Nahisi ujaelewa points yangu kuu mkuu.Lete credible source(neutral)!
Maana hata mashambulizi ya Marekani tunaona vyombo mbali mbali vya kimagharibi na mashariki vikiripoti casualties (like Soleiman killing and airstrike onPMU )
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama hakuna madhara yeyote wanafanya tahimini gani mpaka sasa hivi masaa yote hayo.
Na ndio kawaida ya marekani huwa akubali madhaifu yake hata kidogo.
Mpaka sasa hawajaruhusu vyombo vya habari kufika kwenye kambi zilizo shambuliwa sasa wanacho ficha ni nini kama hakuna madhara yeyote?
Iran ina watu wake ndani ya vyombo vya usalama vya Iraq kwa hiyo watakuwa wana ifahamisha kinacho endelea kwa hiyo wakisema kuna watu wamekufa si vyema kupuuza.
Vibomu vichache vya Iran lazima vionje Kenya na magaidi kupata nguvu ya kushambulia kambi za marekani zilizopo Kenya na kambi za kdf wakenya jiandaeni iran lazima itapatia .agaidi nguvu kuujumu washirika wake hasa nyinyi mliokubali kambi za kijeshi za marekani nchini kwenuMissile of the Nation,
Kaka kwenye vita huwa hamna cha taifa wala nini, ni kama ukiingia bar na ndugu yako halafu ghafla ugomvi uibuke baina yake na watu humo, hapo ulipo upigwe ngumi, utaingia kwenye ugomvi halafu baadaye ndio utahoji ilikuakuaje.
Mashambulizi ya Iran hayampigi Trump, yanaua wanajeshi Wamarekani, watoto wa Marekani, hapo tegemea full war. Ndio kama ilivyokua kwa Hitler, sio Wajerumani wote walitaka vita ila hapakua na jinsi.
Nenda kwenye mitandao ya kijamii uone Wamarekani, Warusi, Waarab, Wapakistani n.k. wanavyogombana humo, yaani wao tayari walishaanza kupigana full matusi na chuki.
Wewe angalia kambi ilivyochakazwaSiyo CNN pekee..hata RT,PRESSTV,BBC,AL JAZEERA,AL MASDAR,middle EAST EYE&MONITOR,ANADOLU NEWS AGENCY,TRT WORLD,SPUTNIK,RUPTY,AL ARABIYA,FOX NEWS na kuendelea sijaona habari za vifo zaidi nimeona tu picha ya baadhi ya makombora yaliyokosa shabaha!
View attachment 1315884View attachment 1315887View attachment 1315888View attachment 1315889View attachment 1315891
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂Kiduku alishasema yeye atapiga pale New York na Nyuklia kabisa.
dodge
Nchi ya Kiarabu pekee iliyopigwa mabomu wakati wa Osama ni Sudan, ambayo ni nchi ya Kiafrika. Usisahau hilo.Mzungu haji kama unavyofikiria brother.
Ulicheck wakati wa Osama, nchi za kiarabu zimepigwa kwa kisingizio eti tumepata taarifa kuwa Osama kakimbilia sehemu fulani; wanakupiga unabaki na maumivu!
Ujue kabisa hii vita ikitokea kuna Waafrika watakwenda kusaidia upande wa yule wanaomkubali. Na hapo ndipo utakuwa mwanzo wa chuki na kupigwa na either mzungu or mwarabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unadhani ni nini kinacho fanya wanawakataza waandishi wa habari kufika eneo tukio ili watuoneshe kilocho tokea?Mkuu kuwa rational.. Kambi hizo za marekani walikuwepo pia Wairaq,na nchi mbali mbali za NATO sasa kwa utashi wako iweje wote wasife wafe wamarekani tu.(yaani wasife Wairaki,Wacanada,Waingereza,Wajerumani nk)
Sent using Jamii Forums mobile app
Vikwazo zaidi kwa IRAN no MORE.....1. Vikwazo zaidi vya uchumi kwa Iran
2. Kutangaza vita kamili na Iran
3. Kuahidi kulipa kisasi
4. Kutuma balistic missile kwenda Iran
5. Au kutuma ndege za kivita Iran
Sent using Jamii Forums mobile app
Walihama Wapi Wakati Walikanusha Kama Hawatasep [emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza Uelewe ile Kambi iloshambuliwa,USA walishahama pale palikuwa gofu tu
Lets hope so ila hii vita itakuwa na impact kubwa sana kwa dunia nzima...Mungu atuokoe
sisi sote ni watoto wa Mungu, tupendaneTuombe Mungu aepushie mbali, sisi sote ni watoto wa Mungu, tupendane
Ila mkuu naomba uniambie huu ujasiri Iran kaupata wapi maana pamoja na Mimi kuwa upande wa Iran lakini sikutegemea kama Iran angeishambulia moja kwa moja marekani nilitegemea angewatumia mawakara wake.Mkuu kuwa rational.. Kambi hizo za marekani walikuwepo pia Wairaq,na nchi mbali mbali za NATO sasa kwa utashi wako iweje wote wasife wafe wamarekani tu.(yaani wasife Wairaki,Wacanada,Waingereza,Wajerumani nk)
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonekana Una UDINI ama UKABILA Unaokusumbua...Sio leo wala kesho.
Kwa kifupi simpendi mwarabu hana utu zaidi japo Us naye si mwema lakini heri nusu shari kuliko shari kamili
Sent using Jamii Forums mobile app