Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Lete credible source(neutral)!

Maana hata mashambulizi ya Marekani tunaona vyombo mbali mbali vya kimagharibi na mashariki vikiripoti casualties (like Soleiman killing and airstrike onPMU )

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi ujaelewa points yangu kuu mkuu.

Sina credible source ila shambulio la Iran kwenye hizo base za marekani unataka kusema hakuna kilichoaribika upande wa marekani?
 
General alipouliwa tuliona video na picha,ndege ya Ukraine imeanguka tuliona picha,hapo nadhani unamjua nani anafanya propaganda
Sasa kama hakuna madhara yeyote wanafanya tahimini gani mpaka sasa hivi masaa yote hayo.

Na ndio kawaida ya marekani huwa akubali madhaifu yake hata kidogo.

Mpaka sasa hawajaruhusu vyombo vya habari kufika kwenye kambi zilizo shambuliwa sasa wanacho ficha ni nini kama hakuna madhara yeyote?

Iran ina watu wake ndani ya vyombo vya usalama vya Iraq kwa hiyo watakuwa wana ifahamisha kinacho endelea kwa hiyo wakisema kuna watu wamekufa si vyema kupuuza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Missile of the Nation,
Kaka kwenye vita huwa hamna cha taifa wala nini, ni kama ukiingia bar na ndugu yako halafu ghafla ugomvi uibuke baina yake na watu humo, hapo ulipo upigwe ngumi, utaingia kwenye ugomvi halafu baadaye ndio utahoji ilikuakuaje.

Mashambulizi ya Iran hayampigi Trump, yanaua wanajeshi Wamarekani, watoto wa Marekani, hapo tegemea full war. Ndio kama ilivyokua kwa Hitler, sio Wajerumani wote walitaka vita ila hapakua na jinsi.

Nenda kwenye mitandao ya kijamii uone Wamarekani, Warusi, Waarab, Wapakistani n.k. wanavyogombana humo, yaani wao tayari walishaanza kupigana full matusi na chuki.
Vibomu vichache vya Iran lazima vionje Kenya na magaidi kupata nguvu ya kushambulia kambi za marekani zilizopo Kenya na kambi za kdf wakenya jiandaeni iran lazima itapatia .agaidi nguvu kuujumu washirika wake hasa nyinyi mliokubali kambi za kijeshi za marekani nchini kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo CNN pekee..hata RT,PRESSTV,BBC,AL JAZEERA,AL MASDAR,middle EAST EYE&MONITOR,ANADOLU NEWS AGENCY,TRT WORLD,SPUTNIK,RUPTY,AL ARABIYA,FOX NEWS na kuendelea sijaona habari za vifo zaidi nimeona tu picha ya baadhi ya makombora yaliyokosa shabaha!

View attachment 1315884View attachment 1315887View attachment 1315888View attachment 1315889View attachment 1315891

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe angalia kambi ilivyochakazwa
tapatalk_1578479768755.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aah nilidhani yuko kwenye national television akideclare war against Iran
 
Wamerekani wamepata karais katunduu!
 
Mzungu haji kama unavyofikiria brother.

Ulicheck wakati wa Osama, nchi za kiarabu zimepigwa kwa kisingizio eti tumepata taarifa kuwa Osama kakimbilia sehemu fulani; wanakupiga unabaki na maumivu!

Ujue kabisa hii vita ikitokea kuna Waafrika watakwenda kusaidia upande wa yule wanaomkubali. Na hapo ndipo utakuwa mwanzo wa chuki na kupigwa na either mzungu or mwarabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi ya Kiarabu pekee iliyopigwa mabomu wakati wa Osama ni Sudan, ambayo ni nchi ya Kiafrika. Usisahau hilo.

Nchi nyingine ipi ya Kiarabu ilipigwa kwa ajili ya Osama?
 
Mkuu kuwa rational.. Kambi hizo za marekani walikuwepo pia Wairaq,na nchi mbali mbali za NATO sasa kwa utashi wako iweje wote wasife wafe wamarekani tu.(yaani wasife Wairaki,Wacanada,Waingereza,Wajerumani nk)

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unadhani ni nini kinacho fanya wanawakataza waandishi wa habari kufika eneo tukio ili watuoneshe kilocho tokea?
 
Mkuu kuwa rational.. Kambi hizo za marekani walikuwepo pia Wairaq,na nchi mbali mbali za NATO sasa kwa utashi wako iweje wote wasife wafe wamarekani tu.(yaani wasife Wairaki,Wacanada,Waingereza,Wajerumani nk)

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu naomba uniambie huu ujasiri Iran kaupata wapi maana pamoja na Mimi kuwa upande wa Iran lakini sikutegemea kama Iran angeishambulia moja kwa moja marekani nilitegemea angewatumia mawakara wake.
 
Back
Top Bottom