Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Retaliation ya namna hii lazima patachimbika vibaya, maana wote wamejawa na 'ego'..... Marekani hatokaa kimya baada ya shambulizi la moja kwa moja kutoka Iran hadi kwenye jeshi lake. Tunakwenda pabaya
usa hawezi anzisha vita,ataweka tu vikwazo,vita na taifa kubwa la kiislam kama iran,ni kuchafua mashariki ya kati yote,iran atalipua bezi sa usa katika nchi za kiarabu zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mvaa wigi Trump hamna kitu atafanya zaidi ya kulia lia kule twitter

dodge
 
Hizo story 2, wamarekani walikufa wengi Vietnam lakin yeye akasema wachache, so husitegemee taarifa yoyote ya ukwel kuhusu vifo vya wamarekani
Kwa mujibu wa barua ya General ambayo baadaye waliikana inaonekan marekani ilikuwa imeshajiondoa kwenye makambi hayo na kujificha kusikojulikana, husishangae hakuna aliyekufa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).
Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
Wake up mkuu acha kuotoa
 
Ushimen Marekani amendoa wananchi wake tu huko Iraq ila wanajeshi wake wapo kama kawaida na ndiyo kwanza wamewaongeza ili kujiandaa kivita, unafikiri Marekan ataweza kuliondoa jeshi lake Iraq? Ili amkabiri Iran akiwa nchi gan ikiwa Saudia ana maslah yake lukuki!
Marekani hakutarajia kama ngome zake zinaweza kufikiwa na makombora Iran, hvi unafikiri hakukuwa na mifumo yakujilinda makombola hapo? Yapo lakin ndo hvo mvua zimepita.
Marekani watutangazie tu wanajeshi wangapi wamekata kamba kama walivyo muua jenerali wa iran.
Dunia inasubiri itangaziwe kamanda atakaenda kuifurusha Iran na kanzu na ndevu zao.

Biashara kubwa kuliko zote duniani Ni biashara ya kutumia au kuuza silaha. Mataifa yametengeneza silaha, yatazitumoa wapi?

Iran zitatumika tu na ndio mwisho wa taifa la kimapinduzi la Iran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trump atakuja analia lia tu kule twitter,hawezi kurusha hata risasi 1 kwenda Iran.
Dunia inasubiri itangaziwe kamanda atakaenda kuifurusha Iran na kanzu na ndevu zao.

Biashara kubwa kuliko zote duniani Ni biashara ya kutumia au kuuza silaha. Mataifa yametengeneza silaha, yatazitumoa wapi?

Iran zitatumika tu na ndio mwisho wa taifa la kimapinduzi la Iran

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Mimi bado nawaza ile pembe ndogo iliyotabiriwa na Nabii Daniel ni ipi? Huwenda labda ile pembe ndogo ndio Iran inachipukia kuiangusha pembe kubwa America...

Ngoja nirudi kwenye maandiko...

Sent using Jamii Forums mobile app
Daniel 7... Ni taifa dogo ambalo halitakuwa miongoni mwa madola manne makubwa yatakayo pambana vita hii haitakuwa iran
 
Back
Top Bottom