TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

Watuhumiwa watakamatwa na watauwawa kwa adhabu ya firing squad
 
hakuna Kijiji Cha njaapanda ya tosa Bali Kijiji Cha ugwachanya

Huyo ,mama namfahamu vizuri sana ,wale tuliohitimu kidato Cha 6 2000 tosamaganga high school ,mama huyu alikuwa mke wa kibiki aliyekuwa afsa ugani na kwao palikuwa hapa kitongoji Cha banawanu lilipo sanamu la bikira maria ukitokea njaapanda nyuma hapa kabla hujavuka mto kiporyi

imeniuma sana ,mumewe na alikanyagwa na gari nyang'anyang'a ipogolo

RIP....katibu ,ubunge huu SHIDA sana na alikuwa na misimamo sana kama alionyesha ubungeni upande itakuwa hivyo
 
Mwenyekiti wao alisema "Kifo ni Kifo Tu"
 
Anhaa kumbe ndio ilivyo, polen sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…