Iringa: Mahakama ya Wilaya yamwachia huru Abdul Nondo baada ya kutomkuta na hatia

Iringa: Mahakama ya Wilaya yamwachia huru Abdul Nondo baada ya kutomkuta na hatia

Hil
God Bless Magufuli, maana, angalau ameiachia au ameiachia mhimili wa mahakama kutenda haki, na haki yenyewe kuonekana inatendeka.

Big up sana mhimili wa mahakama kwa kutenda haki.
Unaweza usiwe na imani na Bunge, na maisha yakaendelea, usiwe na imani na serikali, maisha yakaendelea, lakini taifa linapokosa imani na mahakama, hakuna maisha.
P
Hili jamaa bana yani sikuhizi paskodelicious
 
Dogo arudi shule.... elimu ndio harakati mama
 
Naifatilia kwa karibu sana
Duh yaani kaachiwa huru.. kumbe kuna mambo huwa yanakuzwa ili kutisha watu
Sasa Chuo kinafanyaje maana walimchimba mkwara mkubwa sana
kesi zake hazijaisha bado kuna ya uraia bado.
 
Sheria inasemaje kuhusu Abdul kufungua kesi ya kupotezewa muda wake yaani kuishtaki jamhuri, fidia na mambo mengine kama hayo
 
Mungu ni Mwema
IMG-20181105-WA0071.jpeg
 
. kuachiwa huru
. kifungo cha nje
. kifungo ama faini(atalipa faini)
Itakuwa ni aina fulani ya kifungo cha nje maana macho yote yatakuwa kwake kwa kila anachokifanya, ili kulinda maslahi.
 
Kaa kimya hawako mbali
Mshana..

Ina maana na humu siku hizi si

salama tena??
Hakuna tena uhuru wa kuongea kama zamani?

Max .. kakubali ..kuuza uhuru wetu..wamemdhibiti?

Tuambizane wakuu maana sisi huku kwetu
ni kuviziana tu!
Nisije changia mada hapa nikaunngwa na waleèe kina ".Uamsho"
 
WAPI MADELU SAHIZI KAINAMISHA KICHWA CHINI PWAAAAAA......
 
Back
Top Bottom