Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah watakaa walokole waliojiandaa kwenda mbinguni anytime!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah watakaa walokole waliojiandaa kwenda mbinguni anytime!
Tatizo sehemu kubwa ya ile barabara ni milima na makorongo yani! Imagine umetanua kitonga pale utabana wapi? mlimani au utarudi kwenye korogo ukajimalize kabisa?Bado point itakuwa n speed ya lory coz tunavofaham ukiovateki, lazima upige kiatu ili urudi kwenye upande sahihi. Hapo huenda hesabu za dereva wa lory zilifeli baada ya kukanyaga wese akakosa pa kuingilia kwa sabab ya jam.
Na barabara nyingi za Iringa na Mbeya znabana kiasi kwamba hakuna sehem ya ziada kwa ajili ya kutelekeza gar ikikushinda.
Wanaotaka kufa Kama wewe.
[emoji122][emoji122]Unamaana gani mkuu, maisha ya uhakika ni hadi mbinguni duniani kila kitu ni kubet
Sure,Tatizo sehemu kubwa ya ile barabara ni milima na makorongo yani! Imagine umetanua kitonga pale utabana wapi? mlimani au utarudi kwenye korogo ukajimalize kabisa?
Kosa ni kutanua kwenye blind spot tu mtu hatakiwi kutanua mahali ambako hata mbele haoni kuna nini kinakuja, kukosa uvumilivu wa dakika 2 tu kunaweza kugharimu roho za watu ikiwemo yako!
Tujitahidi kutulia barabarani jamani!
Utakuwa sahihi: ukitoka shinyanga, unapita kolandoto-chuo cha uuguzi, maganzo-kimji fulani kimechangamka ikiwa ni matokeo ya kutamalaki biashara ya almasi, unaenda mwadui, mwigumbi-kuna uvukaji wa reli and so on.Imagine kwa sasa route ya Mwanza to Mbeya ni non stop.
Lami n nzuri, usafiri n bomba ikiwa sheria zitazingatiwa.
Kuna kituo flan hv nmesahau jina, kipo shinyanga kusini kdg na mwadui (nahisi n maganzo kama cjakosea)... Ukitoka hapo kwenda mwanza, madereva wanapiga sana viatu mazee. Gari inataman hadi kupaa kabisa.
Hii si salama sana japo tunawahi
Hasa wakifikaga kwenye kona za Nyang'oro pale wanatembeaga speed moja ya hatari si hakuna matochi mule so wanajiachia tu ila ndiyo ivo zile kona 152 za muundo wa S, V & Z ni DEADLY sana, ni Mungu tu anatusaidiaga mule.Japo wakazi wenyewe wanapaita MIGOLI na sio MIGORI
Gari za kwenda Mbeya zinakimbizwa sana aisee na ile njia haiko busy
Acha unafiki"kibaoni pale ni kama njia ya kutorokea kuna mteremko fulani hivi then unaikuta makiungu hii hapa". Una uhakika? Au ulimaanisha Ikungi? Uliza wenyeji kuhusu Ikungi na Makiungu zilipo. Acha kupayuka tu [emoji3][emoji3]Kibaoni pale ni kama njia ya kutorokea kuna mteremko fulani hivi then unaikuta makiungu hii hapa.pale zinapigwa gia bus hizi mpaka huruma.alafu mnaitafuta manyoni hapo kati ni mwendo tu.mbio siku hizi chamtoto enzi zetu vumbi Singida mpaka Ira ndo unaona lami.
Gari inapigwa gia mpaka unampelekea dereva soda.
Na misa sana hizo safari,ilikua adventure tosha.
Kuna mahali tulikwama hapo kabla ya Mtera kuna jamii km ya wamasai tukala nyama sanaa,Kufika mtera wale perege sisahau kuteremka kuitafuta nyangoro mpaka iringa ilikua kazi kipindi hiyo.yaani humo njiani na wanavijiji mnazoeana tu.
Ni kupiga ulanzi njia nzima .
Dom-iringa siku 2,Singida-Dom siku 2.
Hapo umefungasha mandazi mikate nyama za kukausha
Huu mwezi mgumu sana guys.
Tarh 25 Kimotco ya Arusha ilipinduka, mtoto wa darasa la kwanza agongwa na gari za msafara wa benki kuu maeneo ya kibaoni Singida.
Tarh 26 Fikoshi (Dom--Mwanza) ilipata ajali ikaua watoto wawil na majeruhi 32 (18 wanaume 14 wanawake) Singida.
Tarh 27 Isamilo.
Hizi ajali zinaturudisha miaka ile ya 2010's kama baadhi ya mambo hayatozingatiwa.
Exactly,.. Hiko kipande gari zinatembea si kawaida. Zile barabara hazina kona kona af amna askar usalama, n speed ndefu kiasi kwamba chochote kikitokea kinaumana.Utakuwa sahihi: ukitoka shinyanga, unapita kolandoto-chuo cha uuguzi, maganzo-kimji fulani kimechangamka ikiwa ni matokeo ya kutamalaki biashara ya almasi, unaenda mwadui, mwigumbi-kuna uvukaji wa reli and so on.
Pale roho unaikabidhi mapema kwa kweli, sema ahueni ni kwa vile hakuna miteremko wala kona kali za kustukiza. Na mvaya zaidi ni pori pori zaidi. Hutarajii kukutana na askari wa barabarani, labda tu itokee siku hiyo uwepo msafara wa wakubwa au high way patrol mara moja moja.
Hapo n Mungu alikutumia kunusuru maajabu.Hiyo Fikoshi ya Mwanza - Dom tulipataga nayo accident huko huko Singida mwaka jana January 19 wakati naenda Dom, ni Mungu tu alituokoa tulipona wote make zilichomoka tairi zote za nyuma za upande wa kushoto nlpokua nmekaa na mimi sambamba kabisa na tairi hizo huwa napenda kuangalia nje dirishani ndiyo nlkua wa kwanza kuona tukio nikapiga sauti kwa dereva na konda akawahi kufunga break, alkua 80 kph hapo.
Kabisa mkuu make bila yeye asaiv ingelikua ishaandikwa history nyingi.Hapo n Mungu alikutumia kunusuru maajabu.
Ajari mbaya ya basi la isamilo imetokea muda hu,.
Ilikua inatokea mwanza kwenda mbeya.,
Inasemekana wamefaliki watu wa nne(wahudumu wa basi,na abilia mmoja)pia kuna majeruhi kadhaa
Ila madereva wote wawili wamepona (aliekua anaendesha basi na lori pia)
Ajari imetokea nje ya kidogo ya kijiji cha migori ,mkoa wa iringa....majeruhi wamepelekwa izazi...hospitali ambayo ipo pembezoni kidogo mwa kijiji cha izazi...ambacho kipo mbele kidogo ya jijiji cha migori .
.........................apdate ni kua wamekufa wahudumu wa basi watatu,na abilia mmoja
Wahudumu hao ni dereva mmoja,na makondakta wawili(mmoja wakiume na mwingine ni mwanamke)
Chanzo ni kua dereva wa lori aliovertake sehemu ambapo hapakua salama (palikua na jam ya gari nyingine) kitu kilochosababisha kushindwa kurudi kwenye site yake
Na ndipo walipokutana na basi hilo.
====
Usiku huu Basi La kampuni ya #IsamiloExpress lililokuwa likielekea Mbeya kutoka Mwanza limepata ajali katika kijiji cha Izazi mkoani Iringa baada ya kugongana na lori, taarifa za awali zinadai konda wa basi amepoteza maisha.
Fikoshi na Premier zina hali mbaya sana.Kabisa mkuu make bila yeye asaiv ingelikua ishaandikwa history nyingi.
Lakini basi zote za Fikoshi ni mbovu tu.
Bado point itakuwa n speed ya lory coz tunavofaham ukiovateki, lazima upige kiatu ili urudi kwenye upande sahihi. Hapo huenda hesabu za dereva wa lory zilifeli baada ya kukanyaga wese akakosa pa kuingilia kwa sabab ya jam.
Na barabara nyingi za Iringa na Mbeya znabana kiasi kwamba hakuna sehem ya ziada kwa ajili ya kutelekeza gar ikikushinda.