Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,803
Kwanza tuhakikishe kuna ulinzi kwa wananchi,polisi hiyo kazi hawaiwezi tena,na hatuwezi kulivunja hilo jeshi kwa sasa.Kuna thread nimeanzisha yenye kukaribisha maoni ya ni kwa vipi wananchi wajilinde.
Good!
Let me go and see it.