Yapo,ila pasipo kufundishwa huwezi kuelewa chochote.Mkuu naona umekomaa na utabiri mara siku za mwisho. Haya mambo mnayapata wapi kwenye biblia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cryptocurrency ilitabiriwa kwa namna gani kweny bible..Bible mkuu mfano mwingine cryptocurrency ilishatabiriwa itakuja na tunaona ipo na inafanya kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitabu cha Daniel nmesoma chote hamna kitu sijui ..nmesoma kama historia nimesoma pia kama utabiri ..mambo mengi yaliyoandikwa mule tame/yalitokea...ila kuhusu kuibuka kwa Iran apo uko wrongMkuu Ni ndani ya teolojia yanapatikana hayo yote,uchambuzi yakinifu wa Biblia ulifanika vyema ungelipata BIBLIA ungelisoma Daniel & Ufunuo wa Yohana utapata mengi zaidi ya haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani mpk sasa hivi watakua wameshaelewa Iran uwezo wake kwny medani ukoje.
Dunia nzima nikiangalia ni nchi ngapi zinaweza kufyatua makombora kwenda kwny kambi ya kijeshi ya US aisee hata 5 zinaweza zisifike.
dodge
Ziposabaamkuuunamzigoowamaana
Hiyo ni history,sio ufunuo,habari iliandikwa baada ya matukio,ukiifuta history,kwanza babeli haikuwa falme ya mwanzo,pili babel sio ufalme pekee ulioanguka Hadi kwamba uhitaji unabii,mbona hakuna unabii wa British empire?,Songhai au Mali empire,Utawala wa kwanza ulikuwa wa babeli enzi za Nebuchadnezzar... So isome daniel yote utaona kipindi hicho nabii Daniel alikua mateka muisrael akiwa utumwani babeli....kupitia hiyo alimtabiria Nebuchadnezzar mwisho wa ufalme wake wa babeli,kuja kwa ufalme wa waamedi na waajemi,kuja kwa wagiriki na kisha ufalme wa Roma....ukitoka hapo utapata mwanga ndo uje kusoma ufunuo,,,ameiendeleza kuanzia ufalme wa Roma utakapokufa na utakavyokuja kurudi,marekani..na new world order....in short pray holy spirit to guide you unapovisoma hivyo vitabu...
sio waislamu kwa mujibu wa waislamu wengi ambao sio shialakini ni waislam,ingawa ni waajemi..
Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).
Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
Wewe ni jamaa bwana. Hivi unadhani hayo unayosema Iran hawakuyajua? Unajua kiwa Irani anatengeneza drone zake mwenyewe, Unajua kuwa Irani inaunda ndege na makombora yake mwenyewe? It seems hujaelewa nguvu za Iran.
Sent using Jamii Forums mobile app
80 American were killed in attacks involving 22 missiles attack
Uajemi=Iran hawana uwezo kuangusha Marekani kijeshi. Mwenye uwezo wa kuangusha Marekani ni huyu Trump.Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).
Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
"Kila kitu kipo sawa, Kambi zetu mbili za Jeshi la Marekani zilizopo Iraq zimeshambuliwa na Iran, tunafanya tathmini kujua kama kuna waliopata madhara au uharibu wowote wa mali, yote kwa yote tuna vifaa Bora vya kivita kuliko Nchi yoyote Duniani, nitatoa tamko hivi punde" -Donald Trump, Rais wa Marekani