Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ohooooo !!!Kanisa la Roman Catholic Iringa limefukuza na kutoa onyo kali kwa washirika wake waliohudhuria kongamano la Mwamposa na wengine walionunua maji na mafuta kwenye mkutano wake
View attachment 2236071
View attachment 2236072
Na Wewe una akili ya kuku, summarization ya waraka ni kwamba kama umeamua kuabudu maji na mafuta basi huku hapakufai (RC) labda utimize masharti tajwa kwenye waraka.Huu nao ni utumbo, wanamtisha nani, kila mtu ana haki ya kuabudu anachokiamnini, au wanahisi wanasimamia watoto wa chekechea?
Mtu ana uhuru wa kuwa anapotaka na siyo kushikwa masikio kama mbuzi anapelekwa machinjioni
Kama wakienda huko wanapokea uponyaji, watakuwa wanakosea sana,
Kuna story moja ndani ya biblia ipo very interesting, inafanana sana na wanachofanya hao mapadre wakatoliki,
Yohana 9: 16...., nakazia mstari wa 22 na 25
Waache wafuate imani wanayoona inawasaidia maishani mwao!!
juu ya yote michango ya kikatoliki ni mingi aisee unaweza kimbia kanisa kweliKanisa katoliki linachukia kupiteza sadaka .
Maana wanajua waumini wao wakienda kwa mwamposa wanatoa sadaka ambazo walipaswa wapokee wao katoliki
Hizi dini ni upigaji tu
Ikaweje😀😀 walimtupa tu?Hata waislamu ukiwa mpumbavu hawakuziki, Kuna kijana Muislam hapo Dar alikuwa mchicha Mwiba alipofariki hakuzikwa na watu,
Na Wewe una akili ya kuku, summarization ya waraka ni kwamba kama umeamua kuabudu maji na mafuta basi huku hapakufai (RC) labda utimize masharti tajwa kwenye waraka.
Sasa hapo nani amenyimwa uhuru wake?
Ni sawa na kuwa mwanachama wa CCM Halafu ukataka viti maalum kupitia CHADEMA.
una uhuru ndio, tumia uhuru wako kuchagua,
Si wameshachagua pa kwenda sasa, mnawawekea matangazo ya nnni?Na Wewe una akili ya kuku, summarization ya waraka ni kwamba kama umeamua kuabudu maji na mafuta basi huku hapakufai (RC) labda utimize masharti tajwa kwenye waraka.
Sasa hapo nani amenyimwa uhuru wake?
Ni sawa na kuwa mwanachama wa CCM Halafu ukataka viti maalum kupitia CHADEMA.
una uhuru ndio, tumia uhuru wako kuchagua, usituvuruge
Waafrika, mna nini vichwani mwenu jamani? Dunia inawacheka hivyo😛Kanisa la Roman Catholic Iringa limefukuza na kutoa onyo kali kwa washirika wake waliohudhuria kongamano la Mwamposa na wengine walionunua maji na mafuta kwenye mkutano wake
View attachment 2236071
View attachment 2236072
Ni lazima uache UHURU mmoja Ili kuwa na UHURU mwingineKama ni kweli wamekosea. Uhuru wa kuabudu ni haki ya kikatiba.
Athari kwa marehemu ni ipi?Hata waislamu ukiwa mpumbavu hawakuziki, Kuna kijana Muislam hapo Dar alikuwa mchicha Mwiba alipofariki hakuzikwa na watu,
Hawakunyimwa kuabudu bali wamenyiwa sakramenti na wameambiwa wakaungame.Kama ni kweli wamekosea. Uhuru wa kuabudu ni haki ya kikatiba.
Hivi na wewe unaaminj hiyo nadharia, kwamba: "hakuna utajiri bila kazi"?Waoh hawajazuia ww kwenda, Ila wametoa masharti Yao, mbona jamaa wameweka na facts kabsa.
Jaribuni kuwa waelewa. Wala hamna wanaotishwa, ni hivi ukienda huko Sisi tunaamin umepotea hakuna utajiri bila kazi,
Nashangaa hata mimi,Kanisa katoliki linachukia kupiteza sadaka .
Maana wanajua waumini wao wakienda kwa mwamposa wanatoa sadaka ambazo walipaswa wapokee wao katoliki
Hizi dini ni upigaji tu
KakobeNani Katunzi?
Hii ikifanywa na waislam ingechukuliwa tofauti, bora wamefanya haoNafkr kanisa katoliki Lina taratibu zao, endapo ukienda kinyume na Imani pamoja na taratibu zao kuna namna wanakuajibisha ili urudi kundini , kama wanahitaji kurudi kundini wafate hzo taratibu ili warudishwe kundini, kama hawaafiki basi wahamie Kwa Mwamposa, kuchanganya Imani mbili Kwa pamoja ni kuleta machafuko....Katoliki wamesimama Imani Yao isichafuliwe na propaganda ya mtu mwingine
.
Nakumbuka walishamwambia Lundenga mzee wa miss tz enzi zile kuwa akidedi hawatahangaika nae ingawa kidini walikosea maana Allah ameagiza yeyote atakayefariki aswaliweHata waislamu ukiwa mpumbavu hawakuziki, Kuna kijana Muislam hapo Dar alikuwa mchicha Mwiba alipofariki hakuzikwa na watu,
Naam, ndivyo ilivyo.Ni juu yao kuchagua kusuka au kunyoa hakuna anayewalazimisha.Nafkr kanisa katoliki Lina taratibu zao, endapo ukienda kinyume na Imani pamoja na taratibu zao kuna namna wanakuajibisha ili urudi kundini , kama wanahitaji kurudi kundini wafate hzo taratibu ili warudishwe kundini, kama hawaafiki basi wahamie Kwa Mwamposa, kuchanganya Imani mbili Kwa pamoja ni kuleta machafuko....Katoliki wamesimama Imani Yao isichafuliwe na propaganda ya mtu mwingine
.