britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
We ni papai kweliIrani sio Taifa dogo kama Watu wanavyofikiri.
Iraq + Libya ni tofauti kubwa na Iran.
Iran amekua pro - Active ndani ya siku 2 kujibu mashambulizi
Iran ana Wataalam wa Nuclear Weapons.
Iran aliweza ku- hack US government website na kuweka maneno ya kumui- insult Trump.
Ninavyoona US hawezi kuishambulia Iran kwa sababu anajua madhara atakayoyapata.
Watu wanakosea kuifananisha Iran na Syria, Iraq, kuwait.
Iran imeshawahi kuitawala dunia ( Persian empire)!!!
Chakuangalia hapa irani asije akaingia ugov nanchi ningine zajiran akati mwenzie yupo mbar chakujiuliza hapo awe makin asije na yy akayavagaa kisa kulipza kisasIran anafanya ushenzi mwingi sana Mashariki ya Kati. kuna sehemu ambazo Marekani anaweza kutoka lakini siyo Mashariki ya Kati.
Iran aache kufadhili ugaidi.
..🙄🙄🙄Trump atapigwa
Nasikia ni zaidi ya 80 na wengine 200 wamejeruhiwa na 45 wako kwenye hali mbaya Sana.
Iran anafanya ushenzi mwingi sana Mashariki ya Kati. kuna sehemu ambazo Marekani anaweza kutoka lakini siyo Mashariki ya Kati.
Iran aache kufadhili ugaidi.
Nani kukuambia wewe hakuna walio kufa fyi 80 wamekufa na 200 wameumia.Siyo CNN pekee..hata RT,PRESSTV,BBC,AL JAZEERA,AL MASDAR,middle EAST EYE&MONITOR,ANADOLU NEWS AGENCY,TRT WORLD,SPUTNIK,RUPTY,AL ARABIYA,FOX NEWS na kuendelea sijaona habari za vifo zaidi nimeona tu picha ya baadhi ya makombora yaliyokosa shabaha!
View attachment 1315884View attachment 1315887View attachment 1315888View attachment 1315889View attachment 1315891
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni sawa na mtoto wa la 3 kumkazia mwenzie wa std 6! Sio kama ngumi anaweza ila kulinda heshima tu anakaza na mkwara wa kukusukumia na header moja matata. Akivuja damu tu na ngumi haendelei nazo heshima inatawala.
Ndio uhalisia wa alichofanya Iran.
Upadates.Naona hii vita imefika patam sasa Iran kajibu mapigo baada ya jenerali wake kuuliwa na Marekani. Marekani wao wanadai watatoa tamko mpka sasa bado kimya tu ndio kusema Trump kanyari ama?
Uzi huu ume maalumu kw kupeana kila kinacho endelea mpaka tumpate mshindi.
Sasa kama hakuna madhara yeyote wanafanya tahimini gani mpaka sasa hivi masaa yote hayo.Siyo CNN pekee..hata RT,PRESSTV,BBC,AL JAZEERA,AL MASDAR,middle EAST EYE&MONITOR,ANADOLU NEWS AGENCY,TRT WORLD,SPUTNIK,RUPTY,AL ARABIYA,FOX NEWS na kuendelea sijaona habari za vifo zaidi nimeona tu picha ya baadhi ya makombora yaliyokosa shabaha!
View attachment 1315884View attachment 1315887View attachment 1315888View attachment 1315889View attachment 1315891
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmarekani nae nimeshamchoka kwa kuharibu. I hope one day powerful countries ziungane ili zimshikishe adabu
Ndio kwanza saa 12 asubuhi sijui kama atakunywa chai leoI'm waitin statement ya Mkuu Trump.....
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wakubwa wana teguana viuno kwa stayl ya 2020Nani kukuambia wewe hakuna walio kufa fyi 80 wamekufa na 200 wameumia.
Hongera kwa uandishi murua,uandishi mzuri sana huu.Kwa hali ya tension ilivyo Mashariki ya Kati baada ya Marekani kumuua Jenereli wa Iran ambapo Iran imeapa kulipiza kisasi kwa hali yoyote!
Je, Marekani hakuhakikisha kambi zake zina ulinzi wa kutosha au ndo mifumo ibovu ya ulinzi wa anga!?
Naona kila dalili ya marekani kuaibika. Anaweza kumpiga Iran ila atapata amadhara makubwa asiyotegemea!