Elpadrino1988
Member
- May 12, 2017
- 20
- 10
Duu Waarabu si nasikia wanazibua hadi kuna usu?Yes anaolewa na Yule mwarabu salsas sijui nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu Waarabu si nasikia wanazibua hadi kuna usu?Yes anaolewa na Yule mwarabu salsas sijui nani
Pesa mama ukitaka mjini huonekane boss lady ndio inabidi mshee mpaka na makaka dada anataka kwenda ibiza na yeye
Mpaka dini kabadili unafanya mchezo huku sheila kule salaahNa ndoa aliipania kweli ila sasa awe mvumilivu la sivyo atachomoka humo kachoka kuliko alivyomkondesha ndiku wa watu.
Mpaka dini kabadili unafanya mchezo huku sheila kule salaah
Yatakuwa hayo hayo ya aunt bongo movie mpaka kwenye maisha yao halisiMbaya kabadili dini kwa pupa bila kuisoma kwa muda aelewe misingi yake. Hope hataishia aunt ezekiel
Yatakuwa hayo hayo ya aunt bongo movie mpaka kwenye maisha yao halisi
Ahahahhh hivi na ya kimila alishafunga eenhTumpe mwaka mmoja kama alivyodumu ndoa ya kwanza. Hapa shost kabakiza ndoa ya bomani
MSAGA SUMU: nimecheka sana unavowashauriSasa hivi wanaume hawaeleweki sana,dada zetu mkipata hata dogo aliyemalza mtihani std 7 and is ready to settle aisee komaa naye huyo huyo mambo mengine yatajulikana baadae
Ahahahhh hivi na ya kimila alishafunga eenh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kivipi mkuuDogo janja atakuwa anabakwa
ahhha haah pamoja mkuuMSAGA SUMU: nimecheka sana unavowashauri
Kwa masharti kwamba aioe tamuu mazima. Dogo alivyo poyoyoo kakubaliDogo janja alisema alimzimikia Irene long time. Si kujua kuwa Irene ameamua kumpa tamu
Kwa kweli hivi huwa wanakumbuka kujua hali zao za kiafya kuhusu VVU.Mtoto akililia wembe mpe.