Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Kwa wizi walioufanya ilikuwa lazima wakamatwe tu..
Labda wangekimbia nchi, sasa wao wakaendelea kuzunguka Iringa hapo hapo, ila lazima walipewa confidence na watu wa ndani ya kampuni hao ndo wamekula nao, hiyo fraud kubwa sana..watu wahamishe pesa zote hizo alafu sio siku moja?
Labda wangekimbia nchi, sasa wao wakaendelea kuzunguka Iringa hapo hapo, ila lazima walipewa confidence na watu wa ndani ya kampuni hao ndo wamekula nao, hiyo fraud kubwa sana..watu wahamishe pesa zote hizo alafu sio siku moja?