jimboni kwangu hakuna upinzani gentleman, ispokua kitongoji kimoja tu ambacho vile vile mgombea huyo nae amejiengua jana .Gentleman nasikia umepita bila kupingwa jimboni kwako, usinisahau.... namba yangu ya MPESA ni ile ile inaishia 43.
Jina litakuja DIVISHENI FOO.
Kama siyo wivu wa kimapenzi basi ni majambazi.Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.
Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba 13, 2024 katika Kitongoji cha Banawanu, Kijiji cha Ugwachanya, Kata ya Mseke Tarafa ya Mlolo nje kidogo na Mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.
Matukio Daima Media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo, John Kiteve amesema tukio hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo.
Huku Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi hajapatikana ili kuthibitisha tukio hilo, bado Matukio Daima Media inaendelea kufuatilia zaidi.
Chanzo: Matukio Daima Media
==============================
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, simu imepokelewa na msaidizi wake ambaye baada ya kuelezwa kuhusu tukio hilo akasema “Kamanda yupo kikaoni, tukio hilo bado hajalizungumzia.”
Pia, Soma:
Akifa au akiuwawa kiongozi wa CCM huwa nafarijika sana kwani idadi ya mashetani inapungua kwenye uso wa dunia.Kiongozi wa CCM akifanyiwa chochote siku hizi sitapiga kelele kwa sababu wao wanakuwa kimya wengine wanapouawa. Tena wanakejeli.
Eeeh mkuu 🤣😆wameenda wapi je!? Wamekukimbiajimboni kwangu hakuna upinzani gentleman, ispokua kitongoji kimoja tu ambacho vile vile mgombea huyo nae amejiengua jana .
hakuna muujiza 🐒
Ka kuagiza bia baridiDaah sijui kwanini kuna kakitu Nimeka feel moyoni.
Any way poleni wafiwa.
jimboni kwangu upinzani ni ushirikina gentleman 🐒Eeeh mkuu 🤣😆wameenda wapi je!? Wamekukimbia
Sawa mkuu heshima yako kiongozijimboni kwangu upinzani ni ushirikina gentleman 🐒
Ilijengwa na wakatoliki.Hivi hiyo ni ile ya IPAMBA kule Tosamaganga?
JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Mbona Tulia, sijaelewa hapa?Pole mama yetu pumzika kwa amani tulia akson mwansau
Hii laana haitakuacha kwa ujinga wako wa uchawa uchwa wako
Walimlawiti Tena?Yule mwanamke amelawitiwa halafu ndio ameuawa.
Yule mjukuu wake hata sijui kama anajua ' kulawiti " maana yake nini.
Lakini ndivyo alivyosema kwamba bibi yake kalawitiwa.
Halafu pia kasema kada huyu kauawa kikatili sana.
Yule mjukuu,Asifiwe Kibiki, anasema ,"vijana watatu wamefika,sijui walimlawiti wote,maanake sisi tulikimbia kwa woga,ili na sisi tusilawitiwe."
Lakini hizi habari labda zote zitakuwa kwenye gazeti kesho asubuhi.
Lakini, people have a right to know.
Ukiwaambia watu kuhusu haya maovu,watu wanakuwa alert.
Kwa sababu wanafikiria,"If they do it to the green tree, what will happen to the dry tree?"
Na Mzee Kibao pia alilawitiwa?Walimlawiti Tena?
Ni ile laana ya mzee Kibao .
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.
Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba 13, 2024 katika Kitongoji cha Banawanu, Kijiji cha Ugwachanya, Kata ya Mseke Tarafa ya Mlolo nje kidogo na Mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.
Matukio Daima Media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo, John Kiteve amesema tukio hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo.
Huku Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi hajapatikana ili kuthibitisha tukio hilo, bado Matukio Daima Media inaendelea kufuatilia zaidi.
Chanzo: Matukio Daima Media
==============================
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, simu imepokelewa na msaidizi wake ambaye baada ya kuelezwa kuhusu tukio hilo akasema “Kamanda yupo kikaoni, tukio hilo bado hajalizungumzia.”
Pia, Soma: