Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyambafu umeambiwa ni ni mwandishi wa habari afu unauliza sawli la kijinga nyambafNa yeye alikua anafanya nn huko?
Mkutano mwingine ni zamu ya Slaa,haiwezekani asababishe yote haya halafu yeye anabaki pembeni wakati wananchi wanakufa. Huyu mzee anatakiwa apelekwe pale mnazi mmoja akachapwe viboko kama mtoto wa shule. Labda akili zitamrudi
Kweli wewe ni makalioChadema siwaamini kabisa, wanaweza kuuwa wao wawasingizie askari.
Tumeona Morogoro na sasa Iringa.
Hiki si chama cha siasa na ni chama cha fujo hakifai kabisa kuwepo. Ni wakati muafaka kifutwe kabisa.
Chadema walianza na mauaji iramba wakaendelea morogoro,na sasa wameua iringa wataendelea mikoa mingine kadri watakavohitaji kumwaga damu
![]()
:A S-confused1:The Victim:A S-confused1:
Tumejinga kwa lolote asema kamanda wa polisi kuwa si Chadema pekee hata CCM na vyama vyote marufuku mikutano wanaruhusiwa kufanya vikao vya ndani ili kupisha zoezi la sensa hadi jumamosi litakapomalizika
![]()
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa (IPC),
Daudi Mwangosi, ambaye polisi wamemwua kijijini Nyororo Iringa
Iweje ajeruhiwe Polisi na afe Mwandishi kwa risasi? Hao ni chadema tu hakuna mwingine.
Nasema chadema si chama cha siasa na hata bendera yao inaashiria umwagaji damu.
siku zenu zinahesabiwa ipo siku tu we jifanye haulewi na ziba masikio kwa pamba,Chadema walianza na mauaji iramba wakaendelea morogoro,na sasa wameua iringa wataendelea mikoa mingine kadri watakavohitaji kumwaga damu
Mkutano mwingine ni zamu ya Slaa,haiwezekani asababishe yote haya halafu yeye anabaki pembeni wakati wananchi wanakufa. Huyu mzee anatakiwa apelekwe pale mnazi mmoja akachapwe viboko kama mtoto wa shule. Labda akili zitamrudi
Kweli wewe ni makalio
una kiingereza kibaya hadi aibu,halafu wanaoua ni chadema sio polisi.
uhuru kweli umezidi kiasi kwamba kina Slaa wana achwa waendelee kuwepo mitaani wakati walikua wanatakiwa kuwa milembe.Sijawahi kupata ban, kama ni kupewa acha nipewe tu kwani huu uhuru umezidi..NY*KO yako.
we mjinga,walioua ni chadema acha kupotosha,mwanga nini?
Niliwahi kusema kuwa Tanzania tumekalia bomu ambalo halieleweki kama ni multifunctional or functional likisubiri joto kama litafanya lilipuke ama lizime. Tupo kulipuka wakati wowote sasa! Tumefika kubaya... Hakuna usalama tena, mtu yeyote aweza kufa wakati wowote ule! Inasikitisha...
Chadema siwaamini kabisa, wanaweza kuuwa wao wawasingizie askari.
Tumeona Morogoro na sasa Iringa.
Hiki si chama cha siasa na ni chama cha fujo hakifai kabisa kuwepo. Ni wakati muafaka kifutwe kabisa.
Kwanza tuhakikishe kuna ulinzi kwa wananchi,polisi hiyo kazi hawaiwezi tena,na hatuwezi kulivunja hilo jeshi kwa sasa.Kuna thread nimeanzisha yenye kukaribisha maoni ya ni kwa vipi wananchi wajilinde.Let's think, tuwasaidie wakuu wetu, nini kifanyike?