Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Maandiko yametabiri Marekani itaangushwa na Irani,Kisha Irani itakua dola yenye nguvu duniani kwa muda Kisha itaangushwa na North Korea,tukiangalia maandiko Marekani Ni mwisho wake umekaribia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi watu wa maandiko kila siku sijawahi kuwaelewaga,Mnaishi kwenye assumption sana hasa kuhusu mambo ya kiuhalisia
 
Watamvamia Lini Maana Hizi Twaarab zakuvamiwa hazija anza jana nalel[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]
Sio tokea ndege ya Marekani itunguliwe na Meli za mafuta za Uingereza zitekwe maeneo ya Ile ghuba ya Uajemi. Iran kashatengeneza maadui wengi upande wa Magharibi. Watamvamia kama Libya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uadui wanamtengenezea wao na upuuzi wao anachofanya MUAJEMI ni Kujilinda 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na hayo mambo IRAN Kashambulia Kambi Huko US Wanamaneno Gani
Mbona ile ya kuuwawa kwa contractor wao walisema!

Sent using Jamii Forums mobile app
Contractor alisema sababu alikua mmoja hawa waloangushwa kama kumbi kumbi hawez kusema


Maana ataidhihirishia dunia yakwamba machuma chuma yao ni Nonsense [emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyombo vya Iran?

Hiyo itakuwa biased information.. You can verify kwa kusoma pia kutoka kwenye neutral source au kwa kuona aftermath!
*kama ilivyokuwa kwa Soleiman.. vyombo vyote duniani vililipoti na hata aftermath wewe mwenyewe umeona ikiwemo jeneza na picha za mabaki ya mwili wake!
Nasikia wanajeshi wa USA wamechinjwa kama kuku vile na missile za wa Iran.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti walijiandaa..! Marekani kwa propaganda hajambo! Wakati Trump anapiga mikwara twiter si waliamin wataogopa twiter zake!
Hata Iraq kuvamiwa na marekani tulisema propaganda,ishu ni kwamba trump aliweka redline kwamba raia wa Marekani akiuawa watajibu kijeshi,na habari ni kwamba mpaka sasa hakuna raia wa marekani aliyeuawa wala kujeruhiwa kutokana na shambulio la Iran,na kwa taarifa hiyo Trump kasema so far,so good!
 
Mkuu, minafikiri kwenye heading ilipaswa iwe "tusubiri pakuche" ili tusikie Trump atatoa maamuzi yapi kati ya hayo uliyo yaorodhesha.

Kwasababu nina uhakika, Trump hajalala na kama alilala, basi hakupata usingizi kwa tukio lililo tokea Iraq

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Benjamin Netanyahu alishajitoa mapema kwenye huu mgogoro.
Mnaosema Israel anamsapoti MAREKANI ilihali ulaya yote wapo against naye,jama si mjinga.

Putin kumuita Merkel Urusi kujadiliana,ni mbinu za kuwauzia silaha kwa bei rahisi Iran.

Tukumbuke Vladimir Putin haziivi na USA na Angrla Merkel kaitikia wito.

Damn this is WWIII

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Iran bana....Marekani kaipiga Iran sio washirika wake. Iran anachopaswa kufanya ni kuipiga ardhi ya Marekani sio kukimbilia Iraq


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimaliza kuota uje uandike vyema

Lini US Alijitoa Ufahamu Akaipiga ARDHI ya IRAN Na Alichofanya IRAN Hajampiga Mshirika Wake Kapiga Kambi Ya Kijeshi Ya US Au Ile Kambi Yakijeshi Ya US Inahifadhi Wanajeshi Wa DRC [emoji12][emoji12][emoji14][emoji14]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…