Sasa umekatazwa kwenda? Mbona unalialia bure tu humu? Si umeenda kupona? Umezuiwa usiende tena na tena? Hivi mnajadili nini? Kama umeona kwenda kule na ukapona maradhi yako ndio chaguo sahihi, basi upo sahihi kabisa maana nchi hii ina uhuru wa kuabudu. Sijajua unacholalamika ni nini tena wakati mtu sahihi wa kuhudhuria ibada zake umempata...,siwezi kukaa naumwa wakati kuna Mtumishi ana suluhisho la shida yangu!!,
Mtu yeyote mwenye akili akisoma huo waraka atakuwa upande wa kanisa, Yani watu wanaambiwa waombewe ili wawe matajiri kitu ambacho hata Yesu hakufanya, Kama hufanyi kazi huwezi kuwa tajiri
Mwamposa Ni mganga wa kienyeji anayevaa suti
Hilo ndilo jambo la msingi. Kila mtu aachwe aabudu anachoamini. Lakini baadhi ya wachangiaji humu wanataka RC iwaache waabudu kule na kwao, wakati RC imewaacha wakaabudu huko wanakoamini tuKwaiyo kila Mtu aachwe aabudu anacho amini!
Mzee unalalamika nini? Si ukaabudu huko? Double standard za nini wakati upo huru kuabudu popote katika nchi hii nzuri? Nenda baba, sio lazima ulinganishe na RC, kama umeamua kuchagua mafuta, maji, keki na leso, nenda tu, usipoteze muda, jambo la msingi ni kwamba usiwe huku na kule, chagua sehemu inakokufaaNa Padri anayeongoza ibada kuwa waumini wamuombe Marehemu Mariam awaombee kwa Yesu,ile ni nini siyo uganga?
Bado kuna Rozali, inasaidia nini?
Acheni Double standard!
Sasa mtu kwenda kwa mwamposa ndio mnatoa Hadi notisi?Kuna Padre amewahi kushauri unywe Bia ? Msichafue imani za watu humu,kanisani huwa wanakataza ulevi
By the way mlevi ni mtu mzima,kanisa halina muda wa kukufuatilia Bar hayo ni Maisha yako Mana ukikatazwa haliwezi kutuma mapadre Bar
Sawa, kila kanisa na misingi yake iliyojiwekea, Ila tumtangulize Yesu Kwanza.Wala Kanisa halijatumia mabavu kama unavyodhani. Siku zote Kanisa Katoliki lina misingi na kanuni zake. Ukikiuka, lazima uwajibishwe ipasavyo. Haijalishi wewe ni muumini wa kawaida, mtawa, Padre, au Askofu!
Hivyo hakuna jipya hapo.
Kwani RC hamna Mafuta?Mzee unalalamika nini? Si ukaabudu huko? Double standard za nini wakati upo huru kuabudu popote katika nchi hii nzuri? Nenda baba, sio lazima ulinganishe na RC, kama umeamua kuchagua mafuta, maji, keki na leso, nenda tu, usipoteze muda, jambo la msingi ni kwamba usiwe huku na kule, chagua sehemu inakokufaa
Mwamposa ni NIOKO na ana kanguvu kakubwa sana kaushawishi.Ya mwisho inaitwa sadaka ya KUJIMALIZA! 😂 😂 😂
Wajinga wanatoa Hadi nauli za kurudia majumbani wanakosa!
Ebhana Israel wanakunywa Canadian kumbe😂😂Kwa kweli watanzania ni watu wasiojitambua, Mwamposa anawauzia maji na mafuta toka Israel wakati Waisrael wenyewe wana matatizo lukuki na hivyo vitu haviwasaidii hata kidogo, hivi mtu unashindwa nini kujiuliza au ni kule kuchotwa akili kama afanyavyo T.B. Joshua?
Nadhani hujanipata, na pengine itakuwia vigumu kunipata kama hautaweka akili yako kuwa flexible. Point yangu ni hii; Bila haja ya kulinganisha imani tofauti, kila mtu aabudu anapoamini. Hakuna haja ya kusema, mbona wale wanafanya vile! Abudu hapo hapo kwa kujiachia, usipende kulinganisha, labda kama unaendelea kutafuta mahali palipo sahihi kwako. Lakini usilalamike kama umeshachagua. Kila mmoja azingatie anachoamini bila kulazimisha wengine. Hiyo ndio maana ya imaniKwani RC hamna Mafuta?
Unafiki siyo mzuri?heshimuni Imani za madhehebu mengine,msijifanye nyie watakatifu wakati na nyie mna upungufu.Kama RC ipo sahihi sana pasingekuwepo na Anglican,KKKT, Moravian na sasa makanisa ya uamsho.Aya madhehebu yote yalijitenga na RC kwa sababu za kutofautiana kiimani.
Maji ya madimbwi mnayooga huko kwenu na mawese mnayopikia nani kayapitisha ?'Mafuta' zake zimepitshwa TBS??
Its all physiological??
Kwani wameambiwa wakihama watachapwa?Huu nao ni utumbo, wanamtisha nani, kila mtu ana haki ya kuabudu anachokiamnini, au wanahisi wanasimamia watoto wa chekechea?
Mtu ana uhuru wa kuwa anapotaka na siyo kushikwa masikio kama mbuzi anapelekwa machinjioni
Kama wakienda huko wanapokea uponyaji, watakuwa wanakosea sana,
Kuna story moja ndani ya biblia ipo very interesting, inafanana sana na wanachofanya hao mapadre wakatoliki,
Yohana 9: 16...., nakazia mstari wa 22 na 25
Waache wafuate imani wanayoona inawasaidia maishani mwao!!
Kanisa lipo sahihi kabisa hata kufukuzwa ni sawa tu . huko ni kutangatanga kiimani na kunajis kanisa. Hawa wanaweza kuleta mapepokanisani na kuwaambukiza wengine.pia ni wapotoshaji wataliharibu kanisa. Kwakweli waungame na kutubu wamekosea sana. Katoliki hawafumbii macho uchafu kama vipi hao wasaliti wahame kabisa ndio watajua hawajui. Hongera kanisa katoliki.Hata wasabato waliwapiga marufuku na kuwatenga waliokwenda kwa babu loliondo kupata kikombe. Sasa Leo huyo babu yuko wapi? Eti ameonyeshwa dawa ya ukimwi subutuuuu. Niwapobgeze sana kanisa kwa kuwa makini na kuwalinda waumini wao wasitapeliweNa RC HUWA hawatanii utasikia na ukifa hatukuziki hata kama mkisafirisha hatuwapi barua ya utambulisho huko muendako.
Eti Biblia anasoma Padri tu!!!,Wapi huko ambako Biblia anasoma Padri tu??, Mbona mmekalilishwa vibaya sana nyie!!.Sijajichanganya!
Na hapa hatukuongelea dhambi! Amri ziko palepale na hakuna mtumishi ambae kabadirisha hilo!
Mi nimesema mambo yamebadirika watu sshv wanapata mafundisho kupitia sehemu mbalimbali sio km zamani ni kanisani tu,tena biblia anasoma padri tu!
Sshv watu wameelewa wanasikiliza ,wanasoma wanafunguka!
Hivyo huwezi kumtisha mtu na makanisa yalivyo mengi hivi,mbona wengi tu watahama!
Leta ushahidiUkristo ni dini ya kikanjanja.. kanisa linakubali ushoga..!
Mzee wewe umeombea wangapi wakapona?,Sana sana mnaombeana tu ktk vitu vyepesi na vidogo mmejaa janjajanja tu!!. Mnaombeana tu kwenye ishu ya mapepo ambayo kimsingi sehemu kubwa si mapepo kiuhalisia bali ni msongo wa mawazo na ndio maana wengi wao ni wanawake.Km Kweli ninyi ni waombaji wazuri nendeni pale Muhimbili,Mlongazila,KCMC,Bugando na Hospitali zingine maana huko ndio kuna Wagonjwa wa Kweli na sio Wagonjwa wa mchongo (Wagonjwa waigizaji),Mimi mwenyewe Baba yangu ni Kipofu njooni mumuombee enyi manabii wa uongo msio na soni;Nyie ni watu wa ajabu sana mnafanya utapeli wa wazi wazi mchana kweupe.RC kanisa kuuubwa ila hawana nguvu za MUNGU. Wao ni porojo tu hata uwapelekee mgonjwa wa Mafia HAWAWEZI kumuombea.
Wanasubiri uumwe, uzidiwe wakupe sala ya mwisho kama PENGO alivyomfanyia Magufuli 17/03/2021.
YAANI WANAVAA MAMISALABA MAKUBWA ILA UPAKO ZERO.
ACHENI WIVU.
Pole yako,utapata taabu sana.Hili povu..mtabaki watatu kanisani wewe baba paroko na sisita.
Rc hakuna mwamko wa kiroho..kuna mafundisho ya kukariri vikongwe vya zamani vilivyokufa vya warumi..wanavyo viita vitakatifu na viwaombee.
#MaendeleoHayanaChama