Prince Kesh Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 652
- 1,573
Una maana gani?tutakufa sana na hizi ajali tukiendelea kuishi maisha haya ya kubahatisha bahatisha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana gani?tutakufa sana na hizi ajali tukiendelea kuishi maisha haya ya kubahatisha bahatisha...
Unaweza kuta unaowaita mwanangu wamekuzaaUshaambiwa Migori Iringa. Usichojua nini mwanangu au ubishi tu?
Migori iko Iringa, ya Singida ni Mgori (mbele ya njiapanda ya makyungu)Ipo singida au nimesahau
SI KWELI. Mie ndo nimewazaa ukiwamo wewe na baba yako mwanangu. Una habari nakaribia miaka mia?Unaweza kuta unaowaita mwanangu wamekuzaa
Unizae wewe punguani?SI KWELI. Mie ndo nimewazaa ukiwamo wewe na baba yako mwanangu. Una habari nakaribia miaka mia?
Utani msibani...Unizae wewe punguani?
Kibaoni pale ni kama njia ya kutorokea kuna mteremko fulani hivi then unaikuta makiungu hii hapa.pale zinapigwa gia bus hizi mpaka huruma.alafu mnaitafuta manyoni hapo kati ni mwendo tu.mbio siku hizi chamtoto enzi zetu vumbi Singida mpaka Ira ndo unaona lami.Huu mwezi mgumu sana guys.
Tarh 25 Kimotco ya Arusha ilipinduka, mtoto wa darasa la kwanza agongwa na gari za msafara wa benki kuu maeneo ya kibaoni Singida...
Ukitokea iringa kwenda Dom, unaianza migori then mtera.Ipo singida au nimesahau
Umenikumbusha mwaka 1991 likizo ya june... Dom to IraKibaoni pale ni kama njia ya kutorokea kuna mteremko fulani hivi then unaikuta makiungu hii hapa.pale zinapigwa gia bus hizi mpaka huruma.alafu mnaitafuta manyoni hapo kati ni mwendo tu mbio siku hizi chamtoto enzi zetu vumbi Singida mpaka Ira ndo unaona lami...
Bila shaka ni maisha yako ya chuo binti kiziwiUkitokea iringa kwenda Dom, unaianza migori then mtera.
Abee? sijakuelewa ndugu..Bila shaka ni maisha yako ya chuo binti kiziwi
Namaanisha umeijua hiyo njia ukiwa kwenye mahangaiko ya elimu. Au sio mamaangu mpole?Abee? sijakuelewa ndugu..
Hapana si katika harakati za elimu, Nimeitembelea Tz kwa mikoa yake yote isipokuwa mkoa wa mara tu, na wilaya nyingi sana, isipokuwa chache, tarafa chache na vijiji baadhi.Namaanisha umeijua hiyo njia ukiwa kwenye mahangaiko ya elimu. Au sio mamaangu mpole?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upole wako mara nyingi nakuchulia ni msukuma. Pole kwa kukubatiza kabila sio lakoHapana si katika harakati za elimu, Nimeitembelea Tz kwa mikoa yake yote isipokuwa mkoa wa mara tu, na wilaya nyingi sana, isipokuwa chache, tarafa chache na vijiji baadhi.
Haya ntakujibu kesho, Usiku mwema... Au huko kwenu asubuhi au mchana? Basi muda mwema.Kwa upole wako mara nyingi nakuchulia ni msukuma. Pole kwa kukubatiza kabila sio lako
Ahsante mamaangu lala salama. Mimi nipo MbeyaHaya ntakujibu kesho, Usiku mwema... Au huko kwenu asubuhi au mchana? Basi muda mwema.
Miaka hiyo hiyo nilipita sana huko.Umenikumbusha mwaka 1991 likizo ya june... Dom to Ira