TIASSA
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 2,926
- 3,530
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwan hayo machuma chuma hapo yame ekwa kwaajili ya nnNot invissible just an ambush. They didnt know where and how they will be attacked.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah una reply kinyonge sana asee [emoji22][emoji22][emoji22][emoji12][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14][emoji14]All options on table including sending beautiful gift to Ayatolah.
Kama machuma chuma yenyewe yamechemka huyo umbwa atasaidia nn asee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14][emoji14]Nyie mnaweka nyau, angalieni hii kutoka huko kwa waliowafundisha mbinu za kivitaView attachment 1315777
It's Scars
Hii ni sawa na mtoto wa la 3 kumkazia mwenzie wa std 6! Sio kama ngumi anaweza ila kulinda heshima tu anakaza na mkwara wa kukusukumia na header moja matata. Akivuja damu tu na ngumi haendelei nazo heshima inatawala.Nadhani mpk sasa hivi watakua wameshaelewa Iran uwezo wake kwny medani ukoje.
Dunia nzima nikiangalia ni nchi ngapi zinaweza kufyatua makombora kwenda kwny kambi ya kijeshi ya US aisee hata 5 zinaweza zisifike.
dodge
Mmarekani nae nimeshamchoka kwa kuharibu. I hope one day powerful countries ziungane ili zimshikishe adabu
Iyo habari ndo kwanza nasikia kwakoKwanza Uelewe ile Kambi iloshambuliwa,USA walishahama pale palikuwa gofu tu
Na mi naamini ipo siku atashikishwa tu!Mmarekani nae nimeshamchoka kwa kuharibu. I hope one day powerful countries ziungane ili zimshikishe adabu
Inaweza ikawa kweli kabisa kuhusu kupiga nyumba ila kupigwa kwa kambi za US unaisemeaje nayo ?!Mkuu hayo makombora mengine yamepiga katika maeneo ya watu huko Iraq..lakini hakuna madhara makubwa yaliyotokea(source na video ninayo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ataondoka 2 wewe ngojea 2 na kama hawataondoka basi watakufa 2 maana hakna namna ss .....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hapo ahusiki. kila kitu ni chake, whether we live or die kwake ni sawa. Ndo maana mtu akifa wanasema Mungu kampenda zaidi, sasa yaelekea Mungu anataka kutupenda wote zaidi😎😎😎😎😎😎😎Jamani tumuombe Mungu