Yaani huu ukimya wetu wananchi ndio unawafanya wazidi kuua kila kukicha......na wataendelea kuua sana manake washatuona mazumbukuku......wanajua tutasema tutachoka na maisha yataendelea kusonga! Inauma sana asee yaani sana marejesho! Tusubiri tuone huo mshikamano kama upo basi!
Ndio maana serikali iliongeza posho ya kuchunguza maiti kwa madaktari na sio ya mazingira hatarishi,wala mazingira magumu wala kununua vifaa vya hospitali,wala kuweka mazingira mazuri ya kufanyia kazi kwe mahospitali,ila wachunguza maiti yaani [Forensic Pathologist] wanavuta laki kwa maiti,kuna tetesi za kuongeza vyumba vya maiti na kuviongezea ukbwa zaidi,kwasababu mauaji yataendelea!!
Hivi bado Tanzania ni nchi ya AMANI?Ni matumaini yangu kwamba,haya yote yanayofanywa kwa Uonevu yatafikia kikomo!!!
Sasa kama waliambiwa watawanyike wao wakakaidi ni vipi tuwalaumu police?
Damu hozi haziwezi potea bure
Watajibu haya mashtaka kwenye mahakama ya kimataifa
Nani kafurahi kifo mie nimeuliza tu, hata siku moja siwezi kufuarahia mauaji, kwanza aliokufa sio mfuasi wa vyama vya siasa ni muandishi wa habari ushabiki utoke wapi.