Iringa: Maria Ngoda aliyefungwa kwa kukutwa na nyama ya swala aachiwa huru na Mahakama Kuu

Acheni ushamba kwa hiyo mlikuwa mnampigania mkiwa mmestarehe na familia zenu kwenu? Hapa JF ndio mahakamani? CCM Ndio mtetezi wa wanyonge na ndio iliyorejesha tabasamu na furaha ya mama huyo mnyonge baada ya kumpigania kwa kumkatia rufaa mahakamani.
Nakushauri jitahidi kuweka kumbukumbu na pia unapokumbushwa ukubali.
Tate kakukumbusha hapo juu halafu unamwita mshamba.
 
Hili nalo ni agizo kutoka Juu...


Ila bora ameachiwa... Maana walimwonea kabisa
Makamu mwenyekiti anavuna pembe za tembo wetu makonteina kwa makontina lakini alitembea anasindikizwa kwa ving'ora lakini mama mjana anafungwa miaka yote hiyo kwa kilo tano za nyama ya swala
 
Nakushauri jitahidi kuweka kumbukumbu na pia unapokumbushwa ukubali.
Tate kakukumbusha hapo juu halafu unamwita mshamba.
Haki ya yule mama mnyonge ilikuwa inapigaiwa mahakamani na UWT na siyo kusema unapiga kelele humu halafu mtu anaendelea kusota gerezani.hakuna jambo linalofanikiwa pasipo kuchukua hatua kwa Vitendo. UWT imeongoza njia katika kurejesha furaha na tabasamu kwa Maria Ngoda.
 
Huyu bwege hajui kitu ameanza kushabikia siasa enzi hizi CCM kurasimisha uchawa.
 
CCM Ni mtatuzi wa matatizo ya watu .hata wewe kama una matatizo ya aina yoyote ile basi yalete CCM uone namna utakavyo pata majibu na kukata kiu yako ya kupata haki.
CCM ni Chanzo Cha Matatizo yoote ya nchi hii kwani ndiyo wamekuwa madarakani tangu 1961.
 
CCM ni Chanzo Cha Matatizo yoote ya nchi hii kwani ndiyo wamekuwa madarakani tangu 1961.
Matatizo ya akili iliyo nayo na yako mwenyewe kaa kukaidi kwako kuacha kuvuta bangi .CCM Ni tumaini la watanzania katika kuwainua kiuchumi na kugusa maisha ya watanzania.
 
Wewe nyumbu kazi unayoweza ni uvuta bangi tu. Hayo mengine siyo saizi yako.acha kuropoka ropoka tu kama mlevi.
Wewe kazi unayoweza ni omba omba wa mitandaoni ndiyo maana ya kuweka namba za simu. Kuolewa huolewa unadanga tu humu
 
picha yake please
 
Kama na wewe una matatizo au shida basi lete. CCM ili usaidiwe

Miaka 63 ya Uhuru wameshindwa kutatua matatizo ndiyo waweze leo. Matatizo ya Watanzania huwezi kuyatatua kwa kutatua taizo la mtu moja moja. Akili yenu fupi sana (CHAWA).... Kwa sasa waambie wakajenge vyoo Chato!!
 
Sheria za CCM hizo hizo ndo zilimshushia mvua 22 leo hii wanazikataa
 
CCM Ni mtetezi wa wanyonge.hata wewe kama kuna mahali unaona kuwa umeonewa na umenyiwma haki yako basi lete kero yako ndani ya CCM ili usaidiwe kupata haki yako.
Acha ujinga
Kweli ita baki kuwa kweli.
TLS ndio wali simamia rufaa.
Ccm tangu lini wawe na huruma na upendo na wananchi kabla ya kipindi cha kuomba kura?
Sukari ime washinda mta weza simamia haki za wanyonge nyie?
Usuwe u a juingiza hapa Jf bila kuwa na facts..
 
Huyu hapa Maria
Mungu amemuona
 

Attachments

  • JamiiForums-1732602747.jpeg
    84.9 KB · Views: 2
UWT ni mtetezi wa wanawake wanyonge na wasio na sauti.
Watu wa kwanza kupigia kelele
Hukumu ya huyo mama syo uwt, hao waliingilia mpira tu
Any way huyo mama hakustahili hukumu kama hiyo..
Vp huyo hakim aliyemhukumu bado mko naye au

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…