clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,387
- 2,516
Iranian missiles ware invissible by US radar[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]Wamenunua kutoka wapi ?!
Kitendo cha mabomu kupika kambi za US Tayar Ni On Target
Halaf US Yale Machuma Chuma Yao Yalikua Yamelala Nini [emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao aljazeera hata wachukue habari toka hapa kenya ila lazma wahakikishe habari inakua verified kabla yakuirusha hewani
Ukweli Mchungu Huu Kwa Pro USMmarekani peke yake hawezi kuishinda Iran na hilo analijua, akishahikikishiwa support na wapambe wake ndo anafanya vurugu.Bwana mdogo tu mapanki alimtoa jasho.
Kweli hakuna utajiri usio na udhalimu. Anajiita super power kwa mali za kidhalimu tu. Ili dunia ikae na amani Marekani ndo ilitakiwa ifutwe katika uso wa dunia ili hao vibaraka wake wanaoitwa Israel wafe njaa.
Kwani unateseka mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wanajeshi mashoga ndio wanatumainiwa na US kuishinda Iran?
Likipigwa kombora moja tu,lazima wajiharishie hao.
View attachment 1315739
dodge
Naona hii umechanganya kidogo, wamarekani hawajaondoka Iraq, ndio kwanza wameweka BASE zao kule, hata juzi wakati Bunge la Iraq limepitisha maazimio ya pamoja bila kujali tofauti zao, kuwa Marekani waondoe majeshi yake kwao,
Bado marekani kagoma,
Kwa kifupi Iraq anamtimua marekani na majeshi yake,
Marekani kumuua General Soleiman kumewaweka wairaq na wairan pamoja, wamekuwa kitu kimoja.
Atakua hajaelewa,waliosemekana kufa ni raia.
CNN ipi?cnn wameripoti zaidi ya wanajeshi 80 wa us wamekata moto na 200 mahututi ndege zisizo na rubani sita na helkopta saba kwisha
Sent using Jamii Forums mobile app
US = PAPEE TIGERSenator Graham kampigia simu Trump na Trump kamwambia kuwa watashambulia Visima vya Mafuta ya Iran ili kukata mrija
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa,ko Iraq ni mashushushuuu?Hiyo ni ripoti ya tangu Jana,ila haijawa confirmed kwani marekani anasema no casualties,
Lakini ile base wanashare na jeshi la irag kwahiyo habari zinaweza kuleak
RUSSIA na CHINA Hii Shughuli Wala HaiwahusuRussia na China ni wanafiki sana Iran akianza kudundwa watakaa pembeni wangojee kulalamika kwenye vikao vyao ili dunia tuwaone ndio wazuri kumbe ni wale wale ila wanakuja kwa njia nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh G sam ujue unaaminika Sana humu jf hii ni kweli?Ni kweli wameuawa zaidi ya 80 na tayari baadhi ya nchi zimeanza kuondoa wanajeshi wao nchini Iraq ila mmarekani bado kakomaa anasema haondoi mtu huko.