Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Mi nadhan hakuna vita itakayotokea, na hakuna anaetaka vita sio US wala Iran.

Javad Zarif, Foreign Minister wa Iran kwnye twitter page yake..... anasema baada ya kuattack base za US wame "conclude" revenge yao and hawana mpango wa vita.

Iran wako under pressure kutoka ndani to respond lakini wamefanya shambulio calculated bila kusababisha casualties/vifo na kuplay diplomacy.

Kwa sasa nadhan balance kwny hii saga is restored, US walimuua general wakabaki na guilt, Iran amerespond somehow so guilt is written off...... suala hapa ni "what comes next", tusitegemee vita ila figisu zitaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wapi wametangaza kwamba kwamba hakuna vifo, maana trump kasema ukaguzi unafanyika which means hawajui kama kuna vifo au la, sasa wewe umepata wapi data zako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Germany,Australia zimesema ziko tayari kuondoa majeahi yake Iraq.
Urusi, North korea au China...Ila Iran wanataka washambuliwe waiingize Israel vitani ili kuungwa mkona na waarabu pro-Shai.
Trump nae anashida ya maelewano na wapanga vita wake.. anata 'pigaua' bila kujali upande wa kisiasa kwake na uhusiano na mataifa ya Ulaya

dodge
 
Jinsi ninavyo soma hizi habari kuna hari flani hivi ya Ku relate na zile movies za kimarekani inaniji akilini, sijui ni mimi tu..!
 
military source from Tehran told Sputnik that Iranian military jets are airborne and currently flying in border areas as the operation takes place.

Earlier Wednesday morning, approximately 35 missiles were launched and struck US targets in Erbil, Iraq and the country's Ayn al-Asad Air Base, which houses US military forces.

Wamerusha makombora 35 kati ya hayo yote 15 tu wamefanikiwa kuingia Iraq mengine itakua yamedondoka njiani. Na Kati ya hayo 15 kuna mengine bado hayakuhit Target ndo maana mpaka hakuna Mmarekani au mwanajeshi aliyekufa.

Second Wave of Missile Attacks Fired Against US Targets in Iraq - Iranian Media

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna data yeyote iliyo toka na na kusema kuna mtu kafa ama la, alafu sio makombora 35 huo ni uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magaidi wa kimarekani ambao idadi yao ni kati ya 30 hadi 80 wanasadikiwa kuuwawa kinyama katika shambulizi lililofanywa na jeshi la mashujaa wa Iran,

Aksante Iran.
 
Taarifa niliyonayo dakika hii Iran wametungua ndege ya Ukraine kwa bahati mbaya
😝😝😝 chanzo chako ni RT?
RT ni anti America usitegemee jema
.

Engine catching fire led to Ukrainian Boeing 737 crash in Iran - airport official representative
rt.com
Haya soma hiyo uje uandike ulichoadika
.
 
Hapo mjanja ni US,kampiga organizer mkuu ,unampiga mchunganji kondoo wanatawanyika,ukipiga kondoo tu hujafanya kitu
Marekani kashambulia mtu ambaye ametoka airport yupo kwenye usafiri wa kawaida anaenda kuonana na kiongozi wa Iraq, wakati Iran wao wameshambulia base yenye mpaka mifumo ya kujilinda na makombora.sasa hapo nani mkali?

Alafu wanatuambia kuwa wana uwezo wa kuzuiya ICBM wakati balistic missile zimewatoa jasho

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama huna intelligence hata kujua idadi ya unaowaattack unashambulia nini kama siyo unabahatisha
Hivi kumbe missles zikienda kulipua inabidi ziwe attached na camera ili ziweze kuona waliokufa kwenye tukio husika sio?

Kama US wana technology hio itakua wametisha sana.


dodge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona sasa wameamua kutupeleka WW3, IRAN imelipiza kisasi kwa kuvurumusha makombora ya masafa mafupi nchini Iraq dhidi ya Jambi mbili za kijeshi za Marekan zinazohifadhi wanajeshi za NATO..


Kwa ufupi, US na NATO ndio walichokua wanataka.


Russia na China ,hawawez acha Uwekezaji wao nchin Iran uende mikonon mwa NATO...
Wasubiri kwanza liverpool tuchukue ndoo ndo wapigane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom