mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Waarabu huwa hawachukua muda kusalitiana.Halafu vita dhidi ya Iran havitakua vya kawaida maana kule mamilioni Wa-Iran wenyewe ni full mzuka na mihemko, hivho Marekani hatopigana akiwa na nia ya kuwakomboa dhidi ya utawala, kwa kifupi hapeleki 'demokrasia' kama afavyo kwenye mataifa mengine, hii itakua vita baina ya Marekani na Iran, tofauti na ile ya hapo Iraq ambayo ilikua baina ya Marekani na Saddam.
Tegemea mamilioni wa Iran kujiunga kwenye ugomvi wakielekea Iraq kuliko wanajeshi wa Marekani, kwa hivyo firepower atakayotumia Marekani ni 'carpet bombing', yajayo yamekaa ovyoo kishenzi, hawa wanataka kutuharibia kadunia ketu haka.
Vifo Bado wanaficha,uhalibifu ni mkubwA,Kuna ndege za kivita zimeharibiwa
Ushoga wewe unakuuma nini?Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).
Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
Tuliwaambia Hawa waajemi hawapendagi ujinga
Mkoloni wako akiwa vitani hupati misaadaAcheni uoga.
Dunia sasa imebadilika.
Kama vita watapigana wenyewe mambo ya mkoloni wako anapigana vita na wewe ukamsaidie yamepitwa na wakati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaweza walau kutupa abcd za hizo hesabu nasi tujifunze? Ubarikiwe sanaSAFI ..NA HUU NDIO UKWELI...
Mimi sio mtalaamu sana wa Maandiko na Tabiri, Ila katika kujifunza ,
Inaonyesha tupo Juma LA Mwisho la kuishi kwa Mwanadamu.
Hesabu hazidanganyi.
Una confirm kutokea mbagala kutoka kwenye westerns media alafu uie upost JF? 😝😝Mi Bado nafuatilia kucomfirm Kama F-35 ilipigwa Jana ikijaribu kuingia Iran baada ya shambulizi
Walisema Iran anabweka tu.hakuna jeshi lenye kumuogopa adui hata kama atakuwa anazidiwa uwezo na adui yake.askari hawi muoga.Tulia wewe,si mlisema Iran hatafanya kitu?
dodge
Hamna kitu pale,ataishia tu kuandika kule twitter we have powerful army bla bla bla lkn hana kubavu wa kuzipiga.
hadi sasa hawajasema uharibifu kiasi gani umetokea, yawezekana kala vichwa kiasi tusubiri majibu
Hujaijua vzur marekan mkuu,nakushaur jikumbushe matukio mbalmbal yaliyopelekea vita kwa marekan enz hzoTaifa la Marekani haliko upande wa Trump kwenye hii vita, ni Trump yeye kama yeye ndo anapigana. Na bila "kuuza sababu za vita" kwa wananchi wa marekani ukaeleweka basi utakuwa unafight a losing war.
Kwa upande wa Iran Taifa zima limeungana nyuma ya viongozi wao na liko tayari kwa chochote.
Kitendo cha Trump kutishia kupiga Cultural sites za Wairan kimewakera mno Wairan kwa hiyo wako tayari kwa lolote.
Kutokana na hilo, Sioni ni kwa namna gani Trump anaweza kujicommit kwenda vitani na Iran halafu akaungwa mkono na bunge la nchi hiyo lenye mademocrats wengi
Walisema Iran anabweka tu.hakuna jeshi lenye kumuogopa adui hata kama atakuwa anazidiwa uwezo na adui yake.askari hawi muoga.