Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

The Mohajer was Iran's first drone to enter series production and was used during the Iran–Iraq War. The Mohajer-1 was known simply as "Mohajer" through the 80s and 90s, when it was re-designated "Mohajer-1" as other Mohajer variants had been developed.
 
Mkuu Ni ndani ya teolojia yanapatikana hayo yote,uchambuzi yakinifu wa Biblia ulifanika vyema ungelipata BIBLIA ungelisoma Daniel & Ufunuo wa Yohana utapata mengi zaidi ya haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitabu cha Daniel nmesoma chote hamna kitu sijui ..nmesoma kama historia nimesoma pia kama utabiri ..mambo mengi yaliyoandikwa mule tame/yalitokea...ila kuhusu kuibuka kwa Iran apo uko wrong

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utawala wa kwanza ulikuwa wa babeli enzi za Nebuchadnezzar... So isome daniel yote utaona kipindi hicho nabii Daniel alikua mateka muisrael akiwa utumwani babeli....kupitia hiyo alimtabiria Nebuchadnezzar mwisho wa ufalme wake wa babeli,kuja kwa ufalme wa waamedi na waajemi,kuja kwa wagiriki na kisha ufalme wa Roma....ukitoka hapo utapata mwanga ndo uje kusoma ufunuo,,,ameiendeleza kuanzia ufalme wa Roma utakapokufa na utakavyokuja kurudi,marekani..na new world order....in short pray holy spirit to guide you unapovisoma hivyo vitabu...
Hiyo ni history,sio ufunuo,habari iliandikwa baada ya matukio,ukiifuta history,kwanza babeli haikuwa falme ya mwanzo,pili babel sio ufalme pekee ulioanguka Hadi kwamba uhitaji unabii,mbona hakuna unabii wa British empire?,Songhai au Mali empire,
Angalia timeline ya Daniel kazaliwa lini,kafa lini na Nani mwandishi halisi was kitabu hicho
 
Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).

Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k

upo mbali sana. ulimwengu hauwezi kurudi tena mashariki ya kati.. huko walishatoka kitambo. ulimwengu sasa hivi unambilia china india na brazil


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni jamaa bwana. Hivi unadhani hayo unayosema Iran hawakuyajua? Unajua kiwa Irani anatengeneza drone zake mwenyewe, Unajua kuwa Irani inaunda ndege na makombora yake mwenyewe? It seems hujaelewa nguvu za Iran.

Sent using Jamii Forums mobile app

Iran hana teknolojia yeyote. makombora ya Iran ni yale ya Urusi anayabadilisha tu rangi ya nje na anayapa majina ya kiarabu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).

Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
Uajemi=Iran hawana uwezo kuangusha Marekani kijeshi. Mwenye uwezo wa kuangusha Marekani ni huyu Trump.
Halafu tafadhali tutumie akili ya wastani tukitazama dunia. Nani aliua watu wengi sana katika historia? Si Marekani ingawa walifanya vibaya. Sina sababu ya kutetea Marekani lakini tusiache akili na elimu kando.
Je umejua vita ya Kongo ya 1998-2003 iliua watu milioni kati ya 2.5 hadi 5? Na vita ya Vietnam (haikufikia namba za vifo vya Vietnam) ilianzishwa na uvamizi wa jeshi la kaskazini (ambako Marekani iliingilia kutetea serikali ya kusini?). Vita ya Iraki ilikuwa vibaya sana - ila tu idadi ya vifo haifikii idadi ya vifo vya Rwanda.
Soma: List of wars by death toll - Wikipedia

Halafu kuhusu siku za kale na Uajemi: je umesikia kwamba Uajemi wakati wa Biblia ilishindwa na Wagiriki, na jeshi la Wagiriki ilijaa washoga?
 
Iran hayo kurusha hayo makombora ni kajitutumua tu ili aonekane karevange ila hamna cha maana alichofanya. Marekani hawezi kurusha mabomu Iran coz kazi yake
kubwa keshaifanya ambayo ni kumuua solemani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
North Korea alilalama mwisho akadai vita ikianza ataua raia wengi sana aka surrender jamaa ni mzuri kutweet.
"Kila kitu kipo sawa, Kambi zetu mbili za Jeshi la Marekani zilizopo Iraq zimeshambuliwa na Iran, tunafanya tathmini kujua kama kuna waliopata madhara au uharibu wowote wa mali, yote kwa yote tuna vifaa Bora vya kivita kuliko Nchi yoyote Duniani, nitatoa tamko hivi punde" -Donald Trump, Rais wa Marekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom