Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

I wish yangeandika hivo...but yalichoandika ni far far far far even far worse than that
Maandiko yametabiri Marekani itaangushwa na Irani,Kisha Irani itakua dola yenye nguvu duniani kwa muda Kisha itaangushwa na North Korea,tukiangalia maandiko Marekani Ni mwisho wake umekaribia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu vita ya zamani sio ya Sasa.

Zamani mzungu mmoja alikuwa na uwezo wa kukamata mabaunsa watano wa kiafrica ili wammebe ila Sasa hivi naamini hata wewe mzungu akikujia kihasara unamla vibaya Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzungu haji kama unavyofikiria brother.

Ulicheck wakati wa Osama, nchi za kiarabu zimepigwa kwa kisingizio eti tumepata taarifa kuwa Osama kakimbilia sehemu fulani; wanakupiga unabaki na maumivu!

Ujue kabisa hii vita ikitokea kuna Waafrika watakwenda kusaidia upande wa yule wanaomkubali. Na hapo ndipo utakuwa mwanzo wa chuki na kupigwa na either mzungu or mwarabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trump ni mwanaume kweli aliona watu wanamwandama akatengeneza tukio na kama kawaida ya wamerekani uwa wanaungana kwenye mambo ya kitaifa mkakati wa white house umefanikiwa.
 
Iran siyo muarabu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
napenda vita mm yaan hapa mikono inawasha kwann nimezaliwa bongo ningekuwa Iran huko saa izi naenjoy miripuko tu puuuuu ilooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…