Iringa: Basi la Isamilo lapata ajali kwa kugongana na lori

Iringa: Basi la Isamilo lapata ajali kwa kugongana na lori

Huu mwezi mgumu sana guys.

Tarh 25 Kimotco ya Arusha ilipinduka, mtoto wa darasa la kwanza agongwa na gari za msafara wa benki kuu maeneo ya kibaoni Singida.

Tarh 26 Fikoshi (Dom--Mwanza) ilipata ajali ikaua watoto wawil na majeruhi 32 (18 wanaume 14 wanawake) Singida.

Tarh 27 Isamilo.

Hizi ajali zinaturudisha miaka ile ya 2010's kama baadhi ya mambo hayatozingatiwa.
Aisee zimekuwa nyingi ajali hadi unajikuta unaogopa kusafiri
 
Huu mwezi mgumu sana guys.

Tarh 25 Kimotco ya Arusha ilipinduka, mtoto wa darasa la kwanza agongwa na gari za msafara wa benki kuu maeneo ya kibaoni Singida.

Tarh 26 Fikoshi (Dom--Mwanza) ilipata ajali ikaua watoto wawil na majeruhi 32 (18 wanaume 14 wanawake) Singida.

Tarh 27 Isamilo.

Hizi ajali zinaturudisha miaka ile ya 2010's kama baadhi ya mambo hayatozingatiwa.

Jamaa pia alikua speed nzuri tu
 
Hao makonda uwa wanapendaga kukaa pembeni ya dereva.
Ikitokea ajali dereva anawapeleka wao kwanza wa upande wa kushoto.
Ukipanda gari hakikisha unakaa siti za upande wa dereva.

Uko sahihi,hata hi ajari dereva alipelekea huko huko,ndio maana waliokufa ni wale wa pemben tupu,huyu abilia alikaa pale seat [emoji575] ile ya kwanza upande wa mlango
 
Magufuli aliweka utaratibu mgumu kwa askari walikuwa wanawajibika, ss wamerudi ofisini. Ukikutana na askari barabarani ujue yupo kutafta hela ya mboga
Magu ndo alifanya askari wawe wala rushwa kupindukia , bora hata ya sasa
 
Kibaoni pale ni kama njia ya kutorokea kuna mteremko fulani hivi then unaikuta makiungu hii hapa.pale zinapigwa gia bus hizi mpaka huruma.alafu mnaitafuta manyoni hapo kati ni mwendo tu.mbio siku hizi chamtoto enzi zetu vumbi Singida mpaka Ira ndo unaona lami.
Gari inapigwa gia mpaka unampelekea dereva soda.
Na misa sana hizo safari,ilikua adventure tosha.
Kuna mahali tulikwama hapo kabla ya Mtera kuna jamii km ya wamasai tukala nyama sanaa,Kufika mtera wale perege sisahau kuteremka kuitafuta nyangoro mpaka iringa ilikua kazi kipindi hiyo.yaani humo njiani na wanavijiji mnazoeana tu.
Ni kupiga ulanzi njia nzima .
Dom-iringa siku 2,Singida-Dom siku 2.
Hapo umefungasha mandazi mikate nyama za kukausha
Imagine kwa sasa route ya Mwanza to Mbeya ni non stop.
Lami n nzuri, usafiri n bomba ikiwa sheria zitazingatiwa.

Kuna kituo flan hv nmesahau jina, kipo shinyanga kusini kdg na mwadui (nahisi n maganzo kama cjakosea)... Ukitoka hapo kwenda mwanza, madereva wanapiga sana viatu mazee. Gari inataman hadi kupaa kabisa.
Hii si salama sana japo tunawahi
 
Jamaa pia alikua speed nzuri tu
Bado point itakuwa n speed ya lory coz tunavofaham ukiovateki, lazima upige kiatu ili urudi kwenye upande sahihi. Hapo huenda hesabu za dereva wa lory zilifeli baada ya kukanyaga wese akakosa pa kuingilia kwa sabab ya jam.
Na barabara nyingi za Iringa na Mbeya znabana kiasi kwamba hakuna sehem ya ziada kwa ajili ya kutelekeza gar ikikushinda.
 
Back
Top Bottom