Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wadau haya maombo yanatofanywa na jeshi la polisi ni mambo ya kutafakari kwa makini sana.Kwa mtazamo na maoni yangu hii inaweza kuwa ni mbinu ya kutafuta sababu ya kukifuta chama hiki ambacho kwakweli ni tishio kwa ccm.Haya mauji kwenye mikutano ya chadema yanaweza kutumika kama sababu ya kuhalalisha hujuma hii dhidi ya chadema.
Tukumbuke kauli iliyotolewa na Wassira hivi karibuni ya kutishia kukifuta chama hiki na muendelezo wa matukio kama haya.Hawa jamaa kwao kitu cha muhimu ni kuhakikisha wanabaki madarakani kwa gharama yoyote ile.Watanzania tusisahau ukweli kwamba hofu yao kubwa ni kuja kuwajibika kwa madhambi yao mbali mbali kama mauaji,ufisadi wizi n.k.Hivyo njia pekee kwa wao kuwa salama ni kuhakikisha wanabaki madarakani.Wanajua kabisa endapo chadema itakamata dola watafikishwa katika vyombo vya sheria kujibu mashitaka.
Tutarajia machafuko zaidi ya haya siku zijazo kwani hata chadema nao hawatakubali kunyanyaswa na kuonewa na serikali hii.
Kibaya zaidi wakuu msisahau kuwa msajili wa vyama vya siasa nchini ni mteule wa raisi na utendaji wake unajulikana.
Lets wait and see, but we have to do something as a nation to defeat this new colonialism.
Tukumbuke kauli iliyotolewa na Wassira hivi karibuni ya kutishia kukifuta chama hiki na muendelezo wa matukio kama haya.Hawa jamaa kwao kitu cha muhimu ni kuhakikisha wanabaki madarakani kwa gharama yoyote ile.Watanzania tusisahau ukweli kwamba hofu yao kubwa ni kuja kuwajibika kwa madhambi yao mbali mbali kama mauaji,ufisadi wizi n.k.Hivyo njia pekee kwa wao kuwa salama ni kuhakikisha wanabaki madarakani.Wanajua kabisa endapo chadema itakamata dola watafikishwa katika vyombo vya sheria kujibu mashitaka.
Tutarajia machafuko zaidi ya haya siku zijazo kwani hata chadema nao hawatakubali kunyanyaswa na kuonewa na serikali hii.
Kibaya zaidi wakuu msisahau kuwa msajili wa vyama vya siasa nchini ni mteule wa raisi na utendaji wake unajulikana.
Lets wait and see, but we have to do something as a nation to defeat this new colonialism.