ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kuna jamii ya kimasi imetamalaki sana pande hizoJapo wakazi wenyewe wanapaita MIGOLI na sio MIGORI
Gari za kwenda Mbeya zinakimbizwa sana aisee na ile njia haiko busy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamii ya kimasi imetamalaki sana pande hizoJapo wakazi wenyewe wanapaita MIGOLI na sio MIGORI
Gari za kwenda Mbeya zinakimbizwa sana aisee na ile njia haiko busy
Aisee zimekuwa nyingi ajali hadi unajikuta unaogopa kusafiriHuu mwezi mgumu sana guys.
Tarh 25 Kimotco ya Arusha ilipinduka, mtoto wa darasa la kwanza agongwa na gari za msafara wa benki kuu maeneo ya kibaoni Singida.
Tarh 26 Fikoshi (Dom--Mwanza) ilipata ajali ikaua watoto wawil na majeruhi 32 (18 wanaume 14 wanawake) Singida.
Tarh 27 Isamilo.
Hizi ajali zinaturudisha miaka ile ya 2010's kama baadhi ya mambo hayatozingatiwa.
Huu mwezi mgumu sana guys.
Tarh 25 Kimotco ya Arusha ilipinduka, mtoto wa darasa la kwanza agongwa na gari za msafara wa benki kuu maeneo ya kibaoni Singida.
Tarh 26 Fikoshi (Dom--Mwanza) ilipata ajali ikaua watoto wawil na majeruhi 32 (18 wanaume 14 wanawake) Singida.
Tarh 27 Isamilo.
Hizi ajali zinaturudisha miaka ile ya 2010's kama baadhi ya mambo hayatozingatiwa.
Hao makonda uwa wanapendaga kukaa pembeni ya dereva.
Ikitokea ajali dereva anawapeleka wao kwanza wa upande wa kushoto.
Ukipanda gari hakikisha unakaa siti za upande wa dereva.
Ndo hapo kuna wakabila km wamasai hivi.wanapaka siagi mwilini wananuka balaa .ila ukiwazoea poa tu.ukikaa nae kwenye siti shauri yako.Ukitokea iringa kwenda Dom, unaianza migori then mtera.
spidi gavana vipi. mbona bus zinakumbia sanaTanzania kwa upande w kufuata sheria za barabarani ni very very very poor na inachangiwa na rushwa za barabarani
Magu ndo alifanya askari wawe wala rushwa kupindukia , bora hata ya sasaMagufuli aliweka utaratibu mgumu kwa askari walikuwa wanawajibika, ss wamerudi ofisini. Ukikutana na askari barabarani ujue yupo kutafta hela ya mboga
Utaratibu gani aliweka?Magufuli aliweka utaratibu mgumu kwa askari walikuwa wanawajibika, ss wamerudi ofisini. Ukikutana na askari barabarani ujue yupo kutafta hela ya mboga
Imagine kwa sasa route ya Mwanza to Mbeya ni non stop.Kibaoni pale ni kama njia ya kutorokea kuna mteremko fulani hivi then unaikuta makiungu hii hapa.pale zinapigwa gia bus hizi mpaka huruma.alafu mnaitafuta manyoni hapo kati ni mwendo tu.mbio siku hizi chamtoto enzi zetu vumbi Singida mpaka Ira ndo unaona lami.
Gari inapigwa gia mpaka unampelekea dereva soda.
Na misa sana hizo safari,ilikua adventure tosha.
Kuna mahali tulikwama hapo kabla ya Mtera kuna jamii km ya wamasai tukala nyama sanaa,Kufika mtera wale perege sisahau kuteremka kuitafuta nyangoro mpaka iringa ilikua kazi kipindi hiyo.yaani humo njiani na wanavijiji mnazoeana tu.
Ni kupiga ulanzi njia nzima .
Dom-iringa siku 2,Singida-Dom siku 2.
Hapo umefungasha mandazi mikate nyama za kukausha
Izazi sio migoliMigori
Iringa mpakani mwa Dodoma na iringa mteraIpo singida au nimesahau
Mbona ameeleza vizuriM
Mgori- Singida
Migori- Iringa & Kenya
Wengine huwa hawasomi habari yoteUshaambiwa Migori Iringa. Usichojua nini mwanangu au ubishi tu?
na hizo nyingine akae naniHao makonda uwa wanapendaga kukaa pembeni ya dereva.
Ikitokea ajali dereva anawapeleka wao kwanza wa upande wa kushoto.
Ukipanda gari hakikisha unakaa siti za upande wa dereva.
Bado point itakuwa n speed ya lory coz tunavofaham ukiovateki, lazima upige kiatu ili urudi kwenye upande sahihi. Hapo huenda hesabu za dereva wa lory zilifeli baada ya kukanyaga wese akakosa pa kuingilia kwa sabab ya jam.Jamaa pia alikua speed nzuri tu
Dereva wa lorry alikuwa anabeti 😂 maswala ya kutaka ku overtake off-site ni mabaya sana! Unaweza ukazingua yani ikawa balaa ukafa kabisatutakufa sana na hizi ajali tukiendelea kuishi maisha haya ya kubahatisha bahatisha...