Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Vitu vingine vinachekesha kweli yani roketi zaidi ya 10 hawajaua hata mtu mmoja?Hii ni aibu.Kwa taifa lenye nguvu ya kivita Tungeshajua mpaka sasa wanajeshi 120 wa marekani wamefariki huku wengine 60 wakiwa hawajitambui.Sasa wao hata 1 wameshindwa kuua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unavyosema hamna mtu aliyekufa umepata wapi hizo taarifa?
 
Haya ndio mambo sasa...tunasubiri upande wa pili...

Tuzike mwingine...
 
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]
Iran wapuuzi

Ebu fikiria wametumia mabilion ya dollar kununua silaha halafu wanapiga off target?
View attachment 1315630

It's Scars
Wamenunua kutoka wapi ?!

Kitendo cha mabomu kupika kambi za US Tayar Ni On Target

Halaf US Yale Machuma Chuma Yao Yalikua Yamelala Nini [emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aishindwe Iran aje apambane na Russia wazee wa FOAB.

Atapigwa mtungo mpk puru ichanike.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]dah watu mnatamani vitaa,,,Vita kamwe haiwezi tokeaa soon tu inazimishwa alafu ukumbuke,,,,,marekani Hana shida saaana na Iraq saana anawataka wale masapporter Kama China,urusi na wengine ndio ajichumbue nao kairaq nikama ka catalyst [emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Back
Top Bottom