Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Mbona kuna taarifa kuwa iran wamepiga off~target..

Nasikia wamepiga makontena ya korosho huko.
 
Mbona drone za US ilipomwua Jenerali america waliclaim wenyewe wamehusika kwanini Iran isiseme wameua wangapi,poor technology hujui hata umeua wangapi ndo utakuja kupambana na US?
Kwa kua yeye ndiye yupo kwny hizo kambi zilishambuliwa za US sio?

dodge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tupe chanzo chako,kinachosema amepiga,,off target,,au hujui maana ya off target?mpaka marekani wamekiri kambi zao zimeshambuliwa,na wanatathimini damage iliyotokea ndo watoe majibu,,sasa hiyo off target,ameipiga nje ya kambi au?kumbuka nchi ile ni iraq,kama amepiga nje ya kambi usa,hawana hasara...
Mpak sasa graph inasoma Us 50 Iran 0 , Kwanza Kwa status ya Yule Mkuu wa majeshi aliyeuawa Iran inatakiwa iue mtu wa status hyo hyo toka marekan , ikishindikana aue Us soldiers 50K ndo thaman ya Yule Mkuu wa majeshi , cha kushangaza kashambulia Iraq tena kapiga offtarget, matokeo ya kukurupuka na mihemko na hii ni Kwa sababu watu wa Iran shule hamna ni weupe tuu kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa hili

Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu

Iran wewe ni mwanangu wa muda mrefu sana huwa nakutetea sana lakin siku hizi umekua muoga wa waoga sana aisee

Yaan kamanda mkuu wa jeshi kauwawa alafu wewe unaenda kulipiza kisas kitoto toto tu

Yaan upapiga off target katika kambi za America huko iraq sasa ndo nini sasa

Ua hata wanajeshi 50 bas

Siyo unaenda kulipa kisasi hujaua hata mmoja alafu unajisifu hapa

Umeniangusha sana mwanawane Iran


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
We upo kwenye izo kambi zilizoshambuliwa?.maana unajuaje kama madhara hakuna pasipo kuwepo eneo latukio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina uhakika,maana usiku ndege za marekani zilinyanyuka kuelekea Iran,na Trump alikuwa ahutubie taifa lake usiku huohuo,ghafla Trump akaahirisha hotuba,
Nikasikia Kuna ndege ya marekani imetunguliwa karibu na bandar Abbas,
Mida ya saa Tisa za usiku,now sijui kuliendaje maana Trump mpaka Sasa Yuko kimya,wanadai no casualties Bado wanafanya assessment
US wanaficha maradhi...ngoja kifo kitawaumbua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi kumbe lile kombora lililopita hapa Chamwino usiku wa kuamkia leo lilirushwa na Iran kuelekea kambi ya NATO huko Iraq?
 
Ushimen Marekani amendoa wananchi wake tu huko Iraq ila wanajeshi wake wapo kama kawaida na ndiyo kwanza wamewaongeza ili kujiandaa kivita, unafikiri Marekan ataweza kuliondoa jeshi lake Iraq? Ili amkabiri Iran akiwa nchi gan ikiwa Saudia ana maslah yake lukuki!
Marekani hakutarajia kama ngome zake zinaweza kufikiwa na makombora Iran, hvi unafikiri hakukuwa na mifumo yakujilinda makombola hapo? Yapo lakin ndo hvo mvua zimepita.
Marekani watutangazie tu wanajeshi wangapi wamekata kamba kama walivyo muua jenerali wa iran.
Wapo wanajeshi wa marekani waliokufa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Retaliation ya namna hii lazima patachimbika vibaya, maana wote wamejawa na 'ego'..... Marekani hatokaa kimya baada ya shambulizi la moja kwa moja kutoka Iran hadi kwenye jeshi lake. Tunakwenda pabaya
Trump atakuwa mpole maana anaogopa kushindwa uchaguzi. Akilipiza nao Iran wakalipiza tena basi anaweza kuingia kwenye vita ya muda mrefu akaishia kuwa rais wa one term. Hiki kitu Trump akikiwaza huwa anapata maruweruwe

Labda atawaweka kiporo Iran aje awapige baada ya Nov
 
Iran sio Underdog kama watu wanavyofikiri.
Wana teknolojia na mfumo mzuri wa kijeshi.
Akipata support ya Russia vita itakuwa kubwa sana.
Israel atakuwa targeted+others Arab countries
 
Unazungumzia wairani tunaoishi buza
Mpak sasa graph inasoma Us 50 Iran 0 , Kwanza Kwa status ya Yule Mkuu wa majeshi aliyeuawa Iran inatakiwa iue mtu wa status hyo hyo toka marekan , ikishindikana aue Us soldiers 50K ndo thaman ya Yule Mkuu wa majeshi , cha kushangaza kashambulia Iraq tena kapiga offtarget, matokeo ya kukurupuka na mihemko na hii ni Kwa sababu watu wa Iran shule hamna ni weupe tuu kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona drone za US ilipomwua Jenerali america waliclaim wenyewe wamehusika kwanini Iran isiseme wameua wangapi,poor technology hujui hata umeua wangapi ndo utakuja kupambana na US?

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani kashambulia mtu ambaye ametoka airport yupo kwenye usafiri wa kawaida anaenda kuonana na kiongozi wa Iraq, wakati Iran wao wameshambulia base yenye mpaka mifumo ya kujilinda na makombora.sasa hapo nani mkali?

Alafu wanatuambia kuwa wana uwezo wa kuzuiya ICBM wakati balistic missile zimewatoa jasho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom