Fiziolojia
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 815
- 1,080
Uzuri huyu jamaa anatimiza kile anachokisema tofauti kabisa na yule"mzee wa kutweet".Ayyatollah amenena live ,pigo litajibiwa na pigo la nguvu zaidi! Kumekucha 2020.,
Wameuliwa 80,kama unataka kujua Trump anadanganya,anasema everything is well,lakini wakati huohuo anasema wanafanya tathmini ya casualties
Wale mnaobisha tizama jinsi Ngome ya marekani iraq ya Al Asad airbase ilivyochakazwa halafu mnasema hakuna wanajeshi wa marekani waliukufa!!!?
Halafu mashambulizi yalikuwa ya ambush mishale ya saa saba za usiku
Can't be serious.View attachment 1315816
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Polen sanaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14][emoji14]Tumeanza kumpa Earthquake kwanzaView attachment 1316023View attachment 1316024
Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
Endelea kusisitiza ila IRAN Sio WaarabuUarabu ni utamaduni sio kabila, nasisitiza Iran ni Waarabu.
Wewe ndiue mdini mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umeona kutoka rohoni; kanisa liko karibu kunyakuliwa na Bwana YESU kabla hizo nyuklia za ukweli hazijatumika. Dalili za mvua ni mawingu; YESU ANARUDI soon, MARANATHAJamani tumuombe Mungu
Bora arudi Nina mengi ya kumuulizaWewe umeona kutoka rohoni; kanisa liko karibu kunyakuliwa na Bwana YESU kabla hizo nyuklia za ukweli hazijatumika. Dalili za mvua ni mawingu; YESU ANARUDI soon, MARANATHA
Ok,sasa nimekuelewa.. Vipo lakini watu wamejikita zaidi na binadamu(askari kuwa hakuna aliyekufa)..Nahisi ujaelewa points yangu kuu mkuu.
Sina credible source ila shambulio la Iran kwenye hizo base za marekani unataka kusema hakuna kilichoaribika upande wa marekani?
Siyo CNN pekee..hata RT,PRESSTV,BBC,AL JAZEERA,AL MASDAR,middle EAST EYE&MONITOR,ANADOLU NEWS AGENCY,TRT WORLD,SPUTNIK,RUPTY,AL ARABIYA,FOX NEWS na kuendelea sijaona habari za vifo zaidi nimeona tu picha ya baadhi ya makombora yaliyokosa shabaha!
View attachment 1315884View attachment 1315887View attachment 1315888View attachment 1315889View attachment 1315891
Sent using Jamii Forums mobile app
Amerika KWANZA; hawa jamaa wanathamini sana uhai raia wao hata kama ni mmoja asiuwawe. Kwa hili watakuwa pamoja sanaTaifa la Marekani haliko upande wa Trump kwenye hii vita, ni Trump yeye kama yeye ndo anapigana. Na bila "kuuza sababu za vita" kwa wananchi wa marekani ukaeleweka basi utakuwa unafight a losing war.
Kwa upande wa Iran Taifa zima limeungana nyuma ya viongozi wao na liko tayari kwa chochote.
Kitendo cha Trump kutishia kupiga Cultural sites za Wairan kimewakera mno Wairan kwa hiyo wako tayari kwa lolote.
Kutokana na hilo, Sioni ni kwa namna gani Trump anaweza kujicommit kwenda vitani na Iran halafu akaungwa mkono na bunge la nchi hiyo lenye mademocrats wengi
Mkuu nahisi hujanielewa nimesema kuhusu vifo..huyo vyombo havijaripoti kuhusu vifo kutokea..ila material damage razima zitakuwepo.
Iran Media Says Missile Strikes Killed 20 'American Terrorists'
Nani aliyemfuata mwenzake nyumbani kutafuta ugomvi.? Marekani au vietnamKwa hiyo vita ya vietnam wamarekani walikuwa wanaua tu wavietnam huku wavietnam wakiwa hawaui wamarekani.Unataka kusema wavieynam walikuwa wameka tu.Hata hao wafuasibwa kasim suleiman wao unataka kuniambia hawajamwaga damu za watu.Acha ushabiki mbuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanisa=WALIOKOKA/WalokoleWewe umeona kutoka rohoni; kanisa liko karibu kunyakuliwa na Bwana YESU kabla hizo nyuklia za ukweli hazijatumika. Dalili za mvua ni mawingu; YESU ANARUDI soon, MARANATHA