dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Hapana tutafuata sheria. Mbona wengine tunawakazia tu waandike?Ukiona mbongo amakomalia rushwa ujue yeye kakosa tu tu..
Acheni roho mbaya hawa jamaa wakiamua waandike fine gari zitapungua barabarani...
Aliyemchoma mwamba kazingua sana
Kumekuwa na Tabia mbaya sana kwa hawa watu kutunyanyasa pindi tunapokuwa safarin.
Sasa dawa yao ipo jikon.
Tutakomaa nao mpka kieleweke..
Kwa familia zilizokumbwa na Mkasa huu Tafadhal naomba Mnisamehe sana. Mungu Ibarik Tanzania Mungu Ibariki Africa.
View attachment 2086849View attachment 2086850View attachment 2086851
Makamanda askari kama huyu tunamuita Nanga ona lilivyokaa kindezi mpaka linapigwa pichaKumekuwa na Tabia mbaya sana kwa hawa watu kutunyanyasa pindi tunapokuwa safarin.
Sasa dawa yao ipo jikon.
Tutakomaa nao mpka kieleweke..
Kwa familia zilizokumbwa na Mkasa huu Tafadhal naomba Mnisamehe sana. Mungu Ibarik Tanzania Mungu Ibariki Africa.
View attachment 2086849View attachment 2086850View attachment 2086851
Ukiona kuna noti zaidi ya buku mbili jua alikamatwa mwanamkeNaona buku mbili mbili ndiyo nyingi
Manyota atakua kakosa mgao tu hapoMbwa kala mbwa, yeye afande manyota hajawahi kula ya kubrashia viatu......
NakaziaJazia nyama mkuu