TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

Hivi ni kweli huko Bububu CCM waliruhusiwa na polisi kufanya mkutano wa hadhara wa ufunguzi wa kampeni ya uchaguzi? Huyo RPC kamuhanda anajibu nini kuhusu hilo? Au zanzibar hakuna sensa?

Jamai polisi, mnapoambiwa mnaionea CDM mnapinga -- haya, hilo linawasuta! Mnatumika kiasi hata utu wenu unatoweka. Ipo siku askari walio chini yenu watagoma kutii amri zisizokuwa na common sense.
 
IGP Said Mwema uliwahi kusema hauko tayari kwenda kwenye mahakama ya kimataifa Uholanzi , sasa hiki8 ni kitu gani ? utakuwa wa kwanza kupelekwa humo usikubali kuwa wewe ndio tatizo jifunze wenzio wanakula nchi wewe unaumizwa bila sababu chukua hatua ni ushauri wangu kwako. Kumbuka uliwahi kusema mahali hauko tayari kupewa ajira ya mkataba ili usiende huko uholanzi
 
Hoja za JF zinawashinda mnakuja na matusi, huko mitaani mnaanzisha chokochoko halafu mnauwa halafu mnakuja humu mbio na kusambaza polisi wameuwa. Juzi Morogoro mliuwa kwa nondo, mmestukiwa, leo Iringa mmeamuwa kutumia risasi.

Hii njama yenu itajulikana na wengi tu, wachache tumeshaijuwa.

attachment.php


Unasema chadema wameua angalia hiyo picha hapo juu wakati. Huyo askari aliyeshika bunduki upande wa kushoto ndie aliye msambaratisha Mwangosi ambaye yupo hapo chini katikati ya askari. Ndio maana nilikuambia mwogope mungu basi.
 
sasa polisi watasemaje ju ya mauaji ya hili,?nadhani vyombo vya habari viandamane mpaka kieleweke,hawawez wakawa wanatupeleka kijinga.
 
Kama Police hawataacha kutumia nguvu na kuua wananchi,kwanini nasisi tusianzishe oparation ua makamanda wa mapolice? Tunajua mahali pa kuwapata Bar na Nyumba ndogo. Au na familia zao Baba/Mama, Mke/Mme na watoto wao ambao hawana ulinzi wa bunduki. eye for eye
Nawasilisha kwa majadiriano
 
Proudly to be banned because of this Mother****en Pigllet.Wahuni hawa wafuatao: 1. Dhaifu 2. Liwalo na Liwe 3. IGP 4. endeleza na wengine.Wewe ni zaid ya Maku ndio maana toka mwanzo unaleta use&%$#N*&^Ge tu hapa.Kakojoe ulale!

Mod count me in Linyakalumbi I'm proud too dude...Because of this moth€%}~,>>~|er



By Mingoi
Hivi kwa nini Dr Slaa na genge la wahuni wenzake hawakamatwi na kuwekwa korokoroni?
 
Last edited by a moderator:
hadi m4c imalizike tutakuwa tumeona polisi wanavyokuwa challenged uwezo wao wa kubalance mambo: haki za vyma vyote, haki za binadamu, usalama wa raia, usalama wa polisi, public relation , kukabiliana na riots, na kuweza kuwa vigilant hata pale mashinikizo yanakuwa mengi, toka kwa watawala, na hata pale sheria haina majibu.
 
Am gona kick a polic one day


Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Waandishi nao ni wazembe wa kutupwa, badala ya kuivalia njuga hii developing story wao saa hizi wanaonyesha Bongo Star Search ya Zantel(Star TV??), EATV wanaonyesha ki movie kimoja feki feki cha mapenzi na ITV wanaonyesha ki drama kimoja cha comedy ya Kiswahili, TBC nao wana kituko chao cha ajabu ajabu wanaonyesha ...Channel 10 wenyewe hata hewani siwaoni... Ingekuwa mwandishi wa BBC kafa saa hizi BBC nzima ingehamia Iringa huko... such pinheads
 
na camera yake kaishika dah hii hatari sana poleni wafiwa
 
Thead hiyo ilikuwa na kichwa POLISI WANAJIPANGA KUUWA KWENYE MKUTANO WA CDM MUFINDI.

Plz wekeni link ya hiyo thread.

Thread ya Mzee Mwanakijiji ya kushauri CDM kuandaa maandamano dhidi ya polisi ni Muhimu sana

Katiba mpya iruhusu rais ashitakiwe baada ya kumaliza muda wake sababu yeye ndo amiri jeshi mkuu na ndiye anayewateua hawa watu wake

R.I.P bro. Mwangosi
 
sasa polisi watasemaje ju ya mauaji ya hili,?nadhani vyombo vya habari viandamane mpaka kieleweke,hawawez wakawa wanatupeleka kijinga.

Polisi watasema kipande cha chuma cha bomu kimempiga na Kuhusu Wana habari kuandamana nguvu Yao ni ndogo sana kama ma doctor hapa kila mtu ni victim Moro muuza magazeti iringa journal kesho muuza bar mpaka watajiua wenyewe baada ya kutumaliza wote
 
pia ikumbukwe kuwa walishasema wataisambaratisha CHADEMA kwa njia na mbinu yoyote kabla ya 2015,so wameamua kutembea kwenye kauli zao!
 
IGP Said Mwema uliwahi kusema hauko tayari kwenda kwenye mahakama ya kimataifa Uholanzi , sasa hiki8 ni kitu gani ? utakuwa wa kwanza kupelekwa humo usikubali kuwa wewe ndio tatizo jifunze wenzio wanakula nchi wewe unaumizwa bila sababu chukua hatua ni ushauri wangu kwako. Kumbuka uliwahi kusema mahali hauko tayari kupewa ajira ya mkataba ili usiende huko uholanzi
 
Hivi ni kweli huko Bububu CCM waliruhusiwa na polisi kufanya mkutano wa hadhara wa ufunguzi wa kampeni ya uchaguzi? Huyo RPC kamuhanda anajibu nini kuhusu hilo? Au zanzibar hakuna sensa?

Jamai polisi, mnapoambiwa mnaionea CDM mnapinga -- haya, hilo linawasuta! Mnatumika kiasi hata utu wenu unatoweka. Ipo siku askari walio chini yenu watagoma kutii amri zisizokuwa na common sense.
Katazo la mikutano ya chadema lingekuwa na mantiki kama shughuli zote kitaifa zingesimama...watu wasiende kazini, wasiende kuabudu, wasiangalie mpira nk... ni wazi chadema wanaonewa lakini yana mwisho...
 
Masikini amekufa kifo kibaya, huzuni kubwa kwa famili yake. Tusubirie stori ya hao wauaji maana lazima waje na version yao. RIP Mwangosi!!
 
Back
Top Bottom