Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.

Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.

Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.

Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.

Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.

Bye bye Iran

View attachment 2953272View attachment 2953273
Uharo mtupu.

Unadhani vita ni fika zako.
 
Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukana
Unasemaje sasa?

Wamerusha siyo Moja kadhaa
 
Haya kashapiga makombora zaidi ya 300
Tuone huyo 8srael na wasaidizi wake watafanya nini
Marekebisho,
Soyo Makombora 300.. Nyingi Ni Drone (UAV) AINA YA kamikaze na makombora kadhaa.

Wengi wanakazania makombora.. Yangerushwa makombora 300 kama yalivyo , HABARI ingekuwa nyingine kabisa.
 
Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukana
Jitoe JF tu kulinda ka heshima kako kadogo kalikobaki
 
Marekebisho,
Soyo Makombora 300.. Nyingi Ni Drone (UAV) AINA YA kamikaze na makombora kadhaa.

Wengi wanakazania makombora.. Yangerushwa makombora 300 kama yalivyo , HABARI ingekuwa nyingine kabisa.
Drones hazibebi burger
Zinabeba makombora/milipuko
 
Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukana
Tatizo nini mzee wa upinde hajawahi kuwa sahihi hata kwenye mambo madogo?😀
 
Aise watu mna roho ngumu mmeufufua huu uzi na mwenyewe kajificha kwenye handaki hataki hata kuuona uzi wake.
 
Back
Top Bottom