johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hv vpHilo ndio lilianzishwa utekaji
Kifo ni kifo tu. Wala hakuna cha ajabu hapo.
Hilo ndio lilianzishwa utekaji
Astaghifilullah!Hali si njema hata kidogo.wamesema kifo ni kifo tu, kwahiyo R.I.P kazi iendelew
wamesema kifo ni kifo tu, kwahiyo R.I.P kazi iendelew
Hali ni njema tu, hivyo ni vi uzushi vya wapiga kelele tu infact kifo kifo tu, kazi iendeleeAstaghifilullah!Hali si njema hata kidogo.
Mwenyekiti wao alisema "Kifo ni Kifo Tu"Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .
Taarifa ambayo Matukio Daima media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.
Matukio Daima media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo .
Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi hajaweza kupatikana ili kuthibitisha tukio Hilo Bado Matukio Daima media inaendelea kufuatilia zaidi.
Chanzo: Matukio Daima Media
Anhaa kumbe ndio ilivyo, polen sanahakuna Kijiji Cha njaapanda ya tosa Bali Kijiji Cha ugwachanya
Huyo ,mama namfahamu vizuri sana ,wale tuliohitimu kidato Cha 6 2000 tosamaganga high school ,mama huyu alikuwa mke wa kibiki aliyekuwa afsa ugani na kwao palikuwa hapa kitongoji Cha banawanu lilipo sanamu la bikira maria ukitokea njaapanda nyuma hapa kabla hujavuka mto kiporyi
imeniuma sana ,mumewe na alikanyagwa na gari nyang'anyang'a ipogolo
RIP....katibu ,ubunge huu SHIDA sana na alikuwa na misimamo sana kama alionyesha ubungeni upande itakuwa hivyo
Eti ?Chadema ni janga
Kwahio miccm kumbe inamalizana kisa Ubunge hahahahaahRIP....katibu ,ubunge huu SHIDA sana na alikuwa na misimamo sana kama alionyesha ubungeni upande itakuwa hivyo
Loh!Maneno hayo yameumba mengi mengineyo.Hali ni njema tu, hivyo ni vi uzushi vya wapiga kelele tu infact kifo kifo tu, kazi iendelee
KAZI inaendeleaje huko? Kufa ni kufa TuHali ni njema tu, hivyo ni vi uzushi vya wapiga kelele tu infact kifo kifo tu, kazi iendelee
Ajabu nikisababishi cha kilo, waliohusika watafutwe na kuwajibishwa.Kifo ni kifo tu. Wala hakuna cha ajabu hapo.
Huku tunaendelea vema, japo kuna viuzushi vinapita watu wanang'ang'aniana mwanamke, lakini vijikelele vinasikika eti anataka kutekwa na kuuawa, na hao wanaojifanya watekaji wanasema watamrudia, hali ni shwari kabisaKAZI inaendeleaje huko? Kufa ni kufa Tu
Kifo ni kifo hao chadema ambao hawakatwi ni chadema gan acheni kuchuma dhambiChadema ni janga
Ujio wa Mchungaji 🐼Kwahio miccm kumbe inamalizana kisa Ubunge hahahahaah