Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Chief Magu, Kutokana na yaliyoelezewa kuhusu hyo pembe Pembe ndogo, bila shaka huo ni utawala wa kidini wenye nguvu ya kisiasa pia, possibly ni utawala wa Baba mtakatifu (Pope)..
Kuna kpind alikuwa kama Raisi wa dunia , kabla ya nguvu yake kuzimwa kwenye mapinduz ya Ufaransa , na hapo ndipo madhehebu mengine yakapata nguvu ya kujinasua , lakn sa hv ameanza kupata nguvu taratibu akipewa uwezo na USA pia
 
Hakuna vita hapo ni maigizo tu Irani wamemtoa kafara General Qasim ili kupata mkate wa siagi (Mafuta ya Iraq)
IMG-20200105-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umesahau alivyoipiga Syria mbele ya russia na Russia wakaufyata

Sent using Jamii Forums mobile app
Russia hamna kitu , ni makelele tu , na hao akina Kim ni ushumbwanda Tu, hata network wanatumia za USA , aliye safe kdog ni China , Ila hataki masuala ya kvita vita ni kuangamiza roho za watu tuu hakuna kingine cha maana , matokeo ya vita ni kama haya , thaman ya maisha inakuwa haipo
images (33).jpeg
images (34).jpeg
 
Halafu vita dhidi ya Iran havitakua vya kawaida maana kule mamilioni Wa-Iran wenyewe ni full mzuka na mihemko, hivho Marekani hatopigana akiwa na nia ya kuwakomboa dhidi ya utawala, kwa kifupi hapeleki 'demokrasia' kama afavyo kwenye mataifa mengine, hii itakua vita baina ya Marekani na Iran, tofauti na ile ya hapo Iraq ambayo ilikua baina ya Marekani na Saddam.
Tegemea mamilioni wa Iran kujiunga kwenye ugomvi wakielekea Iraq kuliko wanajeshi wa Marekani, kwa hivyo firepower atakayotumia Marekani ni 'carpet bombing', yajayo yamekaa ovyoo kishenzi, hawa wanataka kutuharibia kadunia ketu haka.
Daah kweli hali mbaya nauona mwisho mbaya Sana , ila wacha wamaliza nasi weusi tukawekeze huko nakusaidia wakimbizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo hakuna vita itakayo tokea kwa maana Marekani hana uwanja wa kuutumia kuishambulia Iran..kila taifa limegoma ardhi yake kutumiwa kufanya mashambulizi kwa Iran.

Hatua amabayo Marekani itachukua ni kuiwekea vikwazo vya kiuchumia Iran.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ina maana hakuna waliokufa?
Trump kasema
All is well! Missiles launched from Iran at two military bases located in Iraq. Assessment of casualties & damages taking place now. So far, so good! We have the most powerful and well equipped military anywhere in the world, by far! I will be making a statement tomorrow morning.
 
Kwa mujibu wa barua ya General ambayo baadaye waliikana inaonekan marekani ilikuwa imeshajiondoa kwenye makambi hayo na kujificha kusikojulikana, husishangae hakuna aliyekufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Infact hata hiyo barua ingekua hai jua usa isingeweza kutoa majeshi yake yote ndani ya siku mbili.

Hiyo barua ilitwnguliwa na waziri wa ulinzi. Majeshi ya usa yapo iraq bado.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom