kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Ajari mbaya ya basi la isamilo imetokea muda hu,
Ilikua inatokea Mwanza kwenda Mbeya. Inasemekana wamefaliki watu wa nne (wahudumu wa basi,na abilia mmoja)pia kuna majeruhi kadhaa
Ila madereva wote wawili wamepona (aliekua anaendesha basi na lori pia). Ajali imetokea nje ya kidogo ya kijiji cha migori, mkoa wa Iringa....majeruhi wamepelekwa izazi...hospitali ambayo ipo pembezoni kidogo mwa kijiji cha izazi...ambacho kipo mbele kidogo ya jijiji cha migori .
Apdate ni kuwa wamekufa wahudumu wa basi watatu,na abilia mmoja
Wahudumu hao ni dereva mmoja,na makondakta wawili(mmoja wakiume na mwingine ni mwanamke)
Chanzo ni kua dereva wa lori aliovertake sehemu ambapo hapakua salama (palikua na jam ya gari nyingine) kitu kilochosababisha kushindwa kurudi kwenye site yake
Na ndipo walipokutana na basi hilo.
====
Usiku huu Basi La kampuni ya #IsamiloExpress lililokuwa likielekea Mbeya kutoka Mwanza limepata ajali katika kijiji cha Izazi mkoani Iringa baada ya kugongana na lori, taarifa za awali zinadai konda wa basi amepoteza maisha.
Ilikua inatokea Mwanza kwenda Mbeya. Inasemekana wamefaliki watu wa nne (wahudumu wa basi,na abilia mmoja)pia kuna majeruhi kadhaa
Ila madereva wote wawili wamepona (aliekua anaendesha basi na lori pia). Ajali imetokea nje ya kidogo ya kijiji cha migori, mkoa wa Iringa....majeruhi wamepelekwa izazi...hospitali ambayo ipo pembezoni kidogo mwa kijiji cha izazi...ambacho kipo mbele kidogo ya jijiji cha migori .
Apdate ni kuwa wamekufa wahudumu wa basi watatu,na abilia mmoja
Wahudumu hao ni dereva mmoja,na makondakta wawili(mmoja wakiume na mwingine ni mwanamke)
Chanzo ni kua dereva wa lori aliovertake sehemu ambapo hapakua salama (palikua na jam ya gari nyingine) kitu kilochosababisha kushindwa kurudi kwenye site yake
Na ndipo walipokutana na basi hilo.
====
Usiku huu Basi La kampuni ya #IsamiloExpress lililokuwa likielekea Mbeya kutoka Mwanza limepata ajali katika kijiji cha Izazi mkoani Iringa baada ya kugongana na lori, taarifa za awali zinadai konda wa basi amepoteza maisha.