Mwamposa nyomi alilopiga Iringa ni kisanga na nusu wameumia.Wao ni sawa kwa muumini kushinda kidimbwi Kula gambe hawana shida na huyo atapokea tu sakramenti , Ila mtu anaeenda kutafuta uso wa Mungu ndio shida
Kwani wamewazuia? Au walivyoenda mara ya kwanza, haikuwa kwa hiyari yao?Haisaidii, wakitaka kwenda kwa hiyari yao wataenda tu.
Linaishi katika misingi ya Torati?Wala Kanisa halijatumia mabavu kama unavyodhani. Siku zote Kanisa Katoliki lina misingi na kanuni zake. Ukikiuka, lazima uwajibishwe ipasavyo. Haijalishi wewe ni muumini wa kawaida, mtawa, Padre, au Askofu!
Hivyo hakuna jipya hapo.
Mnachoshindwa kuelewa ni nini? Kuna mtu amenyimwa uhuru wa kuabudu hapo? Si wametumia huo uhuru na wakapewa go ahead?Point. Uhuru wa kuabudu uheshimiwe
Katotoizi simuoni kwenye list au nae chaliKuna comments zinachekesha sana HUMU. Ila Mwamposa atabakia kuwa Man of The Match.
Gwajima ...chali
Mzee wa upako...chali
Suguye....chali
Geordavie...chali
Malisa...chali
Rwakatare...kaburini
Tusubiri baada ya Mwamposa na ni ataibuka.
Hivi Nabii Frank aliishia wapi????
Sasa wamerudi katoliki kufata ninHuu nao ni utumbo, wanamtisha nani, kila mtu ana haki ya kuabudu anachokiamnini, au wanahisi wanasimamia watoto wa chekechea?
Mtu ana uhuru wa kuwa anapotaka na siyo kushikwa masikio kama mbuzi anapelekwa machinjioni
Kama wakienda huko wanapokea uponyaji, watakuwa wanakosea sana,
Kuna story moja ndani ya biblia ipo very interesting, inafanana sana na wanachofanya hao mapadre wakatoliki,
Yohana 9: 16...., nakazia mstari wa 22 na 25
Waache wafuate imani wanayoona inawasaidia maishani mwao!!
Ni kama twisheni tuWameenda kukazia neno la Mungu
Kuna baadhi ya viongozi huwa wanajiona ni watakatifu sana, kuna msiba fulani mwamba alifariki kwa tungi yani alilala hakuamka tena na aligundulika baada ya siku tatu ameshaharibika.Wanatishia hawakuziki. Hawajui MTU ukiwa mtakatifu hata ukiliwa na Simba mbinguni unaingia.
Nani Katunzi?Katotoizi simuoni kwenye list au nae chali
Dah walimnyanyapaa, HIYO haifai.Kuna baadhi ya viongozi huwa wanajiona ni watakatifu sana, kuna msiba fulani mwamba alifariki kwa tungi yani alilala hakuamka tena na aligundulika baada ya siku tatu ameshaharibika.
Wakaleta hayo mambo alikuja kuzikwa na muinjilisti na ule ukoo wote ukaachana na ulutheri
Kkkkk noma sana.Hii inataka iwe battle kama ya Kanisa Katoliki Jimbo la Ifakara&Mahenge na Bibi Kalembwana aliyekuwa ananyoa watu kutoa uchawi, illikuwa Ukienda kunyolewa unatengwa na kanisa. Askofu Ndorobo ilibidi amfate Bibi Kalembwana
Umejuaje kama ni wapigajiMwamposa ni kama Gwajima, Antony Lusekelo, Nabii Shilla, Masanja Makandamizaji, Mc Pilipili, Bon Mwaitege, na wengineo wengi!
Ni wapigaji tu.
Hela za insta zilikataKuna comments zinachekesha sana HUMU. Ila Mwamposa atabakia kuwa Man of The Match.
Gwajima ...chali
Mzee wa upako...chali
Suguye....chali
Geordavie...chali
Malisa...chali
Rwakatare...kaburini
Tusubiri baada ya Mwamposa na ni ataibuka.
Hivi Nabii Frank aliishia wapi????
Kwa kweli watanzania ni watu wasiojitambua, Mwamposa anawauzia maji na mafuta toka Israel wakati Waisrael wenyewe wana matatizo lukuki na hivyo vitu haviwasaidii hata kidogo, hivi mtu unashindwa nini kujiuliza au ni kule kuchotwa akili kama afanyavyo T.B. Joshua?Kanisa la Roman Catholic Iringa limefukuza na kutoa onyo kali kwa washirika wake waliohudhuria kongamano la Mwamposa na wengine walionunua maji na mafuta kwenye mkutano wake
View attachment 2236071
View attachment 2236072
Mtu yeyote mwenye akili akisoma huo waraka atakuwa upande wa kanisa, Yani watu wanaambiwa waombewe ili wawe matajiri kitu ambacho hata Yesu hakufanya, Kama hufanyi kazi huwezi kuwa tajiriKanisa katoliki linachukia kupiteza sadaka .
Maana wanajua waumini wao wakienda kwa mwamposa wanatoa sadaka ambazo walipaswa wapokee wao katoliki
Hizi dini ni upigaji tu
Umemkosea Sana mzee wa Upako ,yeye huwa anasema kabisa kwamba yeye ni Kama Mwalimu anafundisha yaliyo mema na ya kumpendeza Mungu na yeye ni Binadamu so wewe fuata mafundisho yake tuMwamposa ni kama Gwajima, Antony Lusekelo, Nabii Shilla, Masanja Makandamizaji, Mc Pilipili, Bon Mwaitege, na wengineo wengi!
Ni wapigaji tu.
Kuna Padre amewahi kushauri unywe Bia ? Msichafue imani za watu humu,kanisani huwa wanakataza uleviWao ni sawa kwa muumini kushinda kidimbwi Kula gambe hawana shida na huyo atapokea tu sakramenti , Ila mtu anaeenda kutafuta uso wa Mungu ndio shida