Iringa na Njombe ilivyoshambuliwa na chawa

Sehemu za baridi Funza hawakosekani

Sababu Kuna vumbi vumbi sana

Unachotakiwa fanya Ni kutembea umevaa viatu na soksi kila wakati kandambili vaa ukienda chooni tu

Otherwise uwe ndani ya viatu na soksi full unless uwe umelala[emoji1]
Sasa huko chooni Si ndo kijiweni kwao
 
Nzko Arusha miaka ya 90 vijihhin. Chawa walitutesa Sanaa Ila ukiwa msafi chawa hukah mbali na wew
 
Kuna uhusiano kati ya baridi na vumbi?
Kwa jiografia yetu TZ upo

Mara nyingi sehemu zenye baridi Kali Hasa wakati wa kipupwe ardhi huwa kavu

Pia upepo huvuma sana

Na Mara nyingi sehemu hizi huwa mbali na maeno ya pwani kwenye udongo wa kichanga

Sehemu Zina udongo mfinyanzi kwa kiasi kikubwa

So vumbi huwepo wakati wa baridi pia
 
KILA KITU KINA MAKAO MAkUU YAKE NAISI HAPO NDO MAKAO MAKUU YAO
nilipata demu wa uko vidole vimepinda kama upinde nikakimbia
 
KILA KITU KINA MAKAO MAkUU YAKE NAISI HAPO NDO MAKAO MAKUU YAO
nilipata demu wa uko vidole vimepinda kama upinde nikakimbia
Ungemnunulia viatu, vidole vya miguu vinahusikaje na mapenzi! Au ulitaka mke awe mwanariadha?
 
Dar kuna jamaa wanaitwa kunguni,aisee chawa cha mtoto kabisa...nilifikia guest moja hivi magomeni dah nilijuta kwanza sikulala..
 
Suala la chawa ni uchafu uliokidhiri sio baridi..nakumbuka miaka ya 94's kilimanjaro zilikua zinasumbua sana....baada ya maendeleo na kustaarabika wamepotea kabisa
Hawa wadudu ni ishara njema kwetu hatujui tu. Ukiona mdudu ujue upo kwenye mazingira halisi (nachuro) kwa binadamu. Hawa wadudu wanakufa kirahisi sana sehemu yenye makemikali.
 
Hahahaha, mama D na Sky Eclat njooni huku enyi wahehe
 
[emoji2][emoji3][emoji3]hiyo ya mtu kujisahau yupo barabarani akiua chawa ni noma sana.
 
hiyo ni fursa watu wa iringa na njombe sasa anzeni kuuza mayai ya chawa na chawa wenyewe kwa wachina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…