Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
I wish yangeandika hivo...but yalichoandika ni far far far far even far worse than that
Maandiko yametabiri Marekani itaangushwa na Irani,Kisha Irani itakua dola yenye nguvu duniani kwa muda Kisha itaangushwa na North Korea,tukiangalia maandiko Marekani Ni mwisho wake umekaribia.
Sent using Jamii Forums mobile app