Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi ninakuhakikishia kabisa kwamba damu ya mtu haipotei bure ndugu yangu zomba. Kama ni CDM wameua basi adhabu ipo kwao na kama ni policeccm au ccm yenyewe basi mungu huyu ni wa ajabu. Ila ninakuomba sana usifikirie kwa kutumia hayo ya nyuma yako (Makal)
Can you believe the source?
Hoja za JF zinawashinda mnakuja na matusi, huko mitaani mnaanzisha chokochoko halafu mnauwa halafu mnakuja humu mbio na kusambaza polisi wameuwa. Juzi Morogoro mliuwa kwa nondo, mmestukiwa, leo Iringa mmeamuwa kutumia risasi.
Hii njama yenu itajulikana na wengi tu, wachache tumeshaijuwa.
MIMI KILA SIKU NINAMWOMBA MUNGU SIKU MOJA AWAUMBUE HAWA WATU. KUMBUKENI NYIE NI BINADAMU TU SIKU MOJA MTATAKIWA KUJIBU MBELE YA MOLA WETU KWA HUO USHABIKI WENU WAKATI UKWELI MNAUJUA.NYIE ENDELEENI KUUA TU. NINAKUMBUKA USEMI USEMAO ANAYEUA KWA UPANGA HUFA KWA UPANGA. KUMBUKENI Hitler, Samweli doo, Charles Tailor, Gadafi, Sadamu, Osama, laurent kabila na wengine wengi. Narudia tena mnaoshabikia huku mnajua ukweli mungu atawadhibuadhabu mbaya sana.
hongera MAMA kwa maoni hayaHiki chama cha wauaji kifutwe tu. Kila wanapokwenda wanauwa.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wua-mwandishi-wa-channel-ten-huko-iringa.html, angalia vizuri hiyo picha utaona chadema wamemwelekea mtutu wa bunduki mwandishi.Chadema walianza na mauaji iramba wakaendelea morogoro,na sasa wameua iringa wataendelea mikoa mingine kadri watakavohitaji kumwaga damu
Hoja za JF zinawashinda mnakuja na matusi, huko mitaani mnaanzisha chokochoko halafu mnauwa halafu mnakuja humu mbio na kusambaza polisi wameuwa. Juzi Morogoro mliuwa kwa nondo, mmestukiwa, leo Iringa mmeamuwa kutumia risasi.
Hii njama yenu itajulikana na wengi tu, wachache tumeshaijuwa.
Mkutano mwingine ni zamu ya Slaa,haiwezekani asababishe yote haya halafu yeye anabaki pembeni wakati wananchi wanakufa. Huyu mzee anatakiwa apelekwe pale mnazi mmoja akachapwe viboko kama mtoto wa shule. Labda akili zitamrudi
flying object inaweza kuwa ata mhogo mkavu sio lazima iwe risasi au bomu la machozi,inaweza kuwa hata jiwe ambalo limerushwa na wanacdm.Hivi GATS, huyu t2015ccm anazo? Polisi ni Chadema? Mauaji yamefanywa na "flying object", ilitokea mbinguni? Nani ambao hutumia flying object kihalali kama sio polisi ambao wengi wao ni washabiki wa huo utumbo uliooza(CCM)? Kwani hata wakiibadili jina badala ya kuitwa risasi waiite round, bullet,ammunition, flying object na mengine bado wauaji ni Polisi . Na hii huchangiwa na uwezo wao mdogo wa kukabiliana na mambo....sikupatii picha GATS..hiyo hiyo migamba ndio inabeba silaha hata hadharani..BASHE, DR KIGWANGALLA, RAGE,POLISI, OLE SENDEKA (CCM)dhidi ya OLE MILLYA(CHADEMA),LAURENCE MASHA dhidi ya POLISI wenyewe....list ni ndefu kwa kweli sijui kama nikiendelea nitaimaliza....TAFAKARI!!!
hii ndio inadhihirisha usemi wa baba wa taifa kuwa anaekula nyama za watu huwa haachi,chadema walianza na mtu mmoja sasa kila kona ni vilio na simanzi.