 bora walale njaa waupate huo mfumo.

Mifumo ya Iran haiwezi fanya kitu mbele ya silaha za Israel, waulize Armenia waliokuwa na air defense systems za Urusi kilichowakuta pale Azerbaijan walipotumia silaha za Israel na Uturuki. Sasa imagine Iran inazidiwa na Urusi kwenye ulinzi wa anga.
Hata Saudi Arabia ana mifumo ya US lakini alikua ana pigwa na Drones za wa Houthi wa Yemen,
Israel ana silaha gani zaidi ya anazopewa na US? Iran anatengeneza silaha zake pamoja na kua yupo kwenye vikwazo vya kiuchumi,
Leta hesabu zako kwanini mfumo wa Iran utashindwa kuzuwia silaha za hao Zionists? achama na historia,

Hata hiyo Iron Dome ya Zionists haizuwii makombora yote ya Hamas,tena ni makombora local tu,Hizbullah mara ngapi wanaipiga Israel kwa missiles? hiyo Iron Dome hua imelala usingizi? punguzeni mahaba nendeni kwenye uhalisia,hiyo Air defence system ya Iran ingekua imezinduliwa na Zionists mgeisifu hapa kwa kila nyimbo za mapambio,

Mpaka hapo Iran anajitahidi sana pamoja na vikwazo alivyowekewa kwa zaidi ya miaka 40,na hivi karibuni pia ametuma satellite zake zingine kwenye Space.
 
Hapo ulipo unaishi kwa hisani ya makafiri 98%. Ukisema usitumie bidhaa za makafiri utabaki na
1. Kanzu
2. Quran
3. Kisima cha kujitawazia
4. Mkojo wa ngamia
5. Maji ya zamzam
6. Msikiti hata cement, mabati, vipaza sauti, rangi na mabati makafiri ndiyo wametengeneza
7. Tende
Unapanda usafiri uliotengenezwa na makafiri unaingia msikitini, unatoa pesa iliyotengenezwa na makafiri, unatumia umeme wa makafiri, unaswali kwenye msikiti ambapo rangi ni makafiri ndiyo wametengeneza, unatumia kipaza sauti na mic ya makafiri unaswali😁😁😁
Unatoka hapo unaangalia muda kwa simu au saa iliyotengenezwa na makafiri, unaangalia tarehe, mwezi na mwaka ambao makafiri ndiyo wameweka😀😀😀😀
Unatoka hapo unafika nyumbani unawasha sabufa iliyotengenezwa na makafiri, unasikiliza Qaswida kwa flash iliyotengenezwa na makafiri😀😀😀
Unaangalia Prison Break ya makafiri kwa kutumia tv aliyotengeneza makafiri. Unaingia mitandao iliyotengenezwa na makafiri X, Facebook, JF, Telegram, Instagram, TikTok, Youtube na WhatsApp😂😂😂😂 Unawatukana makafiri😁😁😁😁😁😂😂😂😂.
Hata Bakhera na MO ukiwaambia wasitumie bidhaa za makafiri ndani kwao watabaki na kanzu, mkojo wa ngamia, tende, maji ya zamzam na Quran. Mitambo mpaka king'amuzi vimetengenewa na makafiri😂😂😂😂😂
Hapo umejisifia umesoma kwa elimu yenye mtaala wa makafiri😁😁😁😁😁😁
Nilipoona tu ma emoj kibao kama mtoto wa kike anayemuandikia meseji mumewe nikaacha kuendelea kusoma haya maandishi ya kujitongozesha.
 
Hiyo sio ya kuzuia mashambulizi ya wamarekani labda waarabu wenzao, South Korea ni mshirika mkubwa wa US na hawezi kumuuzia adui wa US kitu superior, na mara nyingi hizi nchi kama South Korea kuuza silaha za maana lazima US apige muhuri kuidhinisha ili iuzwe akikataa hakiuzwi kitu, hapo kanunua mabox ya kupiga waarabu wenzake tuu
 
Ndio maana nkwambia kua nyie mapunga hua mnaamini watu wote ni kama mlivyo nyinyi,wewe endelea tu kupigwa paipu ila usijifananishe kua na wengine ni kama wewe,

Huu uzi umekuumiza sana wewe mjane,empty set.
Kwako wewe siyo swala la kuamini, wewe ni punga tu, hilo utalikataa kwa maandishi ila ukweli unajua kabisa kwamba watu wameshakulainisha na zaidi wameshakuvunja uume. Pole sana.
Utasubiri sana kuona mimi naumizwa na uzi humu, mimi sina ufahamu duni kama wako, najifunza kutoka kwa maprofesa na mataahira, kwangu wote hao wana vitu vya kujifunza, na kujigunza kunaanza na kuhoji, do usitake kunifundisha style yako.
 
Kwako wewe siyo swala la kuamini, wewe ni punga tu, hilo utalikataa kwa maandishi ila ukweli unajua kabisa kwamba watu wameshakulainisha na zaidi wameshakuvunja uume. Pole sana.
Utasubiri sana kuona mimi naumizwa na uzi humu, mimi sina ufahamu duni kama wako, najifunza kutoka kwa maprofesa na mataahira, kwangu wote hao wana vitu vya kujifunza, na kujigunza kunaanza na kuhoji, do usitake kunifundisha style yako.
Kampikie chai mumeo usije ukaachika ukaja hapa kutusumbua kwa kuanzisha uzi wa kutaka tukushauri,acha kujibizana na wanaume hapa wewe wasted sperm,naona akili zako umeziweka kwenye mfuko wa shati na kuamua kutembea na kiwiliwili tu kama zuzu,ficha upumbavu wako kwa kukaa kimya,wewe mlokole pori utaendelea sana kuumia kwa maendeleo ya Iran,there's more to come just stay tune.
 
Nyie machoko hua mnaamini kila mtu ni kiburudisho kama mlivyo nyinyi,wewe punguani nikufananishe na Iran?

Wewe kichwani ni mweupe tu huna lolote,unaumia kwa maendeleo ya Iran,hakuna hoja ya maana uliyoiweka hapa zaidi ya kuonyesha upumbavu wako tu.
Hapa umepuyanga sheikh. Maendeleo ya Iran wewe uliyeko Manzese kwa mfuga mbwa yanakusaidia au yanakuathiri vipi? Hivi ninyi wenzangu huwa hampendi kuwa na akili? Yaani unaipambania Iran wasiojua kuna wewe duniani? Badala ya kuipambania nchi yako. Yaani mtu aumie kwa maendeleo ya Iran? Yanamuathiri vipi? Wewe hapo hata sukari bei imepanda badala ya kuwaza kumsaidia rais unawaza maendeleo ya Iran kwa Wairan na wewe Mzaramo upo upo tu.
 
Kampikie chai mumeo usije ukaachika ukaja hapa kutusumbua kwa kuanzisha uzi wa kutaka tukushauri,acha kujibizana na wanaume hapa wewe wasted sperm,naona akili zako umeziweka kwenye mfuko wa shati na kuamua kutembea na kiwiliwili tu kama zuzu,ficha upumbavu wako kwa kukaa kimya,wewe mlokole pori utaendelea sana kuumia kwa maendeleo ya Iran,there's more to come just stay tune.
Basi hapo unajiona ndiyo umejipinda kweli na hizo ndiyo points zilizojaa kichwani mwako?
Na usivyojielewa unanifananisha mimi na walokole, kwa lipi hasa? Yaani mtu aki challenge anachofanya Iran, basi kwenu huyo ni mlokole? Hiyo tabia ya kuchanganya mambo, Ndiyo maana ukajichanganya ukadhani na wewe ni wa kuliwa hivyo ukajikuta unaanza kuliwa bahati mbaya na ndiyo umeshanogewa, unashindwa ku undo.
 
Basi hapo unajiona ndiyo umejipinda kweli na hizo ndiyo points zilizojaa kichwani mwako?
Na usivyojielewa unanifananisha mimi na walokole, kwa lipi hasa? Yaani mtu aki challenge anachofanya Iran, basi kwenu huyo ni mlokole? Hiyo tabia ya kuchanganya mambo, Ndiyo maana ukajichanganya ukadhani na wewe ni wa kuliwa hivyo ukajikuta unaanza kuliwa bahati mbaya na ndiyo umeshanogewa, unashindwa ku undo.
Huna la maana ulilochangia hapa zaidi ya kuonyesha chuki zako kwa Iran,na watu kama wewe hua mnaendeshwa na chuki ya udini tu,huna calculation zozote ulizoweka hapa kuonyesha kua hiyo Air defence system ya Iran itafeli,unaruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,wazazi wako wana hasara kubwa sana kwa kuzaa punguani kama wewe.
 
Hapa umepuyanga sheikh. Maendeleo ya Iran wewe uliyeko Manzese kwa mfuga mbwa yanakusaidia au yanakuathiri vipi? Hivi ninyi wenzangu huwa hampendi kuwa na akili? Yaani unaipambania Iran wasiojua kuna wewe duniani? Badala ya kuipambania nchi yako. Yaani mtu aumie kwa maendeleo ya Iran? Yanamuathiri vipi? Wewe hapo hata sukari bei imepanda badala ya kuwaza kumsaidia rais unawaza maendeleo ya Iran kwa Wairan na wewe Mzaramo upo upo tu.
Naona umeamua kuja na ID yako nyingine,leo utakuja na ID zako zote ila upumbavu wako hauwezi kuisha kwa kuja na ID nyingine,nyie walokole mnavyowashobokea wayahudi hua inawasaidia nini? wayahudi wanakutambua wewe? halafu usijifanye unanijua sana,acha kupiga ramli,pambana na hali yako.
 
Huna la maana ulilochangia hapa zaidi ya kuonyesha chuki zako kwa Iran,na watu kama wewe hua mnaendeshwa na chuki ya udini tu,huna calculation zozote ulizoweka hapa kuonyesha kua hiyo Air defence system ya Iran itafeli,unaruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,wazazi wako wana hasara kubwa sana kwa kuzaa punguani kama wewe.
Ndiyo hicho kumbe kilichokufanya akili yako ianze kuharisha? Mimi mbona niliuliza maswali? Ungeyajibu tu yale maswali.
Kwani wewe umeitetea hiyo system kwa facts zipi mpska ujione wewe ni bora ma mwenye akili?
Ni mara ngapi humu mmekuwa mkipinga ya wengine tena kwa kashfa bila ya fact?
Mbona hatujawahi kuwatukaneni?
**** comment ya 3 au 4 hapo juu, kuna jamaa amei diss Saudi Arabia, je kuna facts zozote? Mbona hatujamtukana?
 
Naona umeamua kuja na ID yako nyingine,leo utakuja na ID zako zote ila upumbavu wako hauwezi kuisha kwa kuja na ID nyingine,nyie walokole mnavyowashobokea wayahudi hua inawasaidia nini? wayahudi wanakutambua wewe? halafu usijifanye unanijua sana,acha kupiga ramli,pambana na hali yako.
Pole sana sheikh. Mimi si Mlokole ni sina shobo na yeyote. Nina shobo na mimi mwenyewe. Unatokwa sana povu. Una tatizo gani? Just calm down dogo. Maisha hayataki hasira.
 
Back
Top Bottom