TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

hakuna Kijiji Cha njaapanda ya tosa Bali Kijiji Cha ugwachanya

Huyo ,mama namfahamu vizuri sana ,wale tuliohitimu kidato Cha 6 2000 tosamaganga high school ,mama huyu alikuwa mke wa kibiki aliyekuwa afsa ugani na kwao palikuwa hapa kitongoji Cha banawanu lilipo sanamu la bikira maria ukitokea njaapanda nyuma hapa kabla hujavuka mto kiporyi

imeniuma sana ,mumewe na alikanyagwa na gari nyang'anyang'a ipogolo

RIP....katibu ,ubunge huu SHIDA sana na alikuwa na misimamo sana kama alionyesha ubungeni upande itakuwa hivyo
Inasikitisha sana
 
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .

Taarifa ambayo Matukio Daima media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo .

Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi hajaweza kupatikana ili kuthibitisha tukio Hilo Bado Matukio Daima media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media
Kura za Maoni?
 
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .

Taarifa ambayo Matukio Daima media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo .

Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi hajaweza kupatikana ili kuthibitisha tukio Hilo Bado Matukio Daima media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

Pia, Soma:
Kama ni mccm poa tu wacha wamalizane tu,alikuwa mtia nia wa ubunge.
 
CCM wanapenda kuuwana...nakumbuka wakati wa uchaguzi wa ndani wa Mwanza kuna mgombea mmoja aliweka walinzi wa Bunduki kwake mpaka uchaguzi ulivyoisha... 😭😭
 
Watu Wasiojulikana wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi CCM wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .

Taarifa zinasema kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo huku akilaani waliohusika kuchukua uhai wa kiongozi wao.
Screenshot 2024-11-13 101429.png


Chanzo: Nuru FM
 
Back
Top Bottom