Kwa mujibu wa barua ya General ambayo baadaye waliikana inaonekan marekani ilikuwa imeshajiondoa kwenye makambi hayo na kujificha kusikojulikana, husishangae hakuna aliyekufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi bado nawaza ile pembe ndogo iliyotabiriwa na Nabii Daniel ni ipi? Huwenda labda ile pembe ndogo ndio Iran inachipukia kuiangusha pembe kubwa America...
Ngoja nirudi kwenye maandiko...
Sent using Jamii Forums mobile app
I see...Marekani wanadhani iran isinge retaliate?
They are on cocaine!
Maandiko yametabiri Marekani itaangushwa na Irani,Kisha Irani itakua dola yenye nguvu duniani kwa muda Kisha itaangushwa na North Korea,tukiangalia maandiko Marekani Ni mwisho wake umekaribia.
Sent using Jamii Forums mobile app
usa hawezi anzisha vita,ataweka tu vikwazo,vita na taifa kubwa la kiislam kama iran,ni kuchafua mashariki ya kati yote,iran atalipua bezi sa usa katika nchi za kiarabu zote.Retaliation ya namna hii lazima patachimbika vibaya, maana wote wamejawa na 'ego'..... Marekani hatokaa kimya baada ya shambulizi la moja kwa moja kutoka Iran hadi kwenye jeshi lake. Tunakwenda pabaya
Lazima impact zake tuzione tu,labda marekani kama atatumia busara
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa barua ya General ambayo baadaye waliikana inaonekan marekani ilikuwa imeshajiondoa kwenye makambi hayo na kujificha kusikojulikana, husishangae hakuna aliyekufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kagera Bukoba Kashai Kashenye Kisindi
Wake up mkuu acha kuotoaKama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).
Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
Dunia inasubiri itangaziwe kamanda atakaenda kuifurusha Iran na kanzu na ndevu zao.Ushimen Marekani amendoa wananchi wake tu huko Iraq ila wanajeshi wake wapo kama kawaida na ndiyo kwanza wamewaongeza ili kujiandaa kivita, unafikiri Marekan ataweza kuliondoa jeshi lake Iraq? Ili amkabiri Iran akiwa nchi gan ikiwa Saudia ana maslah yake lukuki!
Marekani hakutarajia kama ngome zake zinaweza kufikiwa na makombora Iran, hvi unafikiri hakukuwa na mifumo yakujilinda makombola hapo? Yapo lakin ndo hvo mvua zimepita.
Marekani watutangazie tu wanajeshi wangapi wamekata kamba kama walivyo muua jenerali wa iran.
Tusijidanganye na maandiko hayo ambayo kila mtu anaweza andikaMaandiko yametabiri Marekani itaangushwa na Irani,Kisha Irani itakua dola yenye nguvu duniani kwa muda Kisha itaangushwa na North Korea,tukiangalia maandiko Marekani Ni mwisho wake umekaribia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia inasubiri itangaziwe kamanda atakaenda kuifurusha Iran na kanzu na ndevu zao.
Biashara kubwa kuliko zote duniani Ni biashara ya kutumia au kuuza silaha. Mataifa yametengeneza silaha, yatazitumoa wapi?
Iran zitatumika tu na ndio mwisho wa taifa la kimapinduzi la Iran
Sent using Jamii Forums mobile app
Daniel 7... Ni taifa dogo ambalo halitakuwa miongoni mwa madola manne makubwa yatakayo pambana vita hii haitakuwa iranMimi bado nawaza ile pembe ndogo iliyotabiriwa na Nabii Daniel ni ipi? Huwenda labda ile pembe ndogo ndio Iran inachipukia kuiangusha pembe kubwa America...
Ngoja nirudi kwenye maandiko...
Sent using Jamii Forums mobile app