mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,369
- 5,866
Mkuu umemjibu kistaarabu huyo mpuuzi wa desturi aka Zombe!? Nilikuwa nipigwe Ban kwa ajili yake!!Watu kama wewe Jeshini wanaitwa Maselule yasiyo na ufahamu na mambo ya kijeshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umemjibu kistaarabu huyo mpuuzi wa desturi aka Zombe!? Nilikuwa nipigwe Ban kwa ajili yake!!Watu kama wewe Jeshini wanaitwa Maselule yasiyo na ufahamu na mambo ya kijeshi
Watu kama wewe Jeshini wanaitwa Maselule yasiyo na ufahamu na mambo ya kijeshi
Nakumbuka sana usemi wake" anyesafisha njia ya kupata madaraka kwa njia ya kalamu akiingia atajisafishia kwa njia ya risasi asitoke"
Nakumbuka sana usemi wake" anyesafisha njia ya kupata madaraka kwa njia ya kalamu akiingia atajisafishia kwa njia ya risasi asitoke"
Mkuu una maana angekuwa na kitambulisho maalumu asnge uwawa?je kwenye suala la mauaji kuna uzito tofauti kati ya mwananchi wa kawaida na mwandishi wa habari?my take;kuuwa ni kuuwa tu,hata kama ukiuwa mtu mwenye lower economic status pia naye ana haki ya kuishi!kwani Tanzania hakuna vazi ambalo linamtambulisha mwanahabari akiwa ktk mazingira ya utata! kama vile VIKOTI vya PRESS, MEDIA au KITAMBULISHO KIKUBWA KIFUANI! polisi hawkumtambua hata wanasema aliekua anamtetea ilibidi yeye achukue zamana ya kumtambua na kuwajulisha wenzake kwamba huyu ni mwandishi wa habari! msininukuu vibaya sijamshutumu mtu yeyote wala chombo chochote! Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi!
Wewe kenge huna aibu? Makalio yako yametawala ubongo wako. Arguments zako kama mtoto. ACHA UPUMBAFU NA USHABIKI WA KIJINGA, UTAOLEWA!
Watu kama wewe Jeshini wanaitwa Maselule yasiyo na ufahamu na mambo ya kijeshi
Bora E coli nafikiri wewe cryptococcal meniningitis inakusumbua sasa mkuu wewe kila kitu kinacho fanywa na magamba kibovu kwako kizuri kunahaja ya kuhoji uraia wako.
zomba msitufanye wajinga! vifo vinatokea kwa sababu askari wanaamua kuua watu wasio na hatia! Yawezekana wameagizwa kufanya hivyo ili kuchafua mikutano ya chadema. Watu waliokwenda kwenye mkutano bila silaha yoyote iweje walipuliwe na mabomu? Kwanini risasi zipigwe? Je wataka kutuambia ni hao viongozi wa chadema wenye kuita watu mkutanoni ndio wanao wafyatulia risasi watu walio itakia wito kwenda kuwasikiliza?Wewe unachokitetea ni nini? huoni kwa macho yako? husikii kwa masikio yako?
Unaambiwa kila wanapokwenda chadema kunatokea vifo! sababu?
Kwani yeye ni mtoto wa chekechea adanganywe, akili yako mgando kama maziwa.Danganya uliozoea hivi umepitia JKT unajua impact ya risasi inayotoka ktk silaha kubwa.kama ungepitia jkt usingeandika huo uzembe
Wewe tukana tu. Lakini ukweli siku zote unauma.
Vipi chadema kila wanapopita vitokee vifo? hiki si chama ni balaa nchini. Hata wazee wetu walivyokuwa wanadai madaraka Umoja wa Mataifa hawakufanya hivyo, walifanya kisiasa.
zomba msitufanye wajinga! vifo vinatokea kwa sababu askari wanaamua kuua watu wasio na hatia! Yawezekana wameagizwa kufanya hivyo ili kuchafua mikutano ya chadema. Watu waliokwenda kwenye mkutano bila silaha yoyote iweje walipuliwe na mabomu? Kwanini risasi zipigwe? Je wataka kutuambia ni hao viongozi wa chadema wenye kuita watu mkutanoni ndio wanao wafyatulia risasi watu walio itakia wito kwenda kuwasikiliza?
Mmeamua ionekane hivyo! Kuwa kila mikutano ya chadema inapofanyika kunatokea vifo. Ila inabidi mkumbuke we only live once, acheni kukatiza maisha ya watanzania kwa sababu za kuchafuana kisiasa. Hao wanaopigwa risasi hawarudi! Siasa zenu zisiwe sababu ya vifo vyetu! Jamani mbona tayari tuna sababu nyingi (hatuna hospitali za zenye madawa na vifaa, tumeshindwa kudhibiti malaria, kipindupindu kila msimu wa mvua, TB, ukimwi etc) zinazosababisha vifo kwa Watanzania ya nini kutuongezea vifo vya lazima kwa silaha za polisi?
Dawa ni ndogo tu.....ni kuwafanya hawa polisi wawe ni "endangered specie" huku mitaani tunakokaa nao.
Wananchi tuwe tunawawinda kama tunavyowinda nyati. Vizia, piga, ua, tupa kule. Choma kama mishikaki!
Watashika adabu wash.enzi hawa!
Chadema walianza na mauaji iramba wakaendelea morogoro,na sasa wameua iringa wataendelea mikoa mingine kadri watakavohitaji kumwaga damu
NDIO MPANGO WA CHAMA CHENU MABWEGE nyie. Mmekosa hoja, mnaplan vifo kwenye mikutano ya chadema mwisho wa siku mpate AGENDA. KENGE WAKUBWA NYIE!
Ujinga gani wa kujiuliza swali na kujijibu mwenyewe ulishaona wapi hiyo? we ni Polisi tu acheni kujitetea
Nadhani chadema ifutwe ili amani ya kifisadi iwepo.nimechooka na mauaji ya plisi killa siku kwa kisingizio cha kutekelleza wajibu wao kama mkuu wao waziri wa mambo ya ndani alivyowatetea kwa issue ya morogoro .
Mtu anaeambiwa usifanye maandamano bado kakaa anakusanya watu unasema huyo hata hatia?
Morogoro alipigwa nondo na polisi?
Na huyu wa Iringa alifungwa bomu na kujitoa Mhanga na Polisi?
Na Josephine alivyojitia tomato sauce kujidai kapigwa na polisi arusha, alipakwa na polisi?
Nyie mnawadanganya hao hao wajinga wenzenu.
Viongozi wenu walishasema hii nchi "haitotawalika", sasa naona mmeanza kuleta mbinu za kuuwa na kusingizia Polisi.
Tumegundua ujanja wenu, na nyie mnaofata bila kuijiuliza, nawashangaa sana. Hivi hamjiulizi kwanini chadema tu wanapokusanyika wafe watu?