Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Na pentagon wanasema katika sheria za kimataifa za vita hairuhusiwi kupiga cultural sites kwa namna yoyote, ila Trump anaforce

Goite
Vita haina macho.
 
Nimeona hii kitu, Iran wamekasirika sana kwa walichofanyiwa na Marekani, sasa Trump nae sijui kama ataweza kuvumilia hilo la kushambuliwa kituo chao lipite, kwasababu inaonekana hakuna madhara makubwa yaliyotokea, but Trump huyu... fingers crossed.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaah we jamaa kwa fix duh[emoji23][emoji23][emoji23]
Sina uhakika,maana usiku ndege za marekani zilinyanyuka kuelekea Iran,na Trump alikuwa ahutubie taifa lake usiku huohuo,ghafla Trump akaahirisha hotuba,
Nikasikia Kuna ndege ya marekani imetunguliwa karibu na bandar Abbas,
Mida ya saa Tisa za usiku,now sijui kuliendaje maana Trump mpaka Sasa Yuko kimya,wanadai no casualties Bado wanafanya assessment

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazani ao majirani watakaa tu kama roboti et iran ana piga mabomu yake kwao....apo ni kichapo tu iran ndo ata umia zaidi




Inauma eeeh
Kati ya wanaume wa kiislam/kiarabu,waliobaki kwa sasa duniani ni irani pekeake,hata kupiga hayo makombora 15 ni ujasiri wa hali ya juu,ukiondoa russia,china,na north korea,,hakuna mwingine anaeweza kulipa kisasi,hata kurusha risasi moja kwenye himaya ya usa,,iran imewaonya majirani zake wote,ambao wamemkubalia usa kuweka ,,base,, zake,kuwa watakuwa target ya kwanza kushambuliwa,,SWALI,,je mataifa ya kiarabu yako tayari,raia wake wafe,majengo marefu yaporomoshwe na makombora ya iran,amani ichafuke na uchume uyumbe,kwa ajili ya maslahi ya USA?ili hali huko usa raia wake wanastarehe hawana bugdha yeyote...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana usiku baada ya shambulizi,ndege za marekani Kama sita zikanyanyuka toka UAE kuelekea Iran,
Iran wakatoa onyo kwa United Arab Emirates kuwa endapo hizo ndege zitapiga iran,wao wataupiga mji wa Dubai,baada ya mda sikusikia ndege za marekani kujibu mashambulizi,
Wakati huo Iran ndege zake zishaingia anga la Iraq ,ripoti ya mwisho kabla sijapitiw usingizi Iran wametungua ndege ya marekani karibu na bandar Abbas,Bado sijaconfirm
Waingie KABISA US!
MBINU KTK MEDANI BADO MAREKANI YUPO UPPER HAND [emoji44]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trump anasema bado wanafanya tathmini ya hasara wewe unasema mabomu yameanguka pembeni! Ebu tufafanulie, uko Pentagon command and control centre ama Kilimatinde?( jokes)
Muda si mrefu majibu yatapatikana
Screenshot_20200108-091703.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haijalishi madhara ni makubwa ama madogo lakini Iran kashambulia kambi mbili kwa mpigo pasipo rada za Marekani kuyapangua makombora
Nimeona hii kitu, Iran wamekasirika sana kwa walichofanyiwa na Marekani, sasa Trump nae sijui kama ataweza kuvumilia hilo la kushambuliwa kituo chao lipite, kwasababu inaonekana hakuna madhara makubwa yaliyotokea, but Trump huyu... fingers crossed.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watapigwa Waarabu na Waafrika pekee.
Wazungu watabaki kutufariji na kutuletea misaada baada ya majeraha na mauaji ya kutisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu vita ya zamani sio ya Sasa.

Zamani mzungu mmoja alikuwa na uwezo wa kukamata mabaunsa watano wa kiafrica ili wammebe ila Sasa hivi naamini hata wewe mzungu akikujia kihasara unamla vibaya Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran kuna kiburi anakipata nyuma ya pazia

Sent using Jamii Forums mobile app
Urusi, North korea au China...Ila Iran wanataka washambuliwe waiingize Israel vitani ili kuungwa mkona na waarabu pro-Shai.
Trump nae anashida ya maelewano na wapanga vita wake.. anata 'pigaua' bila kujali upande wa kisiasa kwake na uhusiano na mataifa ya Ulaya
 
Kuna pro US walisema Iran hawezi ku retaliate lakini amefanya hivyo ndani ya muda mfupi tena huku vikosi vya Marekani kote duniani hususan Iraq vikiwa kwenye high alert.Iran sio wakumbeza ana nguvu kubwa kijeshi na kiteknolojia
Like Saddam Hussein [emoji3][emoji3][emoji3][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom