Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
nadhani pastor anatafutiwa namna ya kufutwa machozi mate yameshamkaukaKifo ni kifo hao chadema ambao hawakatwi ni chadema gan acheni kuchuma dhambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nadhani pastor anatafutiwa namna ya kufutwa machozi mate yameshamkaukaKifo ni kifo hao chadema ambao hawakatwi ni chadema gan acheni kuchuma dhambi
Tuanzie tulipoishia kwa Tundu Lissu,Ben Saanane,Aquilina,mzee Kibao,Azory nk.Na picha za waliotaka kumteka Bonge tuzichapishe kwenye fulana zetu na tuzivae kwa kuwapongeza.Ajabu nikisababishi cha kilo, waliohusika watafutwe na kuwajibishwa.
yule mama sidhani kama atakuwa tapeli wamuue au kuiba waume za watu ...sijuiKwahio miccm kumbe inamalizana kisa Ubunge hahahahaah
Kwa wingi wa udongo utakaowekwa juu sidhani kama atakuwa kapumzika.Apumzike kwa amani
Akome kumsema vibaya malkia wa sheba..🤩🤩Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .
Taarifa ambayo Matukio Daima media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.
Matukio Daima media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo .
Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi hajaweza kupatikana ili kuthibitisha tukio Hilo Bado Matukio Daima media inaendelea kufuatilia zaidi.
Chanzo: Matukio Daima Media
na mfahamu na nilikunywa sana mvinyo pale kwake enzi hizo kwasasa kigoma hata wakumtumia rambirambi simuoni sijui itakuwajeAnhaa kumbe ndio ilivyo, polen sana
lazima ana watotona mfahamu na nilikunywa sana mvinyo pale kwake enzi hizo kwasasa kigoma hata wakumtumia rambirambi simuoni sijui itakuwaje
Unatakiwa uhudhurie hata wamalizapo msiba.na mfahamu na nilikunywa sana mvinyo pale kwake enzi hizo kwasasa kigoma hata wakumtumia rambirambi simuoni sijui itakuwaje
Kazi imeanza. Na bado..... Kudadadeki....!!Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .
Taarifa ambayo Matukio Daima media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.
Matukio Daima media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo .
Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi hajaweza kupatikana ili kuthibitisha tukio Hilo Bado Matukio Daima media inaendelea kufuatilia zaidi.
Chanzo: Matukio Daima Media
Kwanini?Kwa wingi wa udongo utakaowekwa juu sidhani kama atakuwa kapumzika.
Muasisi wa haya yanayoendeleaJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Wala sio hatari kifo ni kifo ndugu yanguHatari sana
Kuasisi mauaji ni kusingiziwa? Mfano Makonda alivamia clouds na bunduki live kabisa, je JPM alichukua hatua gani? unasemaje kasingiziwaJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Matukio haya yamelelewa kwa makusudi na waliamini ni kwa maslahi ya CCM sasa matokeo yake hata watu wenye visa binafsi watatembelea upenyo huo huo wa jeshi la polisi kufumbia macho mambo ya namna hiiAjabu nikisababishi cha kilo, waliohusika watafutwe na kuwajibishwa.