Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

All is well
Screenshot_2020-01-08-13-28-33-00.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Not invissible just an ambush. They didnt know where and how they will be attacked.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwan hayo machuma chuma hapo yame ekwa kwaajili ya nn

Yaambiwe kama 2nashambulia ndio yatakua yanajieka tayar ama [emoji2][emoji2][emoji23]

Mna anza kufail sasa hayo machuma chuma hayana maajabu

Nlikua nawaambia mm

Machuma chuma ni Yagharama sana ila ni Defence less useless tuuh hayana lolte lle...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa shambulizi dogo na ambalo halikuua, utawala wa Iran ulitaka tu pa kutokea (ili ionekane wamechukua hatua) - lakini hawakuwa na nia ya kulianzisha kivita kamili.

Nadhani wamarekani pia wanaamini hivyo, na kwa vile nao wasingependa sana vita (na matokeo yake) bila shaka watachukua hatua zisizoanzisha vita.
 
Nadhani mpk sasa hivi watakua wameshaelewa Iran uwezo wake kwny medani ukoje.

Dunia nzima nikiangalia ni nchi ngapi zinaweza kufyatua makombora kwenda kwny kambi ya kijeshi ya US aisee hata 5 zinaweza zisifike.

dodge
Hii ni sawa na mtoto wa la 3 kumkazia mwenzie wa std 6! Sio kama ngumi anaweza ila kulinda heshima tu anakaza na mkwara wa kukusukumia na header moja matata. Akivuja damu tu na ngumi haendelei nazo heshima inatawala.

Ndio uhalisia wa alichofanya Iran.
 
Sio leo wala kesho.
Kwa kifupi simpendi mwarabu hana utu zaidi japo Us naye si mwema lakini heri nusu shari kuliko shari kamili
Mmarekani nae nimeshamchoka kwa kuharibu. I hope one day powerful countries ziungane ili zimshikishe adabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamaana UK Iliolaani Shambulio Lakijeshi Katika Kambi Za Kijeshi Za US zilizopo IRAQ ni Waongo Halafu Wewe Ndio Mkweli
Mkuu hayo makombora mengine yamepiga katika maeneo ya watu huko Iraq..lakini hakuna madhara makubwa yaliyotokea(source na video ninayo)

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza ikawa kweli kabisa kuhusu kupiga nyumba ila kupigwa kwa kambi za US unaisemeaje nayo ?!


US Watafikia Kipindi Hawata uza hata silaha kwa ujinga wao wanao uendekeza


Difens zao zinazidi kushuka hadhi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani tumuombe Mungu
Mungu hapo ahusiki. kila kitu ni chake, whether we live or die kwake ni sawa. Ndo maana mtu akifa wanasema Mungu kampenda zaidi, sasa yaelekea Mungu anataka kutupenda wote zaidi😎😎😎😎😎😎😎
 
Back
Top Bottom